Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,757
- 11,922
😂 Sijawahi for realWewe ndio ukifanya hupendi kufanyiw. Hujawah cheat? mbona muongo sana. Malaika wako mwenye huko mbinguni anaguna akisoma message zako😬😬😬
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 Sijawahi for realWewe ndio ukifanya hupendi kufanyiw. Hujawah cheat? mbona muongo sana. Malaika wako mwenye huko mbinguni anaguna akisoma message zako😬😬😬
Ngoja waje watoe povu.Weee,😳usiniambie?
Hajaolewa huyo ni single mama alafu anatupa ushauri ndio hapo nachokaTo yeye umeolewa ?? Kama hujaolewa unashauri nani Nini?
Nakama umeolewa ushauri unampa akina nani wanaume au sisi Kwa manaa akili ya mtu anaijua mtu mwenyewe hata umshauri Nini hajali anajua anataka Nini period
Uma matatizo gan? unapauka mapaja? 😀 hutaki wanaume wakuchungulie. Wanawake wasio saliti huwa wana matatizo😂 Sijawahi for real
Mwenzako trudie kapata mtoto wa pili na bebi mwingine. Wewe lini?Au nasema uongo?
Tazama ana umuhimu gani kwako...kama hana faida yoyote kwako....huyo hakufai....unataka mume mwajibikaji kwa familia nae anatimiza ipasavyo ila ana tatizo la kupenda michepuko....usimwache bali mkumbushe kucheza salama....kinyume chake kwa mwanaume umepata mke uliyekuwa unamtaka hakubani,anakutunzia watoto vyema ila ana gubu,maneno hayamwishi usimwache jifunze kuondoka home kwa muda akianza kelele usisahau na vibao vya kushtukiza.
NB: Mwanamke Malaya hafanani na mwanaume Malaya....mtapinga ila ndo ukweli...
Mwanamke hawi na ndoa nyingi....akipata ya nje wewe wa ndani utajuta.👊
So nice, ila still kama huna wivu humpendZuruleni tu kikubwa msisahau watoto nyumbani
Hata kama anakucheat yan huumii hata kawivu? mapenzi bila wivu hayaendHuyo atakuwa hajui anachokitaka
mzabzab na dronedrake hawa ndio team kataa ndoa wanaharibu sana vijana humuAnajua singlemom hawaolewi,achana nae
Haya bwana umekanusha hadi kero ila sawa hujui why kapewa mtoto kushinda nyie wanaume hujui kwanini na tusimsemeeHajaolewa huyo ni single mama alafu anatupa ushauri ndio hapo nachoka
Eh kwani wao hawajui kuchambua jambomzabzab na dronedrake hawa ndio team kataa ndoa wanaharibu sana vijana humu
Sometimes mapungufu yanazidi umuhimu wa mtu kwako.Au nasema uongo?
Tazama ana umuhimu gani kwako...kama hana faida yoyote kwako....huyo hakufai....unataka mume mwajibikaji kwa familia nae anatimiza ipasavyo ila ana tatizo la kupenda michepuko....usimwache bali mkumbushe kucheza salama....kinyume chake kwa mwanaume umepata mke uliyekuwa unamtaka hakubani,anakutunzia watoto vyema ila ana gubu,maneno hayamwishi usimwache jifunze kuondoka home kwa muda akianza kelele usisahau na vibao vya kushtukiza.
NB: Mwanamke Malaya hafanani na mwanaume Malaya....mtapinga ila ndo ukweli...
Mwanamke hawi na ndoa nyingi....akipata ya nje wewe wa ndani utajuta.👊
Amehlo soma haya madini hapa. .Sometimes mapungufu yanazidi umuhimu wa mtu kwako.
Pia, mtu anaweza kuwa muhimu sana kwako, ila wewe usiwe muhimu kwake.
Kwenye mahusiano kuna vitu vingi sana vya kuconsider, upendo na umuhimu wa mtu are not the only deciding factors