Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hutaki na mimi kijana nikapewa nafasii hiii? Naomba kamati kuu waniteue mimi nipokee kijiti cha kinana.Hii siyo mara ya kwanza Komredi Kinana Kujiuzulu.
Alishajiuzulu wakati wa Magufuli lakini akarejea tena kwa Cheo kikubwa zaidi zama hizi za Mpendwa Wetu Mwenyekiti Mh Dr Samia
Sasa Amejiuzulu na anaweza kurejea tena au Ndio anastaafu kama Mzee Tingatinga? 😃
Mlale Unono 😀😀
Hakuwa mlezi ni mhujumu uchumi tuYule mzee mlezi wa vijana watukutu
Makamu Mwenyekiti anatakiwa mtu anayekijua Chama kweli kweli kama Mkuchika au Lukuvi 😀😀Hutaki na mimi kijana nikapewa nafasii hiii? Naomba kamati kuu waniteue mimi nipokee kijiti cha kinana.
Hakika hakubahatisha yule kutamka vile, he knows better than anyone kama mambo hayaendiIn msoga voice "labda mambo yakiaribika sana" naona mambo ndo hayo yameshaanza kuparanganyika
Kumuunga mkono inategemea kilichofanya wasiwe wamoja. Madaraka siyo mchezo na mchezo unaweza kubadilika muda wowote.Najua hilo ila Kikwete ndio anaweza amua kuunga mkono Samia au watu wake na kuna sababu za kwanini amkatae Samia au amuunge mkono. Samia sio smart sana hajawahi kuwa na watu wake wa kuwaamini, yeye anapewa watu anabeba.
Kama intelligence ingekuwa na uwezo wa crandestine operations basi hata Kikwete ange.... ila sasa huo uwezekano ni mdogo sana. Hawa kina Kinana wangekuwa na nguvu kidogo.
Bado hawajavurugana mi naonaMi napenda wanavyovurugana yani roho kwatu 😹😹😹
Brii aache ujinga mapenzi baadae amalizie ubuyu
Unamaanisha hapa duniani au kule aliko?Makonda mara paap mwenyekiti 😄
Ova
Watakatifu wataishi mileleHaya mambo Yana uhusiano mkubwa na kifo cha mwenyekiti wa wadudu...
Nawaonaga ni empty set hao watu, hawana nia njema na hii nchi walitakiwa wawe gerezani km wafungwaHuyo alikuwa chawa wa Makamba na nape. Anadhani kuna watu wana hati miliki ya kuwa ma Rais, mfumo wake wa akili unaamini Makamba na Nape ni 'King makers' kwamba bila hao huwezi kuwa Rais.
Hamna kitu km hikoNaona Mzee kinana akienda kuungana na wale Vijana wawili katika Pre-season ya uchaguzi
Lile faili la ukwapuzi wao limo kwapani mwake kwa maandamizi ya walafi.kwa mwendo huu Lissu njia nyeupeeee ikulu 2025
Huku kwetu tunasema "bhokeye".Kumekucha
Wanaelekea kugawana fitoBado hawajavurugana mi naona
Amrudie anayejua kubashiri na SlowslowMakanali wastaafu wamebakiza mtu mmoja tu kwenye ubavu wa mama lakini pia bado wanamshawishi au kwa lugha sahihi wanamtaka Ridhiwan abwage manyanga haraka.
Wastaafu wanataka wapigane kutokea nyuma kuelekea mbele kwa kutumia mbinu ya kijeshi inayoitwa blitzkrieg hapo 2025.