Kafungiwa Kigamboni hadi mauti yake. Lissu aliishawahi kufanya nini kumsaidia akiwa hai hadi leo ajifanye anamkumbuka?Kuna kila haja ya kuanzisha kumbukumbu ya Abdul Jumbe hapa nchini. Kwa maoni yangu huyu ndiye mzanzibari mwenye akili na maono mengi.
Huyu mwamba nilipata kufahamu kuwa aliupinga kwa nguvu zake zote huu muungano magumashi wa serikali 2.
Lkn sikupata kufahamu kuwa yeye ndiye kinara wa kupinga urais usiokuwa na ukomo hapa nchini, mpk ikagharimu nafasi yake ya urais wa Zanzibar. Hotuba ya Leo ya Tundu Lisu ndiyo imenifumbua macho.
Abdul Jumbe kongole kwako RIP.
N.B: Mbowe usiturudishe huko, damu ya Abdul Jumbe itakulilia.
π€£π€£π€£CCM mna roho ngumu sanaAkafungiwa Mjimwema πΌ
Nilikuwa UVCCM enzi za Abdul Jumbe Mwinyi ππ
Ndiyo mkuu. Samahani mkuu, sisi wa huku Katavi huwa hatujui tofauti kati ya Abdul na Aboud.Ulimaanisha Aboud Jumbe? π€
Kuna miamba mingi sana ilikuwa na nia nja ma taifa hili. Mwl Nyerere alilewa madarakaKuna kila haja ya kuanzisha kumbukumbu ya Abdul Jumbe hapa nchini. Kwa maoni yangu huyu ndiye mzanzibari mwenye akili na maono mengi.
Huyu mwamba nilipata kufahamu kuwa aliupinga kwa nguvu zake zote huu muungano magumashi wa serikali 2.
Lkn sikupata kufahamu kuwa yeye ndiye kinara wa kupinga urais usiokuwa na ukomo hapa nchini, mpk ikagharimu nafasi yake ya urais wa Zanzibar. Hotuba ya Leo ya Tundu Lisu ndiyo imenifumbua macho.
Abdul Jumbe kongole kwako RIP.
N.B: Mbowe usiturudishe huko, damu ya Abdul Jumbe itakulilia.
Kwa mwendo huu, Nyerere alikuwa dikteta, sifa anazopewa wala hastahili.Kuna miamba mingi sana ilikuwa na nia nja ma taifa hili. Mwl Nyerere alilewa madaraka
Akafungiwa Mjimwema πΌ
Nilikuwa UVCCM enzi za Abdul Jumbe Mwinyi ππ
Sukwa πππUVCCM ya kina Mabiti, Lukuvi na Mohamed Seif Khatibu?
ππππSukwa πππ
Kuaba ake huyo seif hatibu huyo kama ukoma kwa sera chafu mungu amuwekr tena panapostahiliUVCCM ya kina Mabiti, Lukuvi na Mohamed Seif Khatibu?
Wenyewe wanamkubali sana.Kwa mwendo huu, Nyerere alikuwa dikteta, sifa anazopewa wala hastahili.
Unategemea afanye nini wakati ana 56yrs tu kwani alikuwepo wakati huo?Kafungiwa Kigamboni hadi mauti yake. Lissu aliishawahi kufanya nini kumsaidia akiwa hai hadi leo ajifanye anamkumbuka?
Ahahahahaha! Kasome historia vizuri.Unategemea afanye nini wakati ana 56yrs tu kwani alikuwepo wakati huo?
John Komba alikuwa mwalimu wangu pale Gangilonga Shule ya Msingi kabla hajajiunga na Jeshi la Wananchi πππππππ
Yuko wapi Sukwa? Enzi zetu za chipukizi na chama kushika hatamu
Tanzania ina mambo hiiππππ.
Mzee John Komba akiimba awamu ya pili kabambeπππππ
Nilikisikia hiki kisa juu juu tu,unaweza kuwa na nondo za kisa hiki nami nielimikeKafungiwa Kigamboni hadi mauti yake. Lissu aliishawahi kufanya nini kumsaidia akiwa hai hadi leo ajifanye anamkumbuka?
Kwani na wewe ulifanya nini wakati wa uhai wake, au ulimpikia ubwabwa?Kafungiwa Kigamboni hadi mauti yake. Lissu aliishawahi kufanya nini kumsaidia akiwa hai hadi leo ajifanye anamkumbuka?