Abiria wa mabasi ya kwenda Kigoma wako tofauti na mikoa migine

Abiria wa mabasi ya kwenda Kigoma wako tofauti na mikoa migine

Nimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii.

Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri.

Mabasi yao ni masafi, abiria wastaarabu, wasafi, wanawaka, wanang'ara utadhani uko kwa malkia elizabeth.abiria wananukia vizuri,mabasi full luxury first class choo ndani.
Utatamani usifike

Hawali ovyo ovyo njiani, pisi kali zote ziko hiyo route, sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni.a

Tuwaige wanakigoma
kigoma ya Tanzania au IP[emoji1787][emoji1787]
 
Kati ya safari mbaya kusafiri na kuchukia ni Mwanza-Kigoma yaani unaanza kupachukia Kigoma kabla ya kufika Kigoma,
Gari zao ni 3 by 2 magari ni mabaya aisee, watu wanapiga kelele yaani mtu amekaa seat nyuma anapiga story na mtu aliekaa seat ya mbele,

Wanakula kila aina ya misosi inayokuja mbele yao, tulivyofika kibondo wanauza karanga, mihogo ya kuchoma, viazi wanakula Sana wengine wanapika ugali asubuhi kabla ya safari.
Huwezi kusafiri kwa raha ukiwa unaenda Kigoma kule ni into the badland
Ahaa nilipanda basi linaitwa Takbir nikashangaa basi zima kinacheka kasoro mimi kumbe ji muvi za mkojani
 
Nafikiri ni umasikini, Kigoma wilaya zake karibu zote hazijaunganishwa kwa lami, Kibondo umeme umefika juzi mwaka 2010 serikali iliwatupa sana
Hata mkoloni aliwatenga sana hawa ndugu zetu
 
Nimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii.

Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri.

Mabasi yao ni masafi, abiria wastaarabu, wasafi, wanawaka, wanang'ara utadhani uko kwa malkia elizabeth.abiria wananukia vizuri,mabasi full luxury first class choo ndani.
Utatamani usifike

Hawali ovyo ovyo njiani, pisi kali zote ziko hiyo route, sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni.a

Tuwaige wanakigoma
Dah mkuu naona umeongea kinyume tu hapo

Sema kigoma kunavumbi lakin wanatoka wasafi
 
Nimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii.

Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri.

Mabasi yao ni masafi, abiria wastaarabu, wasafi, wanawaka, wanang'ara utadhani uko kwa malkia elizabeth.abiria wananukia vizuri,mabasi full luxury first class choo ndani.
Utatamani usifike

Hawali ovyo ovyo njiani, pisi kali zote ziko hiyo route, sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni.a

Tuwaige wanakigoma
Change your mindset talk globally mkuu na sio unafanya comparison za ndani ya nchi yenu. Ni sawa unafanya pale nyumbani kwenu kuwa unajua kutumia jf Ila Kaka yako hajui. Think big usiwe enclosed within a small space
 
Nimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii.

Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri.

Mabasi yao ni masafi, abiria wastaarabu, wasafi, wanawaka, wanang'ara utadhani uko kwa malkia elizabeth.abiria wananukia vizuri,mabasi full luxury first class choo ndani.
Utatamani usifike

Hawali ovyo ovyo njiani, pisi kali zote ziko hiyo route, sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni.a

Tuwaige wanakigoma
the opposite might be true.
 
Kigoma na Singida inaongoza kwa watu wake kuwa mandimakuwili na wanafiki.nadhani ni sababu ya umasikini.
Kuna sehemu moja nilikuwa naishi mwanzoni nilipata tabu sana kuwaelewa.....ila nilivyowajua hawakunipa shida...unaongea na mtu jambo mnakubaliana na anakubali kabisa ila ukimpa mgongo tu sahau maana ndio yake mara nyingi humaanisha sio...wanajiita WAHAMBWE
 
Kwa vumbi hakuna sehemu inaizidi Karatu, Arusha kwa hapa Tanzania. Vumbi la Karatu ni pure powder haujachanganyika na mchanga kama Kigoma. Kinachofanya Karatu isisemwe ni kuwa kuna maendeleo kitambo kuliko Kigoma.
 
Back
Top Bottom