wafuasi wa chadema walio wengi ni vipofu. hawajui usiku wala mchana na rangi kwao si kitu maana hawawezi kuzitenganisha. hawajui uzuri wala ubaya wa mtu na wala hawajui maana ya urefu na ufupi. jinsi KIBANDA alivyofunguka, leo mijadala isingeibuka kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kutekwa na kuumizwa kwa KIBANDA. wenye akili wanajua bayana kuwa Mzee wa Visasi Mbowe anayo siri nzima ya tukio hilo
Mmeo na watoto wako wanahasara sana kuwa na mama kama wewe. Huna akili hata moja kichwani. Shame on you
ukiweza kufanya analysis vizur bila kua bias wakati wa issue ya ulimboka niliona upande wa pili kwa mtizamo wangu na mateso ya Kibanda yanazid kunifungua macho.
iko hivi issue ya ulimboka ilikua ni ya uchonganishi kunawatu walijipenyeza kati na kwakujua kua kufanya vile kutazidisha ugomvi kati ya Madaktar pamoja na wananchi dhidi ya Serekali ili wao kupitia huo ugomvi wapenye katikati na kuanekana mbadala.(a) wamijisahau wakautumia mbinu zile zile kwa adui yao anayejulikana wazi kama ndivyo sikutegemea
(b) Mchezo walioufanya wao thidi ya ugomvi kati ya ulimboka na serekali wamefanyiwa wao kuchonganishwa na waandishi wa habari.
tumefika mbali sana na huu mchezo wa uchonganishi kwani hata maswali na kidini yanafinyika kwa kutumia mchezo mchafu unamwagia tindikali mwenzako ili useme upande wa pili unahusika, mnatoa uhai wa mwingine ili kusingizia flani ndo wahisika.haya yote yana malipo.
Kibona
mwaikambo
mwandosya
mwakyembe
mwangosi
absolom kibanda
..........
Msemaji wa mfumo ISLAMU wewe unawajua wauaji, hongera!.. Ndiyo maana hata waliomuua Padri Mushi ni siri!.
Me ninachotaka ni kwamba hawa wanao sema ni chadema wapeleke ushahidi hili ushsughulikiwe mapema pengine si wanajua na wana uhakika ni chadema labda tume italeta majibu!
mmenaswa mnaanza kusema tuiachie polisi. mbona kwa ulimboka hamkusema hayo. tena mlichangishana pesa za matibabu na isitoshe aliporudi mlisukuma gari lake kama mfalme
na Sheikh aliyemwagiwa tindikali?
Lakini hapa wote tunatwanga maji katika kinu tu.
Kama ile tume iliyoundwa kuchunguza tukio la Dr. Ulimboka na ile ya marehemu Mwangosi zingelikuja na majibu basi haya matukio yasingeliendelea kutokea.
Lakini bado hatukupewa matokeo ya tume zile na leo imeundwa tume nyingine tena bila shaka haitaleta majibu kwetu walipa kodi kama kwa tume zilizoitangulia (FUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE).
Utesaji wa Kibanda na ule wa Dr. Ulimboka unafanana, bila shaka wahusika ni wale wale.
MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
kumbe wakati mwingine mnaziamini tume na polisi. ila mnatumia ukaidi tu kuvipinga
mleta mada kanikumbushia yaliyomkuta Mh Mwakyembe baada ya kuyaweka bayana yaliyotokea enzi za richmond.....
Nahisi anataka kutuaminisha kuwa wana CCM wanahusika moja kwa moja Kwa yaliyotokea kwa Mwkymbe.
Au labda yaliyomkuta ulimboka baada ya kuigomea serikali ya CCM kusitsha mgomo wa madaktari CCM ina husika moja kwa moja?
Twaelewa CCM hawana utaratibu wa kukubali kukosolewa ndio maana inakuwa vigumu kwao kuchanganua yaliyomkuta kabanda eti kisa kawapongeza wana CCM.
Naamini kama wadhani CDM inaendeshwa kipuuzi namna hiyo basi tungeshuhudia wengi sana ndani ya CDM waking'olewa meno.
na mbowe aliyemsifia kikwete kwa kujenga barabara kwao utamwitaje?
Magwanda bhana badala ya kujadili hoja unahangaika na tarehe !!!! Ndo maana mwenyekiti wenu alipata ziro form four!!!!!!