tecknologia23
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 259
- 382
HayaSwali la kiwaki sana ili mkuu
πππππ"" ana gubu,maneno hayamwishi"
Trust me, katika vitu ambavyo nimeshindwa VUMILIA ni MWANAMKE MWENYE MDOMO.
Yaani Siwezi kabisaaaaa.
#YNWA
UnahelaSheikh nimeoa everybody knows sijawah ficha peke yako hujui. Nina kachanga na mvua hizi natafut mchepuko mwenye akil ππ
Nina kitambiUnahela
Sijaoa badoNijibu basii??
Malijendari sijui wanasemaje ??? maana wengine bado hatuna uzoefu kabisa. Yoyote kwa yote Mume mwema hutoka kwa BWANA na Bwana mwenyewe ndio Mimi hapa. Na Mke mwema hutoka ubavuni kwa Bwana.NB: Mwanamke Malaya hafanani na mwanaume Malaya....mtapinga ila ndo ukweli...
Mwanamke hawi na ndoa nyingi....akipata ya nje wewe wa ndani utajuta.π
ππππππNina kitambi
Nilikuwaga na hela. Nimefilisika vibaya mno mda mwingine nikiend kwenye shughul zangu namuomba wife 1000 la nauli
View attachment 2603836
My Favourite one πβ€οΈβ€οΈβ€οΈβ€οΈβ€οΈππππAmina
hahahaha noma sanaUnahela