Jibu ni kwamba baada Mungu Kumuumba Adam ,na kuwambia malaika wammsujudie yaani wammpe heshima,m malaika wowote walisujudu isipokuwa huyu Iblis ambayo asili yake alikuwa ni jinni.kumbuka huyu huyu Iblis au ababil au abaa sijda alilelewa mbinguni na mpk akawa kiongozi wa malaika wote.ni kiumbe anajua mambo mengi sana mbingun.Kwa kukataa huko Mungu alimpa laana na kumshusha duniani.
Adam na hawa waliishi peponi walishushwa duniani baada ya kuasi maagizo ya Mungu . Baada ya Adam na hawa Kuletwa duniani Mungu aliweka utaratibu wa wao kuzaa na walizaa kila siku ASUBUHI na jioni -elewa mwanzo wa dunia siku moja haikuwa kama ya Leo ambapo masaa yalikuwa hayakimbii saana kama maisha ya Leo.
so hapo Sheria ya kuoa ilikuwa tofauti na za miaka hii.baada ya kuja mitume na manabii KULETA taratibu za dini.na mambo kama hayo ya kuoa. So ilikuwa hivi .mtoto aliyezaliwa jioni alikuwa ANAOLEWA na MTU aliyezaliwa ASUBUHI.walitoka tumbo moja lkn utaratibu ulikuwa hivyo. Naa kwani watoto walikuwa wanakuwa haraka haraka kuliko maisha yetu.
haya.ya Leo.sasa hao akina kabil walioa ndugu zao wa tumbo moja kilichotenganisha ni Muda tu.Nasisitiza wa ASUBUHI alioa /kuolewa na wa jioni.asante