Abdul Jumbe alikuwa kichwa sana. Pamoja na kupinga muungano wa serikali 2, kumbe alipinga urais usiokuwa na ukomo?

Abdul Jumbe alikuwa kichwa sana. Pamoja na kupinga muungano wa serikali 2, kumbe alipinga urais usiokuwa na ukomo?

Ingawa Wazanzibari almost wote wakihisi maslahi yao yanakwenda kubinywa ndio huaga wana usingizia muungano na Nyerere; Lissu aseme mzee Aboud Jumbe aliupataje urais wa Zanzibar baada ya mzee Karume kufariki, aeleze pia Nyerere alipataje habari za Jumbe kuanza kuuzungumzia muungano vibaya? Huyo aliyemfikishia Nyerere hiyo habari nae baadae ikawaje akawekwa ndani halafu baadae akaja kua bonge la mpinzani baada ya mfumo wa vyama vingi kuanza? Lakini hadi anafariki nae hakuwahi kuwaachia wengine ugombea kule Zenji na hadi akawa anaitwa "taasisi". Don't trust Zanzibaries, hawaaminiki, wana ndimi mbili mbili; mkumbuleni mgombea mwenza wa Lowassa 2015
 
Moja ya kitu kinachowagharimu watanzania wengi ni kusima, ndio maana wamebaki kushangilia kauli za wanasiasa bila kuchunguza ukweli halisi.
Jumbe aliondolewa mwaka 1984 na mwaka 1985 Nyerere akajiuzulu.
Baada ya kutoka madaraka aloweka ukomo wa rais mtoa mada jiulize hicho unachoambiwa kina usahihi kiasi gani?
 
  • Thanks
Reactions: RMC
Kuna kila haja ya kuanzisha kumbukumbu ya Abdul Jumbe hapa nchini. Kwa maoni yangu huyu ndiye mzanzibari mwenye akili na maono mengi.

Huyu mwamba nilipata kufahamu kuwa aliupinga kwa nguvu zake zote huu muungano magumashi wa serikali 2.

Lkn sikupata kufahamu kuwa yeye ndiye kinara wa kupinga urais usiokuwa na ukomo hapa nchini, mpk ikagharimu nafasi yake ya urais wa Zanzibar. Hotuba ya Leo ya Tundu Lisu ndiyo imenifumbua macho.

Abdul Jumbe kongole kwako RIP.

N.B: Mbowe usiturudishe huko, damu ya Abdul Jumbe itakulilia.


Punguza kusoma kwa hisia na mihemko. Ndio hakupenda na alipinga Serikali mbili ila sio ukomo wa urais maana Aboud Jumbe Mwinyi ndiye Rais Mzazibar aliyeongoza miaka mingi (miaka 12) kuliko wote na hadi anaondolewa madarakani alikuwa bado anaongoza na ukomo wa madaraka haukuwepo.

Usilofahamu ni kuwa baada ya hilo tukio la Jumbe kuondolewa urais ndio Mwl. Julius Nyerere aliweka ukomo wa madaraka akasema 'Viongozi wakikaa sana madarakani huelewa madaraka'.
 
Kuna kila haja ya kuanzisha kumbukumbu ya Abdul Jumbe hapa nchini. Kwa maoni yangu huyu ndiye mzanzibari mwenye akili na maono mengi.

Huyu mwamba nilipata kufahamu kuwa aliupinga kwa nguvu zake zote huu muungano magumashi wa serikali 2.

Lkn sikupata kufahamu kuwa yeye ndiye kinara wa kupinga urais usiokuwa na ukomo hapa nchini, mpk ikagharimu nafasi yake ya urais wa Zanzibar. Hotuba ya Leo ya Tundu Lisu ndiyo imenifumbua macho.

Abdul Jumbe kongole kwako RIP.

N.B: Mbowe usiturudishe huko, damu ya Abdul Jumbe itakulilia.
Kupandikiza udini Tanganyika na kusimamia mpango wa kuiua BAKWATA,

Ndiye aliyezunguka Tanganyika nzima kuhimiza uanzishaji wa Baraza la Misikiti la Taifa lengo ikiwa ni kuiua BAKWARA.

Kikichimtoa madarakani ni kutaka kwenda mahakamani kuhoji uhalali wa serikali mbili. Aliajiri mwanasheria wa Ghana akamtengenezea document ya kuchallenge muungano, doc hiyo ikaibwa na Lubuva ofisini kwa Jumbe akapelekewa Nyerere ndipo Nyerere akamsulubu.
 
Moja ya kitu kinachowagharimu watanzania wengi ni kusima, ndio maana wamebaki kushangilia kauli za wanasiasa bila kuchunguza ukweli halisi.
Jumbe aliondolewa mwaka 1984 na mwaka 1985 Nyerere akajiuzulu.
Baada ya kutoka madaraka aloweka ukomo wa rais mtoa mada jiulize hicho unachoambiwa kina usahihi kiasi gani?
Mkuu hapa ni Jamiiforums, kama wewe mwenzetu unajua tofauti na tulichoambiwa, tuwekee hapa. Vinginevyo na wewe tutakuweka kwenye kundi la watanzania unaowalaumu.
 
Moja ya kitu kinachowagharimu watanzania wengi ni kusima, ndio maana wamebaki kushangilia kauli za wanasiasa bila kuchunguza ukweli halisi.
Jumbe aliondolewa mwaka 1984 na mwaka 1985 Nyerere akajiuzulu.
Baada ya kutoka madaraka aloweka ukomo wa rais mtoa mada jiulize hicho unachoambiwa kina usahihi kiasi gani?
Nyerere alianza kuzungumzia kuondoka madarakani tangu miaka ya sabini mwishoni, muasisi wa ukomo wa madaraka ni Nyerere sio Jumbe
 
Nyerere alianza kuzungumzia kuondoka madarakani tangu miaka ya sabini mwishoni, muasisi wa ukomo wa madaraka ni Nyerere sio Jumbe
Jumbe alikuwa kwenye uongozi toka mwaka 1972 mpaka mwaka 1984 alipoondolewa. Kipindi chote alikuwa hajaona tatizo la ukomo wa madaraka.
 
doc hiyo ikaibwa na Lubuva ofisini kwa Jumbe akapelekewa Nyerere ndipo Nyerere akamsulubu.
Mbona taarifa hizi zinapingana. Hii ndiyo kwanza nasikia kwako. Mara nyingi wanaosimulia wanasema Maalim Seif (waziri Kiongozi) ndiye aliyeiba hiyo nyaraka toka AboudJumbe (rais) na kuipeleka kwa Nyerere
 
Mkuu hapa ni Jamiiforums, kama wewe mwenzetu unajua tofauti na tulichoambiwa, tuwekee hapa. Vinginevyo na wewe tutakuweka kwenye kundi la watanzania unaowalaumu.
Nimekueleza kwa kuweka kumbukumbu, Jumbe aliondolewa 1984. Mwaka uliofuata Nyerere alijiuzulu. Baada ya kyjiuzulu waliweka ukomo wa madaraka kuwa vipindi vizuri. Nyerere aligombana na Kolimba kwa sababu ya kuanza kampeni Mwinyi aongezewe kipindi cha utawala. Kama hayo madai ya Jumbe yangekuwa ya ukweli Basi asingetolewa madarakani.
Jumbe aliondolewa sababu ya kutaka kufanya uhaini na kupokea pesa za cia. Seif Sharif Hamad ndiye aliyeiba nyarakaza mipango ya Jumbe na kumpelekea Nyerere. Ila huyohuyo aligeuka na kuwa kinara wa kudai serikali tatu ambao ulikuwa moja ya mipango ya Jumbe.
 
Mbona taarifa hizi zinapingana. Hii ndiyo kwanza nasikia kwako. Mara nyingi wanaosimulia wanasema Maalim Seif (waziri Kiongozi) ndiye aliyeiba hiyo nyaraka toka AboudJumbe (rais) na kuipeleka kwa Nyerere
Maalumu Seifu ndiye aliiba.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Lissu ukikaa nae,unagundua namna anavyoijua historia.Jamaa ni mdadisi na mpenda kusoma
 
Kwakweli mzee mbowe anatia sana aibu,.
Karne hii zama hizi kweli ni za kutoa kauli, eti chama changu!! eti bila mimi hakieleweki!!... wanao mshauri mzee wamshauri vizuri.
 
Mbona taarifa hizi zinapingana. Hii ndiyo kwanza nasikia kwako. Mara nyingi wanaosimulia wanasema Maalim Seif (waziri Kiongozi) ndiye aliyeiba hiyo nyaraka toka AboudJumbe (rais) na kuipeleka kwa Nyerere
Sio maalim ni Lubuva wakati huo alikuwa,mwanasheria anayefanyia kazi zanzibar. Nakupa kitu cha uhakika mkuu.
Maalim Sefu alikuwa waziri kiongozi enzi za Abdul Wakil sio Jumbe. Wakati wa Jumbe aliwahi kuwa waziri wa elimu
 
Kafungiwa Kigamboni hadi mauti yake. Lissu aliishawahi kufanya nini kumsaidia akiwa hai hadi leo ajifanye anamkumbuka?
Daaaah... Wewe ndo unasababisha hawa mbwa watutukane watuone wote hatuna akili. Lissu ana nini cha kufanya katika hilo? Sisi CCM tuseme tu tunamtaka Mbowe
 
Back
Top Bottom