Abiria wa mabasi ya kwenda Kigoma wako tofauti na mikoa migine

Abiria wa mabasi ya kwenda Kigoma wako tofauti na mikoa migine

Mdukuzii

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
2,552
Reaction score
6,422
Nimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii. Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri.

Mabasi yao ni masafi, abiria wastaarabu, wasafi, wanawaka, wanang'ara utadhani uko kwa malkia Elizabeth abiria wananukia vizuri, mabasi full luxury first class choo ndani. Utatamani usifike

Hawali ovyo ovyo njiani, pisi kali zote ziko hiyo route, sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni.

Tuwaige wanakigoma
 
Nimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii

Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri

Mabasi yao ni masafi,abiria wastaarabu,wasafi,wanawaka,wanang'ara utadhani uko kwa malkia elizabeth.
Hawali ovyo ovyo njiani,pisi kali zote ziko hiyo route,
Sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni
Tuwaige wanakigoma
Au Kuna kigoma nyingine??? Syo ninayoijua Mimi
 
Nimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii

Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri

Mabasi yao ni masafi,abiria wastaarabu,wasafi,wanawaka,wanang'ara utadhani uko kwa malkia elizabeth.
Hawali ovyo ovyo njiani,pisi kali zote ziko hiyo route,
Sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni
Tuwaige wanakigoma
The reverse is also true....
 
Nimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii

Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri

Mabasi yao ni masafi,abiria wastaarabu,wasafi,wanawaka,wanang'ara utadhani uko kwa malkia elizabeth.
Hawali ovyo ovyo njiani,pisi kali zote ziko hiyo route,
Sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni
Tuwaige wanakigoma
Naona umeamua kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa
 
Nimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii

Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri

Mabasi yao ni masafi,abiria wastaarabu,wasafi,wanawaka,wanang'ara utadhani uko kwa malkia elizabeth.
Hawali ovyo ovyo njiani,pisi kali zote ziko hiyo route,
Sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni
Tuwaige wanakigoma
Asante kwa kutumia tafsida mkuu
 
Back
Top Bottom