Abdul Jumbe alikuwa kichwa sana. Pamoja na kupinga muungano wa serikali 2, kumbe alipinga urais usiokuwa na ukomo?

Daaah....ulichoandika....Mungu anajua. Huna mtu mwenye uelewa au akili anayeweza kukuandikia ili nasi tukuelewe ulichotaka kutuambia.
Unahisi una akili kama Lissu anavyoamini anajua kuliko mtu yeyote Tanzania kumbe ndivyo anavyojidhihirisha alivyo mjinga.
 
Abdul Jumbe ndo nani tena au unamaanisha Aboud Jumbe au ni wawili tofauti?
 
Abdul Jumbe hajawahi kuwepo uongozi wa Bara wsla Visiwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…