Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na hii mvua, aah mbona itanikomaTulia wewe🐝
📌📌📌Au nasema uongo?
Tazama ana umuhimu gani kwako...kama hana faida yoyote kwake....huyo hakufai....unataka mume mwajibikaji kwa familia nae anatimiza ipasavyo ila ana tatizo la kupenda michepuko....usimwache bali mkumbushe kucheza salama....kinyume chake kwa mwanaume umepata mke uliyekuwa unamtaka hakubani,anakutunzia watoto vyema ila ana gubu,maneno hayamwishi usimwache jifunze kuondoka home kwa muda akianza kelele usisahau na vibao vya kushtukiza.
NB: Mwanamke Malaya hafanani na mwanaume Malaya....mtapinga ila ndo ukweli...
Mwanamke hawi na ndoa nyingi....akipata ya nje wewe wa ndani utajuta.👊
Amani ipatikane wapi ndugu ? Mkigombana kidogo yupo kyela au Tukuyu anakula ndizi akirudi basi maji mengi huko chini nasahau kila kitu [emoji3][emoji3] siku mbili tunazinguana tena akienda Tunduma anakuja na muhindi wa kuchoma basi najisahaulisha magumu japo nifurahi ila wapi [emoji848]Pole mkuu,kama huna amani kabisa ujue hiyo siyo sehemu yako mkuu
😂😂😂😂😂😂👊Amani ipatikane wapi ndugu ? Mkigombana kidogo yupo kyela au Tukuyu anakula ndizi akirudi basi maji mengi huko chini nasahau kila kitu [emoji3][emoji3] siku mbili tunazinguana tena akienda Tunduma anakuja na muhindi wa kuchoma basi najisahaulisha magumu japo nifurahi ila wapi [emoji848]
Vijana eeee , mimi nasema oeni jamani sio kwa hizi raha
Mchumba ukiwa kwenye nyuzi kama hizi huwa naogopa sana😟 utakuw feminist😬😬😬Ongeza sauti wasikie
nazungumzia kipande cha mwisho ulichomalizia🤣🤣🤣Haihusiani na ufeminist mkuu
Hi 👋 👋 😊Mtumishi Toyeye endelea kutuhubiria🗣️
Kabisa, kama nilipo napata amani ya moyo vibaya mno vyengine nafanya kama sioni😇Ulichotaka anacho...vingine mwachie yeye cute...eti mom?