Au Kuna kigoma nyingine??? Syo ninayoijua MimiNimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii
Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri
Mabasi yao ni masafi,abiria wastaarabu,wasafi,wanawaka,wanang'ara utadhani uko kwa malkia elizabeth.
Hawali ovyo ovyo njiani,pisi kali zote ziko hiyo route,
Sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni
Tuwaige wanakigoma
The reverse is also true....Nimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii
Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri
Mabasi yao ni masafi,abiria wastaarabu,wasafi,wanawaka,wanang'ara utadhani uko kwa malkia elizabeth.
Hawali ovyo ovyo njiani,pisi kali zote ziko hiyo route,
Sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni
Tuwaige wanakigoma
Hujamuelewa.Au Kuna kigoma nyingine??? Syo ninayoijua Mimi
is the absolute truthThe reverse is also true....
Atakuwa mbado elewa.Hujamuelewa.
Naona umeamua kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupaNimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii
Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri
Mabasi yao ni masafi,abiria wastaarabu,wasafi,wanawaka,wanang'ara utadhani uko kwa malkia elizabeth.
Hawali ovyo ovyo njiani,pisi kali zote ziko hiyo route,
Sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni
Tuwaige wanakigoma
Ila harufu ya dagaa wakavu kama yote.Naona umeamua kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa
Asante kwa kutumia tafsida mkuuNimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii
Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri
Mabasi yao ni masafi,abiria wastaarabu,wasafi,wanawaka,wanang'ara utadhani uko kwa malkia elizabeth.
Hawali ovyo ovyo njiani,pisi kali zote ziko hiyo route,
Sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni
Tuwaige wanakigoma