Abdul mwana wa Rais Samia yuko nchini India kwenye msafara wa Rais

Abdul mwana wa Rais Samia yuko nchini India kwenye msafara wa Rais

Utakufaa namichuki yako ya kijinga na kimasikini.Tangia lini katiba yetu ikapiga marufuku Rais kuwa na familia yake au mtoto wake akitaka kwenda naye mahali? Kwani Rais hana uwezo wa kumlipia mwanae Nauli? Pasukaaa kama umetumia.pambana na wewe upate nauli usafiri nje ya nchi
Mjinga tu wewe wala huelewi. Kwani hiyo ni safari ya kifamilia? Rais anaenda kikazi sio private visit kwamba anaweza tu kumsimamisha mwanae na kumtambulisha wakati sio mtumishi rasmi. Tangu nchi hii kupata uhuru hatujaona kitu kama hiki tangu nyerere hadi magufuli. Samia asijaribu kurasimisha urais kama ni jambo la familia yake. Wenye akili ndogo kama wewe ndio wataona ni sawa tu.
 
Mjinga tu wewe wala huelewi. Kwani hiyo ni safari ya kifamilia? Rais anaenda kikazi sio privaye visit kwamba anaweza tu kumsimamisha mwanae na kumtambulisha wakati sio mtumishi rasmi. Tangu nchi hii kupata uhuru hstujaona kitu kama hiki tangu nyerere hadi magufuli. Samia asijaribu kurasimisha urais kama ni jambo la familia yake. Wenye akili ndogo kama wrwe ndio wataona ni sawa tu.
Kwani safari Rasmi inamkataza Rais kusafiri na familia au mtoto wake? Ni wapi ambapo katiba yetu inasema Rais akiwa ziarani haruhusiwi kuwa na mwana familia yake? Acheni chuki .acha ujinga wako.acha ushamba na wivu wa kijinga wewe
 
Mkuu hakuna shida kabisa kwanini unahisi ni kosa rais Samia kwenda india na mtoto wake? Au kwanini unahisi ni kosa mtoto wa rais Samia kwenda uganda kuonana na raisi Museveni na kusaini project kubwa kubwa kwa akili ya kawaida hata wewe mzazi wako angekuwa Raisi wa Nchi usinge kaa kaa tuu alafu baadae uje uchekwe kama watoto wa nyerere. Unamkumbuka yule mtoto wa kiongozi aliye vaa jinsi na kuingia bungeni! Yule ni mtoto wa nani?
Naomba usome comment yangu mwanzo mpaka mwisho utaona hakuna mahala nimeandika ninahisi ni kosa, katika mstari wa pili ulipaswa kujibu hoja kwamba alienda Uganda kibiashara na kama museveni ni business partner wake au aliwakilisha jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania kama kiongozi wao na sio kama kiongozi yeyote wa serikali, kwa sbabu hakuna mahala ana uteuzi wowote kisheria kama kiongozi au mwakilishi wa rais, unless useme Tanzania ni nchi ya kifalme hivyo familia inaamua lolote. Kama ipo haja ya kuepuka watoto kuchekwa kama nyerere ni yeye kumuinitiate katika mfumo rasmi wa siasa na uteuzi kisheria kama alivyofanya JK kumuingiza Rodhiwani katika siasa za Tanzania ndio mana hakuna maswali mengi katika hilo. Kuhusu mtoto wa kiongozi aliyevaa jeans na kuingia bungeni nadhani ni nje ya mada. Adios mwelimishe na mwashamba.
 
Rais kusafiri na mwanaye au mume/mke siyo jambo la mjadala kihivyo.
Rais ana familia, ndugu, jamaa na hata marafiki. Wote hao wana muingiliano wa kijamii akiwa nyumbani na safarini pia.
Hata hivyo, mambo ya kifamilia yanayoingiliana ni asilimia ndogo sana na huwezi kuyatenga moja kwa moja na yale ya kiofisi.
 
Bibi lenu Lina kiingereza kibovu yaani empty headed purely. Huyu ndio apitishwe na CCM 2025 over my dead body, CCM haijaoza kiasi hicho, my third born, there two a head of him, hovyo kabisa
Nilifikiri unamsahihisha hapa tuone weledi wako kwenye ng'eng'e, ongea cha kwako tuone! Punguza chuki na matusi!
 
Kwani safari Rasmi inamkataza Rais kusafiri na familia au mtoto wake? Ni wapi ambapo katiba yetu inasema Rais akiwa ziarani haruhusiwi kuwa na mwana familia yake? Acheni chuki .acha ujinga wako.acha ushamba na wivu wa kijinga wewe
Mnasemaga ni wivu kwa ujinga lakini tunaojua tunasema ni matumizi mabaya ya madaraka. Huyo ni raia tu hatujatambulishwa ana cheo gani serikali. Hawezi kua mtalii kwa gharama ya umma. Kama amesafiri na msafara kama mfanyabiashara rostam wala hatujui lakini picha inayooneka kasafiri eti ni mtoto wa rais.
 
Naomba usome comment yangu mwanzo mpaka mwisho utaona hakuna mahala nimeandika ninahisi ni kosa, katika mstari wa pili ulipaswa kujibu hoja kwamba alienda Uganda kibiashara na kama museveni ni business partner wake au aliwakilisha jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania kama kiongozi wao na sio kama kiongozi yeyote wa serikali, kwa sbabu hakuna mahala ana uteuzi wowote kisheria kama kiongozi au mwakilishi wa rais, unless useme Tanzania ni nchi ya kifalme hivyo familia inaamua lolote. Kama ipo haja ya kuepuka watoto kuchekwa kama nyerere ni yeye kumuinitiate katika mfumo rasmi wa siasa na uteuzi kisheria kama alivyofanya JK kumuingiza Rodhiwani katika siasa za Tanzania ndio mana hakuna maswali mengi katika hilo. Kuhusu mtoto wa kiongozi aliyevaa jeans na kuingia bungeni nadhani ni nje ya mada. Adios mwelimishe na mwashamba.
Wewe haupo honest kwenye topic yako mkuu ndiyo mana ukamamaliza na salamu ya kiislamu ila watoto wa marais wana vyeo vyao kama first son first doughter nk kama ilivyokuwa kwa first lady nk kisheria hakuna kosa lolote kuwa karibu na familia mfano ivanka Trump mtoto wa donald Trump alikuwa advisor kwa baba yake tena ikulu ya white house ata Mama Samia akitaka ni Simu moja tu kwa Zuhura Yunus anatangaza position
 
Yeye na mama yake hawana shida.

Wenye shida ni michawa, misukule na mifuasi yao kwa gharama ya posho ya elfu na t-shirt
 
Kwanini kwenye Delegation ya Maza asimchukue Biswalo Mganga ili wapitilize mpaka China ili akamuoneshe ile Akaunti ya fedha za Plea bargain zilikofichwa.
 
utakapoacha kuhamaki na kwa kujibu kwa hasira as if ni mama yako mzazi amekosolewa utaweza kuandika vizuri na kujibu hoja rejea nilichoandika na kwa namna gani mtoa hoja amejenga hoja yake, yaani sababu ya kuuliza hilo swali. Niliomba wasifu wako wa elimu uligoma kulete hapa yamkini nitauliza umri wako pia ili kujua zaidi wewe ni mtu wa namna gani ili tuweze kujadiliana vyema bwana mwashamba
Wewe naona hupo Timamu,kwani katika hoja hiyo ya kijinga ya mleta mada ni wapi panapohusiana na umri wa mtu? Jikite kwenye hoja na siyo kukurupuka tu
 
Mnasemaga ni wivu kwa ujinga lakini tunaojua tunasema ni matumizi mabaya ya madaraka. Huyo ni raia tu hatujatambulishwa ana cheo gani serikali. Hawezi kua mtalii kwa gharama ya umma. Kama amesafiri na msafara kama mfanyabiashara rostam wala hatujui lakini picha inayooneka kasafiri eti ni mtoto wa rais.
Wewe hutakiwi hata kujibiwa vizuri maana inaonyesha umeandika vitu usivyovielewa zaidi ya kufuata mkumbo tu na kukurupuka tu. Kwani mtoto wa Rais hawezi kujilipia nauli ya kufika India? Watanzania wangapi wanafika India? Kwani hawezi kuambatana na mama yake kwa gharama zake au za mama yake kama mwana familia?
 
Back
Top Bottom