Achana na mapungufu ya mtu angalia umuhimu wake kwako

Achana na mapungufu ya mtu angalia umuhimu wake kwako

Kabisa, kama nilipo napata amani ya moyo vibaya mno vyengine nafanya kama sioni😇
Umananisha unafanya kama huoni kwa sababu hujali kabisa unavyomcheat🤣🤣

ila huyu To yeye alidaigi kuwa ni single mama alafu hataki kibabu cha kumsaidia kulea
desktop-wallpaper-result-for-toothless-old-man-smiling-funny-faces-old-people-thumbnail.jpg
 
Hiyo ku cheat umesema wewe🏃‍♀️😂
Wewe ndio ukifanya hupendi kufanyiw. Hujawah cheat? mbona muongo sana. Malaika wako mwenye huko mbinguni anaguna akisoma message zako😬😬😬
 
Back
Top Bottom