Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Unahisi una akili kama Lissu anavyoamini anajua kuliko mtu yeyote Tanzania kumbe ndivyo anavyojidhihirisha alivyo mjinga.Daaah....ulichoandika....Mungu anajua. Huna mtu mwenye uelewa au akili anayeweza kukuandikia ili nasi tukuelewe ulichotaka kutuambia.
SHule mnafungua lini?Unahisi una akili kama Lissu anavyoamini anajua kuliko mtu yeyote Tanzania kumbe ndivyo anavyojidhihirisha alivyo mjinga.
Mkeo ni Mwalimu wetu wa Stadi za Kazi. Tena huwa anatukopesha visheti. Muulize.SHule mnafungua lini?
Abdul Jumbe ndo nani tena au unamaanisha Aboud Jumbe au ni wawili tofauti?Kuna kila haja ya kuanzisha kumbukumbu ya Abdul Jumbe hapa nchini. Kwa maoni yangu huyu ndiye mzanzibari mwenye akili na maono mengi.
Huyu mwamba nilipata kufahamu kuwa aliupinga kwa nguvu zake zote huu muungano magumashi wa serikali 2.
Lkn sikupata kufahamu kuwa yeye ndiye kinara wa kupinga urais usiokuwa na ukomo hapa nchini, mpk ikagharimu nafasi yake ya urais wa Zanzibar. Hotuba ya Leo ya Tundu Lisu ndiyo imenifumbua macho.
Abdul Jumbe kongole kwako RIP.
N.B: Mbowe usiturudishe huko, damu ya Abdul Jumbe itakulilia.
Huyo uliyemtaja wewe ndiye sahihiAbdul Jumbe ndo nani tena au unamaanisha Aboud Jumbe au ni wawili tofauti?
Abdul Jumbe hajawahi kuwepo uongozi wa Bara wsla Visiwani.Kuna kila haja ya kuanzisha kumbukumbu ya Abdul Jumbe hapa nchini. Kwa maoni yangu huyu ndiye mzanzibari mwenye akili na maono mengi.
Huyu mwamba nilipata kufahamu kuwa aliupinga kwa nguvu zake zote huu muungano magumashi wa serikali 2.
Lkn sikupata kufahamu kuwa yeye ndiye kinara wa kupinga urais usiokuwa na ukomo hapa nchini, mpk ikagharimu nafasi yake ya urais wa Zanzibar. Hotuba ya Leo ya Tundu Lisu ndiyo imenifumbua macho.
Abdul Jumbe kongole kwako RIP.
N.B: Mbowe usiturudishe huko, damu ya Abdul Jumbe itakulilia.
Ameaniambia kumbe ulisimamishwa sababu ni mjamzito. Haya ukijifungua rudi shuleMkeo ni Mwalimu wetu wa Stadi za Kazi. Tena huwa anatukopesha visheti. Muulize.
Dah! Mke wakonna wewe vilaza kweli! Aliyewaambia mwanafunzi akipata ujauzito anasimamishwa nani? Hivi mlikwepaje kwenye vyeti fweki?Ameaniambia kumbe ulisimamishwa sababu ni mjamzito. Haya ukijifungua rudi shule
Sawa bossAbdul Jumbe hajawahi kuwepo uongozi wa Bara wsla Visiwani.