Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Shukrani zimwendee Mzee Mengi kwa kugharamia matibabu yakeWewe KIBANDA hao CCM walikutoa jicho moja ila bado unajipendekeza. Njaa mbaya sana.
Ulijiuliza kwanini mama aliku-mention pale Arusha??? Kwa kuwa huna akili unadhani alikuwa anakusifia!
Hapana, Mama hana hayo; hao wamenunuliwa na Magufuli.Waandishi wote wamenunuliwa na samia
Hapana, Mama hana hayo; hao wamenunuliwa na Magufuli.
Ndio ule weledi unaitwa WA kitanzania🤔Yaani mwandishi wa habari ana support kugushi nyaraka kubwa kama za ubunge. Tanzania tuna kazi hawa eti ndiyo wadai haki wetu !🤔
Kwani walio.pa uchongo si ndo hao hao anaowalamba miguu sema labda anaogopa wasije ondoa na jicho la piliHakupenda kuwa chongo kumbuka hilo, hujafa hujaumbika.
Kosoa alichokiandika mengine sio laz
Wafuasi wa Chadema watampiga vita sana huyu jamaa , na kwa bahati mbaya Magufuli ambaye ndiye angebebeshwa lawama zote hapa hayupo tena. CHADEMA kama chama walianz sakata hili kwa munkali sana. Mnyika akaitisha waandishi wa habari na kupayuka mambo mengi sana. Majuzi nimesikia naibu katibu mkuu naye akirudia makosa yale yale ya kupayuka.View attachment 2229699
Mwanahabari mkongwe na Mchambuzi wa siasa Absalom Kibanda amekosoa maamuzi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwafukuza uanachama Halima Mdee na wenzake 18.
“Ni kweli Mdee na wenzake 18 walikosea. Msingi wa makosa yao ni kupinga ubabe wa kihistoria wa viongozi wenzao na kudai kwao haki kibabe. Ni kweli pia viongozi wakuu CHADEMA waliwahukumu kabla ya vikao. Kosa la kimaadili limetolewa 'hukumu ya kifo'.
“Huu ni ulaji wa kisiasa. CHADEMA inadai haki yake, akina Mdee wanapigania jasho lao. Orodha inaongezeka, hawakuanza na Davidi Kafulila, Zitto Kabwe, Wilbroad Slaa wala Kitila Mkumbo na hawatamaliza na hawa Wanawake 19. Ukishakula nyama ya mtu huachi,” – Kibanda.
Kumbuka kuwa Kibanda ni mmoja wa waandishi wakongwe waliowahi kufanya kazi kwa ukaribu na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na walikuwa na ukaribu hata nje ya masuala ya kikazi.
Kibanda aliwahi kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Free Media, wachapishaji wa magazeti ya Tanzania Daima na Sayari ambayo ni mali ya Mbowe, pia Kibanda amewahi kuinia matatizoni mara kadhaa kwa kuikosoa Serikali na kuonekana yupo upande wa CHADEMA, hivyo kwa kauli hiyo ni wazi kuna vitu havipo sawa.
GODBLESS LEMA AMJIBU
Baada ya kauli hiyo, mwanachama mkongwe wa CHADEMA, godbless Lema naye akamjibu kwa kuandika hivi:
"Kama utaendelea KUKAUKIWA nakushauri uende kwa Mwamposa niliambiwa anatoa mafuta ya kuvunja nira ya KUKAUKIWA. Hata hivyo jambo gumu ktk jamii ni pale wazee wenye masharti ya kula wanapo kuwa na njaa kuliko vijana wasio na masharti na diet. Sijui njaa ni nini sasa ?"
Hujitambui wewe.Yaani mwandishi wa habari ana support kugushi nyaraka kubwa kama za ubunge. Tanzania tuna kazi hawa eti ndiyo wadai haki wetu !🤔
UMBWA KABISA criminal ni kazi ya Polisi Chadema wanatakiwa kuthibitsha tuWanaodai wabunge hao waligushi nyaraka kwa Nini CHADEMA hawakuwabuluza mahakamani kwa kosa hilo na badala yake wachukue mkondo waloeenda nao?
NJAA MBAYA SANA IKIMKUTA MPUMBAVUWewe KIBANDA hao CCM walikutoa jicho moja ila bado unajipendekeza. Njaa mbaya sana.
Ulijiuliza kwanini mama aliku-mention pale Arusha??? Kwa kuwa huna akili unadhani alikuwa anakusifia!
N huyo ndio anaitwa mwandishi nguli,sijui anawaza kwa kutumia nini.Kwa hiyo ni haki yao kufoji nyaraka ili mradi kupinga matumizi ya nguvu kudai haki?
Hii nchi ikija kupata maendeleo hata angalau kuwafikia Kenya basi ujue Mungu amekufa.
Nchi ina akili takataka sana.
Maza kashamaliza mchezo- kwisha habari yako wewe !! huna loloteNgoja wamshukie maana wale jamaa huwa ni malaika..
unaweza kujiuliza ndiyo huyu wa miaka ile "Raia Mwema na Tanzania Daima"N huyo ndio anaitwa mwandishi nguli,sijui anawaza kwa kutumia nini.
Kati ya Kada ambazo zimejaa Makanjanja nchi hii ni HABARI na SHERIA.Mbona Kibanda ameandika kwa mihemko sana?
Anaposema; "Ni wazi kuwa viongozi wa Chadema waliwahukumu kabla ya vikao" anamaanisha nini?
Vile vikao vya KK na baadae Baraza Kuu hakuviona?
Ajabu Kibanda anazungumzia haki ya kina Mdee, haki ipi, ya kufoji? au ya mtu kuchomolewa gerezani kimya kimya usiku? Hawa waandishi na njaa zao wanataka tuwe na taifa lisiloheshimu sheria.
Sasa naanza kuamini, kuna kundi la waandishi wa habari [ wakujitegemea na wa vyombo mbalimbali] wamenunuliwa na serikali ili kuichafua Chadema, kwa kuwatetea wale wahuni 19 bungeni.
Yule wa kwanza ameshajulikana yupo humu ndani, huyu Kibanda ni wa pili, tusubiri wa tatu, wanne, .....
Samia na serikali yake ni corrupt, kuwalipa wale wahuni posho na mishahara kule bungeni, na kuwapa posho hawa waandishi njaa kueneza uzushi.Mbowe jitoe kwenye meza ya mazungumzo.
Ameandika Uchongo anaficha Ukweli amba wengi tunajua..Hakupenda kuwa chongo kumbuka hilo, hujafa hujaumbika.
Kosoa alichokiandika mengine sio lazima.