Achana na mapungufu ya mtu angalia umuhimu wake kwako

Mbona kama una akili sana wewe shost?

Hebu ngoja nirudi kwetu Mbeya tuonane hapo Soweto unipe madini.
 
"" ana gubu,maneno hayamwishi"

Trust me, katika vitu ambavyo nimeshindwa VUMILIA ni MWANAMKE MWENYE MDOMO.

Yaani Siwezi kabisaaaaa.

#YNWA
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwahiyo bora mnaeshindana kuchepuka
 
Ushauri wako nitauchukua kama utakua umedumu kwenye ndoa, vinginevyo nitausoma kama stori zingine
 
NB: Mwanamke Malaya hafanani na mwanaume Malaya....mtapinga ila ndo ukweli...
Mwanamke hawi na ndoa nyingi....akipata ya nje wewe wa ndani utajuta.πŸ‘Š
Malijendari sijui wanasemaje ??? maana wengine bado hatuna uzoefu kabisa. Yoyote kwa yote Mume mwema hutoka kwa BWANA na Bwana mwenyewe ndio Mimi hapa. Na Mke mwema hutoka ubavuni kwa Bwana.
 
Malijendari sijui wanasemaje ??? maana wengine bado hatuna uzoefu kabisa. Yoyote kwa yote Mume mwema hutoka kwa BWANA na Bwana mwenyewe ndio Mimi hapa. Na Mke mwema hutoka ubavuni kwa Bwana.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Amina
 
Tofauti ya uchepukaji kati ya mme na mke! Mwanaume anaacha upendo nyumbani ila mwanamke anahamisha upendo wa nyumbani kwa mchepuko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…