Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Pre GE2025 Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii siyo mara ya kwanza Komredi Kinana Kujiuzulu.

Alishajiuzulu wakati wa Magufuli lakini akarejea tena kwa Cheo kikubwa zaidi zama hizi za Mpendwa Wetu Mwenyekiti Mh Dr Samia

Sasa Amejiuzulu na anaweza kurejea tena au Ndio anastaafu kama Mzee Tingatinga? 😃

Mlale Unono 😀😀
Hutaki na mimi kijana nikapewa nafasii hiii? Naomba kamati kuu waniteue mimi nipokee kijiti cha kinana.
 
Najua hilo ila Kikwete ndio anaweza amua kuunga mkono Samia au watu wake na kuna sababu za kwanini amkatae Samia au amuunge mkono. Samia sio smart sana hajawahi kuwa na watu wake wa kuwaamini, yeye anapewa watu anabeba.

Kama intelligence ingekuwa na uwezo wa crandestine operations basi hata Kikwete ange.... ila sasa huo uwezekano ni mdogo sana. Hawa kina Kinana wangekuwa na nguvu kidogo.
Kumuunga mkono inategemea kilichofanya wasiwe wamoja. Madaraka siyo mchezo na mchezo unaweza kubadilika muda wowote.
 
Makanali wastaafu wamebakiza mtu mmoja tu kwenye ubavu wa mama lakini pia bado wanamshawishi au kwa lugha sahihi wanamtaka Ridhiwan abwage manyanga haraka.
Wastaafu wanataka wapigane kutokea nyuma kuelekea mbele kwa kutumia mbinu ya kijeshi inayoitwa blitzkrieg hapo 2025.
Amrudie anayejua kubashiri na Slowslow
 
Back
Top Bottom