Kuna kila haja ya kuanzisha kumbukumbu ya Abdul Jumbe hapa nchini. Kwa maoni yangu huyu ndiye mzanzibari mwenye akili na maono mengi.
Huyu mwamba nilipata kufahamu kuwa aliupinga kwa nguvu zake zote huu muungano magumashi wa serikali 2.
Lkn sikupata kufahamu kuwa yeye ndiye kinara wa kupinga urais usiokuwa na ukomo hapa nchini, mpk ikagharimu nafasi yake ya urais wa Zanzibar. Hotuba ya Leo ya Tundu Lisu ndiyo imenifumbua macho.
Abdul Jumbe kongole kwako RIP.
N.B: Mbowe usiturudishe huko, damu ya Abdul Jumbe itakulilia.
Kwani haujaona kuwa nawe umelalamika humu, vinginevyo labda uwe chawa, ooooh nimekosea nilitaka niseme Shoga.Kwangu mimi alistahili kupata alichopata ndio maana silalamiki. Hoja yangu, wanaloloma akina Lissu walimsaidiaje?
Okay MM.Akafungiwa Mjimwema 🐼
Nilikuwa UVCCM enzi za Abdul Jumbe Mwinyi 😂😂
Kama hakuwa na cha kufanya kwa mtu mmoja aliyewekwa kizuizini bila kupelekwa mahakamani, anaweza kiwakomboa ninyi nyumbu kwa kuwaletea Katiba Mpya ya Chadema na ya nchi?Daaaah... Wewe ndo unasababisha hawa mbwa watutukane watuone wote hatuna akili. Lissu ana nini cha kufanya katika hilo? Sisi CCM tuseme tu tunamtaka Mbowe
Mimi silalamiki naunga mkono Mzee Jumbe kupumzishwa uongozi. Hoja yangu, kwanini Lissu ajifanye anamsifia mtu aliyeshindwa kumtetea kama Wakili na kama mtu anayejali haki za wengine? Sijui unanielewa?Kwani haujaona kuwa nawe umelalamika humu, vinginevyo labda uwe chawa, ooooh nimekosea nilitaka niseme Shoga.
Tundu Lissu ni mwongo mwongo sana. Na kuna wajinga anawapata kama wewe.Kuna kila haja ya kuanzisha kumbukumbu ya Abdul Jumbe hapa nchini. Kwa maoni yangu huyu ndiye mzanzibari mwenye akili na maono mengi.
Huyu mwamba nilipata kufahamu kuwa aliupinga kwa nguvu zake zote huu muungano magumashi wa serikali 2.
Lkn sikupata kufahamu kuwa yeye ndiye kinara wa kupinga urais usiokuwa na ukomo hapa nchini, mpk ikagharimu nafasi yake ya urais wa Zanzibar. Hotuba ya Leo ya Tundu Lisu ndiyo imenifumbua macho.
Abdul Jumbe kongole kwako RIP.
N.B: Mbowe usiturudishe huko, damu ya Abdul Jumbe itakulilia.
Ndiyo huyo huyo mkuu, ni makosa ya kiuandishi tuzanzibar hakujawahi kuwepo Rais anayeitwa Abdul Jumbe labda ulikusudia Aboud Jumbe
Wala hajapambana na Jumbe, ametolea tu kama jambo la kupigiwa mfano.Badala ya apambane na Mbowe sasa anaanza kulumbana na watu waliokufa. Tutampata wapi Aboud Jumbe aje kuthibitisha hizo hoja?
Dogo tulizaga akili, anaitwa Aboud Jumbe.Kuna kila haja ya kuanzisha kumbukumbu ya Abdul Jumbe hapa nchini. Kwa maoni yangu huyu ndiye mzanzibari mwenye akili na maono mengi.
Huyu mwamba nilipata kufahamu kuwa aliupinga kwa nguvu zake zote huu muungano magumashi wa serikali 2.
Lkn sikupata kufahamu kuwa yeye ndiye kinara wa kupinga urais usiokuwa na ukomo hapa nchini, mpk ikagharimu nafasi yake ya urais wa Zanzibar. Hotuba ya Leo ya Tundu Lisu ndiyo imenifumbua macho.
Abdul Jumbe kongole kwako RIP.
N.B: Mbowe usiturudishe huko, damu ya Abdul Jumbe itakulilia.
Ni Aboud Jumbe Mwinyi.Akafungiwa Mjimwema 🐼
Nilikuwa UVCCM enzi za Abdul Jumbe Mwinyi 😂😂
Hebu jaribu kuficha upumbavu, tatizo ni uvivu wa kusoma na kusikiliza vinginevyo hakuna alichokosea alikuwa anazungumzia Historia tu ya wapi nchi imepita. CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha.Tundu Lissu ni mwongo mwongo sana. Na kuna wajinga anawapata kama wewe.
Ni mtu wa kuropoka ndiyo maana Magufuli alimpiga risasi.
Badala ya apambane na Mbowe sasa anaanza kulumbana na watu waliokufa. Tutampata wapi Aboud Jumbe aje kuthibitisha hizo hoja?
Sawa mkuuDogo tulizaga akili, anaitwa Aboud Jumbe.
Kuropoka kwa Lissu, kujifanya much know, kutoshaurika, kiujumla KUNAMFUTIA sifa zote kuwa kiongozi bora.Wala hajapambana na Jumbe, ametolea tu kama jambo la kupigiwa mfano.
Hebu jaribu kuficha upumbavu. Kama huelewi nilichoandika funika domo lako hapaHebu jaribu kuficha upumbavu, tatizo ni uvivu wa kusoma na kusikiliza vinginevyo hakuna alichokosea alikuwa anazungumzia Historia tu ya wapi nchi imepita. CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha.
Tuondoleee upuuzi wako hapaHebu jaribu kuficha upumbavu. Kama huelewi nilichoandika funika tomorrow lako hapa
Daaah....ulichoandika....Mungu anajua. Huna mtu mwenye uelewa au akili anayeweza kukuandikia ili nasi tukuelewe ulichotaka kutuambia.Kama hakuwa na cha kufanya kwa mtu mmoja aliyewekwa kizuizini bila kupelekwa mahakamani, anaweza kiwakomboa ninyi nyumbu kwa kuwaletea Katiba Mpya ya Chadema na ya nchi?
Mbowe yeye hata usemaje hashauriki!!!Kuna kila haja ya kuanzisha kumbukumbu ya Abdul Jumbe hapa nchini. Kwa maoni yangu huyu ndiye mzanzibari mwenye akili na maono mengi.
Huyu mwamba nilipata kufahamu kuwa aliupinga kwa nguvu zake zote huu muungano magumashi wa serikali 2.
Lkn sikupata kufahamu kuwa yeye ndiye kinara wa kupinga urais usiokuwa na ukomo hapa nchini, mpk ikagharimu nafasi yake ya urais wa Zanzibar. Hotuba ya Leo ya Tundu Lisu ndiyo imenifumbua macho.
Abdul Jumbe kongole kwako RIP.
N.B: Mbowe usiturudishe huko, damu ya Abdul Jumbe itakulilia.
Nakumbuka Aboud (,sio Abdul) Jumbe alivyo pinga Waislamu kulazimishiwa Bakwata ya Nyerere na kuanzisha Baraza la Misikiti (ambalo ni mfu sasa) na huo ndio ukawa mwisho wake.Kuna kila haja ya kuanzisha kumbukumbu ya Abdul Jumbe hapa nchini. Kwa maoni yangu huyu ndiye mzanzibari mwenye akili na maono mengi.
Huyu mwamba nilipata kufahamu kuwa aliupinga kwa nguvu zake zote huu muungano magumashi wa serikali 2.
Lkn sikupata kufahamu kuwa yeye ndiye kinara wa kupinga urais usiokuwa na ukomo hapa nchini, mpk ikagharimu nafasi yake ya urais wa Zanzibar. Hotuba ya Leo ya Tundu Lisu ndiyo imenifumbua macho.
Abdul Jumbe kongole kwako RIP.
N.B: Mbowe usiturudishe huko, damu ya Abdul Jumbe itakulilia.