princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Iyo comment ya attention seeker iyo.
Wewe jama uko Logically sanaHivi Mungu anaingilia kaati kivipi hapo? Watu weusi tuna ujinga mwingi sana, ingekuwa inawezekana kuingilia angezuia jengo lisianguke
Sijui shida ni nini...Nashangaa wameshindwa nini kuwatia hawa jamaa wanajenga barabara ya Kimara-Ubungo walete hayo makatapila yap yasaidie kuokoa watu! Pale Bandarini hawana hizi katapila kweli? Hapo ndipo tujue response kwenye disaster iko hivyo sana!
Manake nn hili neno? Nimeliskia kwenye movie ya Enola HolmesNincompoop.
Stupid person.Manake nn hili neno? Nimeliskia kwenye movie ya Enola Holmes
Kuna mwamba alikua busy kutengeneza basement tena kimyakimyaKuna mpuuzii Lucasvyuko wapi aandike upuzibwake kwenye vitu seyious kama hilo....utasikia wanabubujikwa machozi furaha kupata kuokolewa na Mama Samia....chaguo.la Mungu yaani upupuui