Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Hako ni mwendo wa Total Excellium tu futa safi mno jepesi linaloungua chap chap!Halafu kitu kimoja nilisahau....
Hizi gari bhana msiweke videbe....
Engine ya FSI/TFSI inawekaje kidebe?
Hapo ndio watu huwa wanalalamika oooh engine zake mbovu.....
Ukiweza kuweka premium utanishukuru baadae.
Mbona kana milango miwili tu?Muhimu sana.. utelezi ujariwe ( caring) kuna mtu na IST yake ataka aanzishe ligi πππ
View attachment 2073125View attachment 2073126View attachment 2073127View attachment 2073128
haka ka milango mitatu tu, na wa nne bonet πππMbona kana milango miwili tu?
Hii hapalabda tunda cappuccino una maanisha eeh!! πππ
gari ambayo haiwezi kuwa gheto haifai πππ
Hii ni convertible, weekend unafungua inakuwa wazi unakula kiyoyozi asilia.gari ambayo haiwezi kuwa gheto haifai πππ
Ndio uwe na demu classic sio mong'ooo ππππHii ni convertible, weekend unafungua inakuwa wazi unakula kiyoyozi asilia.
boss X5 yako new model ile chases no bado ipo?Ukikosea hydraulic umeua gearbox
Gari gani ambayo sio hybrid ya cc hizo ikupe 23km/L π
Hahahah kwenye List yangu umeiona hiyo tu?Kwan variable valve timing kwenye IST hamna
Gari za Mjerumani zipo mpa za Cc1000 na zina perform kuliko hata Cc1200 ya mjep.Kwa hio unasema gari za Germany zilikuwa zinaanzia cc ngap?
Ndio maana mimi nilisema mwanzo badala ya kununua IST new model bora kununua hiyo A1... Sababu haya kwenye hiyo IST new model bado hutopata unafuu kwenye spea...Wewe unamiliki gari gani?...
Unafikiri watu wanapenda IST sababu ya mafuta tu et
Atajikuta yupo Vichakani hukoMuhimu sana.. utelezi ujariwe ( caring) kuna mtu na IST yake ataka aanzishe ligi πππ
View attachment 2073125View attachment 2073126View attachment 2073127View attachment 2073128
HuWa nainjoi Sana na comments zako hasa kwenye magari ya mzungu.....Kwa kifupi magari yetu ya Toyota mengi ni 4 speed transmission hapa ndipo shida inapoanza ingawa wengi wanoendesha haya magari ya kijapan hawajui kuwa gari yake haina uwezo WA kubishana na mjerumani.
Kwa mfano Volkswagen golf GTi ni 7 speed transmission(DSG) alafu ina turbocharger, dashboard yake inasoma speed 300 km/h SASA bila kuelewa unakuta mwenye Toyota runx au allex anataka kubishana nalo kwasababu Tu inafanana muundo WA body
Mbona kana milango miwili tu?
haka ka milango mitatu tu, na wa nne bonet πππ
Unajua fika Service utafanya lini... Agiza Filter nje....Nunueni tu jamani, Audi is a very good car ila tukumbuke tu Bush zake sio za elfu 25 wala ball joint zake sio za elfu 25!
Economy ya sheli inaweza kuwa nzuri ila tukumbuke filter na engine oil service haitapungua 200K.
Msije kumtafuta mchawi tuπ
ValvematicHahahah kwenye List yangu umeiona hiyo tu?
Okay niletee IST yenye Dual Variable Valve timing kama ipo.