Absalom Kibanda: Namuogopa Abdurahman Kinana



Msemaji wa mfumo ISLAMU wewe unawajua wauaji, hongera!.. Ndiyo maana hata waliomuua Padri Mushi ni siri!.
 
Mmeo na watoto wako wanahasara sana kuwa na mama kama wewe. Huna akili hata moja kichwani. Shame on you

Huna hoja kalale tu, hii mada mwisho wa maneno lazima mtaharisha sana leo kama mekunywa juice ya ukwaju.
 

sure. hapo sasa umenena
 
Me ninachotaka ni kwamba hawa wanao sema ni chadema wapeleke ushahidi hili ushsughulikiwe mapema pengine si wanajua na wana uhakika ni chadema labda tume italeta majibu!

kumbe wakati mwingine mnaziamini tume na polisi. ila mnatumia ukaidi tu kuvipinga
 
mmenaswa mnaanza kusema tuiachie polisi. mbona kwa ulimboka hamkusema hayo. tena mlichangishana pesa za matibabu na isitoshe aliporudi mlisukuma gari lake kama mfalme

wewe acha udini kutetea uhalifu. Kama taarifa ya mauaji mengine yaliyofanyika hapa nchini wahusika hawajulikani, na tena tunaletewa wakenya huyu mmemjuaje?!... Au MAGAIDI wa zanzibar wanahusika?..
 
na Sheikh aliyemwagiwa tindikali?

Huo si ugomvi wenu wa misikiti?! Uliwahi kuona mkristo akisherehekea kitendo cha shehe kumwagiwa tindikali?.. Mbona nyie mnashangilia, soma website ya uamsho ujue kifo cha Mushi kilivyofurahisha kundi hilo la kigaidi.
 
Eti siri adharani wakti umechukua makala umeweka tuu! Naona kila mtu ni polisi na mwana usalama tanzania!
 

bila shaka watakuwa chadema
 
sijaelewa mantiki ya post yako na zilizotangulia kama ya thatha.
nini sasa kilichomponza? alichandika ndicho kilichomfanya akajeruhiwa hivo?
Tuseme sasa Kinana ndio mhusika au wana CCM?
 
mleta mada kanikumbushia yaliyomkuta Mh Mwakyembe baada ya kuyaweka bayana yaliyotokea enzi za richmond.....
Nahisi anataka kutuaminisha kuwa wana CCM wanahusika moja kwa moja Kwa yaliyotokea kwa Mwkymbe.

Au labda yaliyomkuta ulimboka baada ya kuigomea serikali ya CCM kusitsha mgomo wa madaktari CCM ina husika moja kwa moja?

Twaelewa CCM hawana utaratibu wa kukubali kukosolewa ndio maana inakuwa vigumu kwao kuchanganua yaliyomkuta kabanda eti kisa kawapongeza wana CCM.

Naamini kama wadhani CDM inaendeshwa kipuuzi namna hiyo basi tungeshuhudia wengi sana ndani ya CDM waking'olewa meno.
 
Nasikia hata matokeo mabaya ya kidato cha nne wamesababisha chadema; mauaji ya albino: chadema, wizi wa twiga kupeleka uarabuni: chadema, mauaji ya mwangosi yalisababishwa na kitu kama bomu lililotupwa na wanachama wa chadema; dr ulimboka: chadema, Said kubenea kumwagiwa tindikali: chadema, mauaji ya mch buseresere: chadema, mauaji ya padri mushi: chadema, kumwagiwa asidi kwa shehe huko Zamzibar: chadema, epa, kagoda, richmond, meremeta, uamsho, nk, chadema! You are fooling yourself you blind poiliticians. we know your evil deeds since the time you drowned the cuf members into the indian ocean so you want to threaten chadema the same way. Too late!
 
Umeshindwa hata kuelewa nini nasema! Tulia utafakari!
Hakuna anaye ziamini hizo tume bali nilicho kwambia ni kwamba pelekeni huo ushahidi pengine safari hii wanaweza wakafanya kazi sababu mmehusisha chadema! Pengine mpike haraka matokeo mlete!
Lakini kuna maswali nili kuuliza umenyamaza!
Mta hangaika lakini mwisho wa siku hizi ni malicious presecution kama zingine!

kumbe wakati mwingine mnaziamini tume na polisi. ila mnatumia ukaidi tu kuvipinga
 
Watu wanapata taabu bure.muhusika ni mwigulu nchemba na ushaidi ninao.bado juliana shoza na mwenzie mwampamba atawafanyizia aseme ni chadema kwakuwa polisi wetu hawana akili wataamini.akishamaliza atasema nilisema na cd ninayo ya cdm wakipanga mauaji.huyu jamaa kaondoka tanzania daima kwa dau kubwa sana kutoka kwa rostam na bashe mtu yeyote asingeweza kataa hilo.
 
Thanx brother well said!
 
Sasa siri iko wapi hapo. Kuandika anavyomfahamu kinana ni kosa? mtoa thread ameingia kwa ID mpya kwa ajili ya habari hii tu japo ni mkongwe.

Kila la kheri kwa habari za kufikilisha na kutafakalisha watu.
 
na mbowe aliyemsifia kikwete kwa kujenga barabara kwao utamwitaje?

Mbowe alikuwa anafanya managerial tactics.Ukiwa una mtu ambayo ni tatizo ila yupo palito treassure ,ukitaka msogeza ili mchukue resources mnaweza gawana majukumu.Mmoja anamletea soo na mwingine anakuwa soft ili aseme afadhali fulani, au kama si fulani nisingefanya kitu fulani.Unampa mtu escaping door ktk swali linaloweka pride yake at stake.

Kwa taarifa yako kama management imekuchoka halafu hawana njia sahihi ya kukutoa kwa vile hakuna replacement.Boss wa chini anaweza kuletea noma ya kufa mtu halafu, boss wa juu akakuongezea mshahara na kukupa ahadi kibao pengine na glass ya wine huku akikuambia usikasirike sana ktk maisha si nzuri kw aafaya yako.Ujumbe unakuwa umefika wa kukuonya na ujembe wa kukupa moyo au kukurahisishia nafasi ya kuondoa pride yako( Kama si mkurugenzi ningeacha kazi) ili uanze kw amoyo wa bidii.


Wakati Mbowe anamsifia JK aliyezoea kupewa sifa na kubebewa makosa Dr. Slaa alikuwa akimtapisha.
Nadhani aumeelewa.
 
Magwanda bhana badala ya kujadili hoja unahangaika na tarehe !!!! Ndo maana mwenyekiti wenu alipata ziro form four!!!!!!

Bint Karibu JF.
Huku kuna Mashababi Balaa, kwa Tabia zako huu Mwaka haukatiki lazima uwe umezalishwa Humu JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…