Abdul mwana wa Rais Samia yuko nchini India kwenye msafara wa Rais

Kuna shida gani mtoto kufuatana na mama yake, mue mnatumia na akili kabla ya kuongea chochote.

Kuna shida gani mtoto kufuatana na mama yake, mue mnatumia na akili kabla ya kuongea chochote.
 
Shida ipo wapi kwani wewe hujawahi kusafiri na mama yako? Acha wivu hao watoto wa viongozi wetu ndiyo viongozi wa kesho eti kisa mama yake ni rais ndio ajifichefiche
 
We popoma kweli Uganda kwa m7 alienda kumuwakilisha mama yako? Unafikiri kwa kutumia makalio chawa wewe
 
hahaaaa umeshahamia kwenye mipasho? sio kila kitu lazima ujibu saa nyingine yafaa kukaa kimya kuficha tabia au ujinga wako.
 
Bibi lenu Lina kiingereza kibovu yaani empty headed purely. Huyu ndio apitishwe na CCM 2025 over my dead body, CCM haijaoza kiasi hicho, my third born, there two a head of him, hovyo kabisa
Sikiliza wewe uliyekosa adabu na mwenye akili ya kiuwendawazimu. Huwezi ukaelewa kitu kutokana na umbumbumbu wako
 
Shida ipo wapi kwani wewe hujawahi kusafiri na mama yako? Acha wivu hao watoto wa viongozi wetu ndiyo viongozi wa kesho eti kisa mama yake ni rais ndio ajifichefiche
Mkuu maswali mengine lazima yajibiwe kwa kufikiri zaidi badala ya kutukanan nakukejeliana. Swali la msingi ni kwamba Alionekana uganda akiwakilisha serikali swali linabaki "kama nani kikatiba?" kabla majibu hayajapatikana anaonekana katika msafara wa Rais na anatambulishwa na Rais, Kumbuka kwamba ule sio msafara wa kifamilia bali ni ziara ya Kiserikali kwahiyo presidential team lazima itambulike officially na kiprotocalli, Angetambulishwa Mzee Ameir wala hakuna tatizo lolote wala usingesikia maswali ya namna hii. Kwahiyo maswali ya namna hii lazima yajibiwe kwa akili kwa kuzingatia hulka na tabia za viongozi wengi wa Bara la Afrika.
 
Tujiandae watanganyika samia atatuletea shida. Ni wale viongozi walevi wa madaraka na waroho wa mali. Mwanae anatoka wapi kwenye misafara rasmi ya rais wa jamhuri wakati hana uteuzi rami wowote serikali? Anatambulishwa kama nani?
 
Kuwa katika ziara ya mh Rais kifungu gani cha katiba kimevunjwa? Sheria ipi imekiukwa? Kanuni ipi imesiginwa? Kwani Rais ni wapi kakatazwa na katiba yetu kuwa na mtoto wake ziarani? Kuwa mtoto wa Rais kuna mzuia vipi mwanaye kuambatana naye? Kwani Obama hakuwa anasafiri na watoto wake? Acheni chuki za kijinga na umbumbumbu wenu.
 
Jibu kwanza wewe uliyelaaniwa alienda kuiwakilisha nchi Kama nani, mtoto mdogo chale mpaka kwenye mfereji wa kijambio
Nani akujibu wewe mwenye akili kizibo? Kwani umemaliza lini matibabu yako ya ukichaa? Daktari wako kakuruhusu lini kuanza kutumia simu ilihali wewe ni mgonjwa wa akili?
 
Tujiandae watanganyika samia atatuletea shida. Ni wale viongozi walevi wa madaraka na waroho wa mali. Mwanae anatoka wapi kwenye misafara rasmi ya rais wa jamhuri wakati hana uteuzi rami wowote serikali? Anatambulishwa kama nani?
Kwani wapi katika katiba imekatazwa na kupiga marufuku mtoto wa Rais kusafiri pamoja na Rais? Kwani Rais hawezi kumlipia Nauli? Kwani wapi viongozi wetu wanapokatazwa kusafiri na familia zao? Acha wehu wako
 
utakapoacha kuhamaki na kwa kujibu kwa hasira as if ni mama yako mzazi amekosolewa utaweza kuandika vizuri na kujibu hoja rejea nilichoandika na kwa namna gani mtoa hoja amejenga hoja yake, yaani sababu ya kuuliza hilo swali. Niliomba wasifu wako wa elimu uligoma kulete hapa yamkini nitauliza umri wako pia ili kujua zaidi wewe ni mtu wa namna gani ili tuweze kujadiliana vyema bwana mwashamba
 
Mkuu hakuna shida kabisa kwanini unahisi ni kosa rais Samia kwenda india na mtoto wake? Au kwanini unahisi ni kosa mtoto wa rais Samia kwenda uganda kuonana na raisi Museveni na kusaini project kubwa kubwa kwa akili ya kawaida hata wewe mzazi wako angekuwa Raisi wa Nchi usinge kaa kaa tuu alafu baadae uje uchekwe kama watoto wa nyerere. Unamkumbuka yule mtoto wa kiongozi aliye vaa jinsi na kuingia bungeni! Yule ni mtoto wa nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…