naunga mkono hoja yako siasa ni mchezo wa ajabu sana,chadema kuna kitu wanavizia hapo haiwezekani kibanda apate ujasiri wa kumsafisha lowasa mbowe asimuite na kumkanya, kuna kitu.Pengine unabidi ujiulize kwa nini CDM hawajibu baadhi ya hoja za baadhi ya wanaCCM. Mimi ninafikiria kisiasa zaidi badala ya watu kuwa kwenye payroll za watu. ninamanisha ni mtaji wa kisiasa, kwani kuna baadhi ya watu wakipishwa kugombea Uraisi itakuwa rahisi kwa vyama vingeni kupata kura nyingi zaidi kwa sababu ya historia.
Mbona hujataja watu wa sampli za Clement Mshana. au ?? hao si hatari??
Mkuu kula tano,Unajua absolom anaumia kama niumizwavyo mimi na hizi tabia za Sita na Mwakyembe kwanini wanang'ata na kupuliza? Sita kama siyo fisadi kwanini aliamua kuumaliza mjadara wa Richmond baada ya kuagizwa na wakuu wake ambao wana link na mafisadi? naye mwakyembe kwnini aliamua kuamua kutokusema kila kitu kwa kisingizio cha kutunza heshma ya serikali? alafu leo hii wanaendelea kujidai wanachukizwa na ufisadi, wangekuwa siyo mafisadi na wanachukia ufisadi Sita angeruhusu mjadala uendelee mpka kieleweke na Mwakyembe angesema kila kitu ili serikali iumbuke kwa maovu yake
Kwanini alizima sakata la Richmond kihuni? Wacha achambuliwe kama karanga. Yeye na EL,RA,AC na wengine ni janga la kitaifa, hata ikibidi kuuwawa wauawe tu hawana faida yoyote kwa nchi yetu.
Ni kweli kwamba niliandika makala ya kumkosoa Samuel Sitta. Katika sehemu moja nikasema nakusudia kuandika kitabu kuhusu vita ya ufisadi na namna iolivyotekwa nyara na wanasiasa wa ndani ya CCM wa aina ya Sitta kwa maslahi binafsi. Kitabu hicho hakina lengo hata moja la kumlenga Sitta kwa maana ya kumshambulia au kumsifu. Kitabu hicho kinalenga kuwakosa akina Sitta kwa kuiteka hoja ya ufisadi lengo la kwanza likiwa ni kuizima na kuidhibiti Chadema na la pili likiwa ni kujipanga kwa ajili ya urais wa mwaka 2015. Naamini na nitaendelea kuamini kwamba mwelekeo huu wa akina Sitta. Kwa kuwa huu ni uwanja wa hoja, unaposhambuliwa, kukebehiwa na kupondwa unalazimika kuheshimu maoni hata ya wale wanaokuona fedhuli, fisadi, kuwadi na kila aina ya majina mabaya.
Kuna mtu anajua maisha binafsi ya Kibanda, naomba tuyaweke hapa ili siku kitabu cha SItta kinatoka na cha kumhusu yeye kinazinduliwa. Kuna jamaa kaniambia yeye ufisadi wa Kibanda katika maisha yake ya ndoa. Tuna mahali pa kuanzia, maana ufisadi ni ufisadi tu..................
Sijasema mahala popote kwamba ninakusudia kuandika kitabu cha ufisadi wa Sitta. Kwanza sijapata hata mara moja kumhusisha Sitta na ufisadi japo nimesoma makala na habari kadha wa kadha zinazomhusisha na masuala hayo. Mimi napingana na Sitta kuhusu ukamanda wake wa kupambana na ufisadi. Sijapata kuamini hata mara moja kwamba ndani ya kundi la mtandao ambalo Sitta alikuwa mmoja wa vinara wake anaweza akajitokeza mpambanaji wa ufisadi, hiyo ndiyo hoja yangu. Pili kwangu mimi ndani ya CCM ufisadi ni mfumo siyo mtu binafsi kwa hiyo naamini vigogo wote ndani ya chama hicho ni matunda ya ufisadi...hakuna hata mmoja mwenye ubavu wa kumnyoshea mwenzake kidole. Naomba hoja yangu isipotoshwe kwa malengo ya kikundi cha watu fulani...
Sijasema mahala popote kwamba ninakusudia kuandika kitabu cha ufisadi wa Sitta. Kwanza sijapata hata mara moja kumhusisha Sitta na ufisadi japo Mimi napingana na Sitta kuhusu ukamanda wake wa kupambana na ufisadi. Sijapata kuamini hata mara moja kwamba ndani ya kundi la mtandao ambalo Sitta alikuwa mmoja wa vinara wake anaweza akajitokeza mpambanaji wa ufisadi, hiyo ndiyo hoja yangu. ...
Mpayukaji siujui ufisadi wa Sitta sasa sijui nitauandikaje? Kusudi langu ni kuandika tafsiri yangu ya mapambano ya ufisadi ya akina Sitta na wanafiki wengine CCM wanaojiita wapambanani ilhali wakiwa na malengo mengine
Kuna mtu anajua maisha binafsi ya Kibanda, naomba tuyaweke hapa ili siku kitabu cha SItta kinatoka na cha kumhusu yeye kinazinduliwa. Kuna jamaa kaniambia yeye ufisadi wa Kibanda katika maisha yake ya ndoa. Tuna mahali pa kuanzia, maana ufisadi ni ufisadi tu..................
Sijasema mahala popote kwamba ninakusudia kuandika kitabu cha ufisadi wa Sitta. Kwanza sijapata hata mara moja kumhusisha Sitta na ufisadi japo nimesoma makala na habari kadha wa kadha zinazomhusisha na masuala hayo. Mimi napingana na Sitta kuhusu ukamanda wake wa kupambana na ufisadi. Sijapata kuamini hata mara moja kwamba ndani ya kundi la mtandao ambalo Sitta alikuwa mmoja wa vinara wake anaweza akajitokeza mpambanaji wa ufisadi, hiyo ndiyo hoja yangu. Pili kwangu mimi ndani ya CCM ufisadi ni mfumo siyo mtu binafsi kwa hiyo naamini vigogo wote ndani ya chama hicho ni matunda ya ufisadi...hakuna hata mmoja mwenye ubavu wa kumnyoshea mwenzake kidole. Naomba hoja yangu isipotoshwe kwa malengo ya kikundi cha watu fulani...
Watu wanapokosa hoja wanakimbilia katika masuala ya kipuuzi kama haya. Eti "ufisadi wa ndoa". Nina msimamo thabiti katika masuala yanayohusu mahusiano. Pengine fisadi kinara wa ndoa ni huyo mnayejaribu kumtetea hapa hata kufikia hatua ya kunisingizia kwamba nataka kumuandikia kitabu. Dhamira yangu safi ndiyo maana ninayo jeuri ya kujitokeza kwa jina langu kamili na halisi na siyo majina ya kidaku kama Ntambaswala. Kwani mtu ukipata msukosuko katika ndoa maana yake ni ufisadi...pengine hakuna ufisadi mbaya kama ule wa kufisidi ukweli katika mambo ya msingi
Na wewe Kibanda pasipo busara umefanya kosa la Msingi [Technical Mistake] umejisahau kiasi kuwa umejibu kana kwamba UNAJUA KWA USAHIHI PERSONAL LIFE YA SITA LAKINI AWALI UMEKENUSHA KUZUNGUMZIA PERSONAL LIFE YA SITA KWENYE KITABU.Tizama ulivyojikaanga kwenye Red kuonyesha upofu wako kuwa umejisahau kiasi kuwa UMEMSHAMBULIA DHAHILI HATA KABLA UJASHIKA KALAMU YAKO KUANZA KUTUNGA KITABU HICHO."Kuna mtu anajua maisha binafsi ya Kibanda, naomba tuyaweke hapa ili siku kitabu cha SItta kinatoka na cha kumhusu yeye kinazinduliwa. Kuna jamaa kaniambia yeye ufisadi wa Kibanda katika maisha yake ya ndoa. Tuna mahali pa kuanzia, maana ufisadi ni ufisadi tu..............i
.Nimevaa viatu vya Ntambaswala,nikajiona wewe unavyonishambulia mimi, ambae ni raia wa kawaida nisie fahamina na SITA,na kuwa niko ndani ya jamiiforum ama kushabikia upande wa Mafisadi, au kushabikia Upande wa Wapinga Mafisadi au Kusimia Ukweli unaojisimamia wenyewe pasipo kujali kundi, kisha wewe Kibanda unanipa jibu tajwa hapo juu.Hakika kibanda IMEKULA KWAKO POLE SANA KWA KUWA KWA AINA YA SISI WATAFUTA UKWELI UMENIAIBISHA SANA, UMENISIKITISHA SANA, UMENIFEDHEHESHA SANA NAKUCHUKUA FULSA HII KUMUOMBA MSAMAHA MKUU LINCOLNTZ.Samahani Mkuu LincornTz hakika sijaona utumbo ndani ya JF kama huu,manake uliniambia hapo chini nami nikakuplease nikitumainia huyu jamaa ni Mhariri hivyo ni mtu mwelewe na mwenye mwanga wa kujua matatizo mazito tuliyonayo ndani ya Taifa,kumbe ni wale Rais Jakaya Kikwete aliwabatiza jina la Makanjanja [bogas].Watu wanapokosa hoja ........ Pengine fisadi kinara wa ndoa ni huyo mnayejaribu kumtetea hapa hata kufikia hatua ya kunisingizia kwamba nataka kumuandikia kitabu. Dhamira yangu....................i
DSN nakuheshimu sana, lakini hatuwezi kumsubiri mtu mpaka atupotoshe kabisa kwa malengo yake binafsi. Sisi hapa tunamsaidi kusave muda na rasimali zake na mtazamo wa watu wengi katika kuandika hicho kitabu. Na pia watu wametoa alternatives kama kweli ni mpiganaji wa ufisadi, andike kitabu cha RICHMOND/DOWANS/SYMBION ambacho kila mtu anakiu ya kujua. Pia kuna mambo mengi tu, lakini hili la Sita lina dalili nyingine kabisa.
Kweli Uandishi wa Habari sio kazi, bali ni kazi ya kuwatumikia waajiri---hii ni kazi ambayo zamani nikiwa mdogo nilikuwa naipenda sana; lakini sasa; pyuuu! Huyu jamaa (Kibanda) zamani nilikuwa nam-respect vibaya sana, nazani enzi zile alikuwa Majira kama sikosei!!! Kumbe hizi porojo na propaganda za Tanzania Daima hivi sasa zinatoka kwake?! Sikufahamu kwamba the man i was respecting ndie Mhariri Mtendaji wa moja ya vipeperushi vya kisiasa nchini.
MY TAKE: Wakati waandishi wakilalamikia uhuru wa habari toka serikalini; waanze kwanza kulilia uhuru wa kuandika toka kwa waajiri wao! am sure it needs just some few millions TZS to take Kibanda from TZ Daima na kumpeleka Uhuru Publications na kwenda kula matapishi yake kule!
Eeeeh! eeeeh eeeh mkuu pande hizo na mimi unihusishe,hawa wahariri wengi kwenye angle hiyo ni mafisadi papa,ntatoa mchango wangu wa kile ninachokijua tena kwa ushahidi,namstahi tu mkubwa mwenzangu huyu lakini likipatikana jukwaa la kumuweka hadharani na mimi ntalipanda!
Kuhusu hili la kuuzima moto wa richmond ambao kiukweli bado tulikua na kazi nao aliwakera wengi mpaka reginald mengi ambae pia alikua nyuma yake alikasirika sana na nasikia mpaka akawaagiza wahariri wake wasimpe tena sitta coverage kwenye vyombo vyake vya habari,na hata sijui kama uswahiba wao umerejea katika hali ya kawaida,mengi alichukia sana inasemekana.Lakini kama mnavyojua shinikizo lilikua kubwa sana ndani ya ccm kipindi kile ambamo mafisadi walikua na nguvu kubwa mno wakati ule,na kama si jitihada na busara za wajumbe wawili wa kamati kuu bwana ABDULRAHMAN KINANA na BERNARD MEMBE,Sam six ilikua avuliwe uanachama,lakini wawili hao na hasa kinana ambae alionekana kama hana upande alisimama kidete kumtetea spika na kuwaeleza wazi wazi wajumbe wa kamati kuu akiwemo mwenyekiti kwamba spika hana matatizo yeyote anafanya kazi yake na kiukweli anakisaidia chama ambacho kimechafuka..ndio akaponea kwenye tundu la sindano na kupewa masharti ya kuuzima huo mjadala bungeni kwa kuwa unakichafua chama na serikali yake,hapa ndipo alipokosea mzee wangu huyu,hakutakiwa kuyumba kwani tayari alikua na base kubwa ya wabunge na sisi wananchi kiujumla,lakini akaufyata mkia ndani ya ccm lakini bado alikua na uchungu ndio maana mkawa mnasikia habari za CCJ zikipamba moto kwa kasi,ni kweli sitta na wenzake walipanga kujionadoa kwenye chama kama udhibiti dhidi yao kama wapambanaji wa ufisadi utaendelea na hasa kama jk atamrudisha Ngonyani Lowassa serikalini (mpango ambao alikua nao kweli),lakini lowassa hajarudi serikalini mpaka leo na wao nadhani baadae wakaona hakuna haja ya kujitoa badala yake wapambane na mafisadi goi goi wakiwa humo humo ili kama ikibidi mafisadi ndio waondoke...matokeo yake ndio hii issue ya kujivua magamba japo inaonekana kukwama kutokana na udhaifu wa mwenyekiti na pia hujuma za mafisadi.Lakini habari ya ccj ama kujiunga na chadema vyote vilikuwepo na vikao vya kina sitta na viongozi wa chadema na ccj vilishika hatamu sana kipindi hicho,mh.mboe kama anaingia na kusoma haya atakua anaelewa nazungumzia nini,sitts ndio alikua awe mgombea urais wa chadema badala ya slaa kwa msiojua,na hasira za chadema kwa sitta na huu wimbo wa usaliti wa sitta unaoimbwa hapa ni kutokana na tukio la sitta kuwatosa chadema dakika za mwisho,ikabidi wamtafute mgombea wa fasta bwana slaa,ambae hata hivyo kwa muda ule uliobaki alifanya vizuri,nampongeza kiukweli kwa kuwa alitokeo from no where na kutikisa,kama angekua sitta angemshinda jk kwa wakati ule,alikua juu mno.
Inawezekana kabisa Mh Sitta sio msafi lakini kwa mwandishi wa habari/mwenyekiti wa jukwaa la wahiriri kutoa matamshi aliyotoa ni nje kabisa ya mipaka ya taaluma yake - very unethical. Kama kweli Kibanda anataarifa za ufisadi wa Sitta kwanini kama mwandishi asifanye kazi yake -aandike hizo habari? Alizipata lini hizo habari za Sitta? Pia Kibanda ana taarifa za ufisadi wa watu wengine mbali ya Sitta? Why Sitta and not others? Mimi naona kama Kibanda anatishia wanasiasa hapa, kwamba ukiwa karibu naye hata kama utafanya madudu atakaa kimya lakini mara unapokuwa upande wa pili atatoa habari zako. Na ukiangalia makala za Kibanda ni wazi utaona yuko upande gani. Nategemea baada ya kuandika kitabu kuhusu ufisadi wa Sitta utaandika pia vitabu kwa mafisadi papa. Hapo ndio tutaona hujanunuliwa. Lakini kama ni kitabu cha Sitta peke yake tutaendelea kuamini wewe ni mwandishi uchwara.
hicho kitabu utasoma mwenyewe na mke wako. Hatutaki wanafiki katika dunia ya SASA tupo tayari kupindua nchi lakini siyo kuwapigia debe mafisadi.Nchi tutaikabidhi iongozwe Kijeshi wakati tunaanda Demokrasia ya Kweli..........................Hata walikuchagua kuwa M/kiti inabidi wajipime vizuri
Hata kama Sitta ni mchafu lakini bado hajaanza kunuka. Lowassa na RA ni wachafu kiasi cha sabuni nazo kuogopa kuwasafisha kwa kuogopa kuchafuka.
ROMANTIC, ru a male or female?! Kama ni male, plz isije ikawa ni kisasi cha kulipiza kuchukuliwa demu wako; na kama ni female isije ikawa jamaa alikopa ndo unataka kulipiza hapa....malizianeni huko huko bana! LOL!