Wasipunguze bali wasubsdize tuuNi kweli bei imepanda duniani kote,,lakini serikali inafanya nini ili kudhibiti hiyo hali isiathiri sana maisha ya watu? kwa nini wasipunguze kodi na tozo kwenye mafuta ili kupunguza makali ya bei.? nini maana ya Rais kama hawezi kupambana na changamoto zinapojitokeza?
Zambia ni sh. 2400/- Unasemaje hapo?
Jamaa anazingua sana! Kila kitu ye ni kutetea kama wakili wa utetezi wa serikali.Wewe ndo Samia? Kama ni hivyo mbona una kiwango cha chini kabisa cha akili?
Hakuna tozo iliyoongezeka bali price ndio imekuwa kubwa tozo ni zile zile hapa wangetoa ruzuku hata ya 1,000 kutusaidia wananchi.Mafuta Zambia ni sh 2,400/ kwa lita na yanapita hapa nchini,waambie wapunguze misululu ya Tozo kwenye mafuta
Nilitaka nishangar Shaka usije kutoa ufafanuziAhlan wa Sahlan
Habari zenu wana JF:
Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha, kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum, diesel na mafuta ya taa.
Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kampala , Lusaka, Kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.
Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.
Gasoline prices around the world, 03-Feb-2025 | GlobalPetrolPrices.com
Gas prices by country using official data sources.www.globalpetrolprices.com
Inafikirisha sana ! Ukweli ni kwamba wafanyabiashara wao huwa hawana huruma na MTU wao huwa wanajali faida tu tena faida kubwa kadri inavyowezekana !! Sasa hapo ndipo watu wanaangalia wanaohusika nini wanafanya kuidhibiti hii hali ! !!Tatizo sio sheria bali tatizo ni kwamba kuna ushirika kati ya wasimamia sheria na wanufaika wa haya matukio ya upandaji bei.
Biashara nyingi kubwa kubwa nchini zina mikono ya aidha mawaziri au wabunge au makatibu wakuu au mwandamizi fulani serikalini.
mkuu samahani mbona inaonekana zanzibar bei iko chini zaidi?Ahlan wa Sahlan
Habari zenu wana JF:
Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha, kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum, diesel na mafuta ya taa.
Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kampala , Lusaka, Kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.
Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.
Gasoline prices around the world, 03-Feb-2025 | GlobalPetrolPrices.com
Gas prices by country using official data sources.www.globalpetrolprices.com
Apataye hajui mwenzie hao walishapata na familia zao.Je sisi ni land locked kama Rwanda na Congo DRC?
Je umeuliza huko Uganda,Kenya na Rwanda kama wanazo tozo za miamala ya Simu?
Wanazo tozo kwenye Mafuta?
Mnajisifu mama amefungua nchi na misaada inamiminika ok.
Sasa Tozo ni za nini?
Ndio maana mmeanza kutukejeli namna hii kwenye hii tweet ya Makamba View attachment 2212007
Ahlan wa Sahlan
Habari zenu wana JF:
Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha, kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum, diesel na mafuta ya taa.
Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kampala , Lusaka, Kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.
Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.
Usihangaike nao hao fala achana nao ,mbona wasilete mafuta yao wayauze bei ya Chini?
Eti wanataka Serikali ifute Kodi kwenye mafuta Ili ijiendeshaje? Ili isijenge barabara?
Hakuna pimbi atafanya hili.
Mbwa baba yako,mwenye pesa hawezi paki gari kapuku mkubwa.Sasa wewe mjuaji wenye magar tunayapaki tuone iyo sgr mtaijengaje. Mbwa wewe