Abiria wa Pugu anafuata nini kwenye SGR kama sio upigaji

Abiria wa Pugu anafuata nini kwenye SGR kama sio upigaji

“Black people cannot rule themselves because they don’t have the brain and mental capacity to govern a society … Give them guns, they would kill themselves; Give them power, they will steal all the government money; Give them independence and democracy; they will use it to promote tribalism, ethnicity, bigotry, hatred, killings, and wars!”

By PW BHOTA
 
siyo lazima ndiyo kama mambo yote siyo lazima, hata treni ya umeme inayokwenda 160 km/ h siyo lazima pia, ajabu unaongelea matumizi mabaya ya rasilimali kivipi? kutakuwa na treni ya ya express pia ambayo haitasimama vituo vidogo na kutakuwa na treni nyingine ambayo itasimama kila kituo kilichojengwa kwani watu wa Pugu na kwingineko ni walipa kodi pia …
Nimejua nasumbuka na kifuu juu ya shingo. Acha nitulie.
 
Naskia SGR wanapakia abiria hadi wa buku alafu wanapitiliza hadi dodoma

Juzi hapa kulikuwa na malalamiko abiria wa Doodma wale original na wa moro wanakosa tiketi wanaona online treni imejaa kumbe mmewapa nafasi watu wa pugu na abira wa karibu kwa bei kitonga na hao kitonga ni wahuni wanaopitiliza hadi Morogoro, Dodoma kwa elfu moj hivi hamuoni aibu?

Huu mradi msipikuwa makini mtauuwa mapema tu maana naona hii ni michezo ya wafanyakazi

Ukienda abood pale hakuna nauli ya mlandizi wala nauli ya Chalinze ukipanda gari ya mro kama nuali ni sh 13000 utalipia hiyp hiyo 13000 hakuna masihara

Ukipanda tilisho,kilimanjaro,bm za arusha kama unashukia Tanga au himo wao haiwahusu utalipa 45000 ile ile ya Arusha wanafanya hivyo kuepuka upigaji wa wafanyakazi na abiria wasio waaminifu sasa nyie sgr hamjifunzi kwa wenzenu?

Abiria wa pugu si apande daladala za gongo la mboto pugu kwenye sgr anafuata nini
Wana ile ya mwakyembe wapande
 
Staff nzima ya TRC kuanzia Bodi ya wakurugenzi na Mkurugenzi wake mkuu wapigwe chini au wafunguliwe mashitaka ya uhujumu uchumi! Hivi inaingia akilini train ya masafa marefu kupakia abiria wa buku? (1,000/=) kweli? Hawa watu wana akili au matope? Kwani daladala za gongolamboto hawazioni? Yaani train inayoenda speed ya 160km/saa iwe inasimama na kushusha abilia kila baada ya akika 5 au 10? Alafu bila aibu wanakuja kwenye hadhira na vyombo vya habari eti hao abilia wa buku wanasafiri hadi Dodoma/Morogoro kwa buku? Real? Mradi wa SGR umegharimu trillions za hela ya walipa kodi na madeni na riba juu alafu wajinga na mapunguani wanataka kuuharibu? Watanzania nani katuloga? Hivi unaweza kwenda Magufuli Bus terminal ukapanda basi la kwenda Dodoma ukawapa buku wakushushe kibaha wakakubali? Mambo mengine yanatia hasira?
 
Hao wa Pugu Wawazindulie kiberenge(kile kilichokaa kama kichanja) kinawatosha.
 
uthibitisho?
Screenshot_20240819_064715_Google.jpg
 
Hao wa Pugu serikali ingewafungulia Kiberenge(kile kilichokaa kama trekta/kichanja/ist) kinawatosha, hata wasilipe au walipe wakifika maana ni roho mkononi kufika ni majaaliwa, hata wale wa kafara watapatikana humo humo.
 
Back
Top Bottom