shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,430
- 3,547
where did you take this from?Abel alikua na Pacha wa kike, akaoa huyo Pacha wake, na Kaini alikua nae ana Pacha akaoa huyo! Kilichofanyika ni kutowaandika wanawake Majina yao, ndio ulivyokua utamaduni wa Wakati wao. Zamani ulikua unazaliwa na mkeo au mmeo.