kigoma ya Tanzania au IP[emoji1787][emoji1787]Nimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii.
Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri.
Mabasi yao ni masafi, abiria wastaarabu, wasafi, wanawaka, wanang'ara utadhani uko kwa malkia elizabeth.abiria wananukia vizuri,mabasi full luxury first class choo ndani.
Utatamani usifike
Hawali ovyo ovyo njiani, pisi kali zote ziko hiyo route, sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni.a
Tuwaige wanakigoma
Ahaa nilipanda basi linaitwa Takbir nikashangaa basi zima kinacheka kasoro mimi kumbe ji muvi za mkojaniKati ya safari mbaya kusafiri na kuchukia ni Mwanza-Kigoma yaani unaanza kupachukia Kigoma kabla ya kufika Kigoma,
Gari zao ni 3 by 2 magari ni mabaya aisee, watu wanapiga kelele yaani mtu amekaa seat nyuma anapiga story na mtu aliekaa seat ya mbele,
Wanakula kila aina ya misosi inayokuja mbele yao, tulivyofika kibondo wanauza karanga, mihogo ya kuchoma, viazi wanakula Sana wengine wanapika ugali asubuhi kabla ya safari.
Huwezi kusafiri kwa raha ukiwa unaenda Kigoma kule ni into the badland
Kigoma tanzaniakigoma ya Tanzania au IP[emoji1787][emoji1787]
Figurative language mzee wa literature upoMzee umeamua kutumia a figure of speech (irony) katika kufikisha ujumbe wako.
Haya bwana, umesomeka.
Hata mkoloni aliwatenga sana hawa ndugu zetuNafikiri ni umasikini, Kigoma wilaya zake karibu zote hazijaunganishwa kwa lami, Kibondo umeme umefika juzi mwaka 2010 serikali iliwatupa sana
The reverse is also true....
Dah mkuu naona umeongea kinyume tu hapoNimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii.
Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri.
Mabasi yao ni masafi, abiria wastaarabu, wasafi, wanawaka, wanang'ara utadhani uko kwa malkia elizabeth.abiria wananukia vizuri,mabasi full luxury first class choo ndani.
Utatamani usifike
Hawali ovyo ovyo njiani, pisi kali zote ziko hiyo route, sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni.a
Tuwaige wanakigoma
Change your mindset talk globally mkuu na sio unafanya comparison za ndani ya nchi yenu. Ni sawa unafanya pale nyumbani kwenu kuwa unajua kutumia jf Ila Kaka yako hajui. Think big usiwe enclosed within a small spaceNimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii.
Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri.
Mabasi yao ni masafi, abiria wastaarabu, wasafi, wanawaka, wanang'ara utadhani uko kwa malkia elizabeth.abiria wananukia vizuri,mabasi full luxury first class choo ndani.
Utatamani usifike
Hawali ovyo ovyo njiani, pisi kali zote ziko hiyo route, sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni.a
Tuwaige wanakigoma
the opposite might be true.Nimebahatika kutembea mikoa mingi Tanzania hii.
Nikiri tu kwamba Kigoma abiria wake wako vizuri.
Mabasi yao ni masafi, abiria wastaarabu, wasafi, wanawaka, wanang'ara utadhani uko kwa malkia elizabeth.abiria wananukia vizuri,mabasi full luxury first class choo ndani.
Utatamani usifike
Hawali ovyo ovyo njiani, pisi kali zote ziko hiyo route, sijawahi kusikia mabasi yao yana kunguni.a
Tuwaige wanakigoma
Kuna sehemu moja nilikuwa naishi mwanzoni nilipata tabu sana kuwaelewa.....ila nilivyowajua hawakunipa shida...unaongea na mtu jambo mnakubaliana na anakubali kabisa ila ukimpa mgongo tu sahau maana ndio yake mara nyingi humaanisha sio...wanajiita WAHAMBWEKigoma na Singida inaongoza kwa watu wake kuwa mandimakuwili na wanafiki.nadhani ni sababu ya umasikini.
Utusema vibaya mkuu.Kigoma na Singida inaongoza kwa watu wake kuwa mandimakuwili na wanafiki.nadhani ni sababu ya umasikini.
Ziimefungwa mzigo wa springi nyumaAisee!? Mbona umesahau kusema kuwa bas zao zinauvumilivu zina uwezo wa kuhimili barabara ya hali yeyote ile