Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 4,672
- 9,806
Kwa jibu hili inaonesha wazi ulivyo mtupu kichwani.Kwa hiyo? Zanzibar wameweka Kodi kama Bongo? Nani kakwambia mafuta ni jambo la Muungano?
Mtaji wa ccm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jibu hili inaonesha wazi ulivyo mtupu kichwani.Kwa hiyo? Zanzibar wameweka Kodi kama Bongo? Nani kakwambia mafuta ni jambo la Muungano?
Exactly , mama ni mfariji mkuu wa wananchi, awe muamgalifu katika kutoa kauli zake maana zinachochea ongezeko la bei za vitu.naomba kujua bei za mafuta zanziba zipoje kabla hatujaenda huko unapo tupeleka, tukumbuke tunapo fananisha hizi bei tusikimbilie kuchukua mifano ya bei ya juu tuu tuchukue na ya bei ya chini pia, lakini tunapofananisha pia tuangalie na kipoto cha chini cha kila mwananchi cha nchi husika tunazofananisha nazo.
pia tuanapo angalia pato la hao wananchi tuangalie na fursa zilizopo za kiuchumi kwa hizo nchi na tufananishe na fursa tanzania ilizo nazo.
Hebu fikiria je tz imeongeza asilimia yoyote ktkt siku ya may mosi kenya wameongezewa 12%, na nchi nyingine pia zimeongeza ila Tz lile jambo letu lipo palepale..... hebu rejea kauli ya nilikuwa marekani bei ya petrol hapa tz ni ndogo kuliko marekani, je wa tz wanafanana kipato na wamarekani nikukumbushe.
nikukumbushe pia kauli ya mama kila kitu kitapanda bei, kiongozi wa nchi alipaswa kuangalia ni namna gani na kwa mikakati ipi tutaepuka kupanda kwa bei ya vitu kutokana na vita ya Urusi na ukrein na si vinginevyo
Haswaa hujakoseaKwa jibu hili inaonesha wazi ulivyo mtupu kichwani.
Mtaji wa ccm.
Ebu elewa kinachozungumzwaaa mzeee sio kwamb hatujui jwmb bei imepanda tunachooomba sisi wananchi serikaliii ifanye namna ya kustandardize izo tozooo ilii nafuuu kwenye bei yamafuta ipatikaneeeAhlan wa Sahlan
Habari zenu wana JF:
Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha, kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum, diesel na mafuta ya taa.
Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kampala , Lusaka, Kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.
Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.
![]()
Gasoline prices around the world, 03-Feb-2025 | GlobalPetrolPrices.com
Gas prices by country using official data sources.www.globalpetrolprices.com
Weka na ushahidi,vinginevyo utakuwa ni umbea tuMajizi tu DRC, BURUNDI, RWANDA NA KENYA, bei bado zipo chini kulinganisha na sisi. angalia data zako
Kumbuka Kodi ndiyo chanzo Cha mapato ya serikali,walilipa msiseme mtauzwa..wanakopa sanaAshushe kodi za mafuta
Ndio maana huwa tunawashauri humu kabla ya kukaza fuvu waende kwa Ground wakajionee kwa macho yao hali ilivyo !!Hizo dawa hospitali zipo sasa au umeamua kukaza fuvu?
Kwenye Mafuta Kuna Kodi zaidi Ya Ishirini! Na Kuna Kodi ambazo hata zikipunguzwa hazitaathiri miradi ya Serikali kama Maji, Barabara, Umeme nk. Maana Ni Fedha zinakwenda kwenye Government Spendings!Wewe ni zaidi ya fala,lazima ununue na bei unazonunua ziko subsidized ndio maana dawa za hospital ni Bei nafuu kuliko za maduka binafsi,tumbili wewe.
Unataka bure,zalisha dawa zako na tafuta daktari wako.
Lakini hoja inabaki kwamba hii issue sio poa kama mnavyotaka kutuaminisha tusihoji.Ni porojo tuu huko Bungeni kwa sababu serikali itasema itakuja na majibu wakati wa kujadili bajeti ya Nishati wala hakuna jipya hapo.
Tatizo sio sheria bali tatizo ni kwamba kuna ushirika kati ya wasimamia sheria na wanufaika wa haya matukio ya upandaji bei.Na tatizo kubwa katika Nchi hii ni kwamba kila inapopanda bei ya nishati yeyote ile iwe ni umeme au mafuta basi hapo huwa ni neema kwa wafanyabiashara !! Kwa kupandisha bei za bidhaa kiholela kwa sababu huwa hakuna udhibiti katika kusimamia bei za bidhaa !! Wanasema ni soko huria, na kibaya zaidi ni kwamba hata hapo baadaye bei za nishati zikishuka bado zile bei zilizopanda kwa sababu ya kupanda bei ya nishati zitabaki huko huko juu na kuendelea kupandaZaidi na zaidi ! Hapo sasa ndipo Serikali inapolaumiwa kwa kushindwa kuwadhibiti wafanyabiashara wanaojipandishia bei za bidhaa kiholela !
Kiongozi dhaifu, kwanini asilaumiwe?. NonsenseAhlan wa Sahlan
Habari zenu wana JF:
Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha, kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum, diesel na mafuta ya taa.
Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kampala , Lusaka, Kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.
Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.
![]()
Gasoline prices around the world, 03-Feb-2025 | GlobalPetrolPrices.com
Gas prices by country using official data sources.www.globalpetrolprices.com
Vita ya Ukraine itamgusa kila mmoja wetu mpaka mkulima kule Ulyankuru ambaye hajui hata kuna vita mahali fulani Duniani.Ahlan wa Sahlan
Habari zenu wana JF:
Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha, kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum, diesel na mafuta ya taa.
Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kampala , Lusaka, Kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.
Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.
![]()
Gasoline prices around the world, 03-Feb-2025 | GlobalPetrolPrices.com
Gas prices by country using official data sources.www.globalpetrolprices.com
Zambia ni sh. 2400/- Unasemaje hapo?Ahlan wa Sahlan
Habari zenu wana JF:
Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha, kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum, diesel na mafuta ya taa.
Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kampala , Lusaka, Kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.
Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.
![]()
Gasoline prices around the world, 03-Feb-2025 | GlobalPetrolPrices.com
Gas prices by country using official data sources.www.globalpetrolprices.com
Ninakubaliana na wewe mkuu!Huyo ni mmoja ya wale wanaoishi kwa shemeji analala sebuleni kwa dada yake.
Hizo hapo mkuu!naomba kujua bei za mafuta zanziba zipoje kabla hatujaenda huko unapo tupeleka, tukumbuke tunapo fananisha hizi bei tusikimbilie kuchukua mifano ya bei ya juu tuu tuchukue na ya bei ya chini pia, lakini tunapofananisha pia tuangalie na kipoto cha chini cha kila mwananchi cha nchi husika tunazofananisha nazo.
pia tuanapo angalia pato la hao wananchi tuangalie na fursa zilizopo za kiuchumi kwa hizo nchi na tufananishe na fursa tanzania ilizo nazo.
Hebu fikiria je tz imeongeza asilimia yoyote ktkt siku ya may mosi kenya wameongezewa 12%, na nchi nyingine pia zimeongeza ila Tz lile jambo letu lipo palepale..... hebu rejea kauli ya nilikuwa marekani bei ya petrol hapa tz ni ndogo kuliko marekani, je wa tz wanafanana kipato na wamarekani nikukumbushe.
nikukumbushe pia kauli ya mama kila kitu kitapanda bei, kiongozi wa nchi alipaswa kuangalia ni namna gani na kwa mikakati ipi tutaepuka kupanda kwa bei ya vitu kutokana na vita ya Urusi na ukrein na si vinginevyo
Ila we jamaa ni hatari. Kila mtu akisemacho kuishauri serikali unampinga kuonesha ya serikalini ni perfect yote. Unaona wanaoshauri ni wapotoshaji, ifike mahala ukubaliane na watafta unafuu wa kimaisha. Kodi ya mafuta syo mjenzi rasmi wa barabara. Kuna hela zinapotea kuliko unavyodhani, inafikia hatua kwenye vivuko watu wanapita tu eti mashine ni mbovu.Usihangaike nao hao fala achana nao ,mbona wasilete mafuta yao wayauze bei ya Chini?
Eti wanataka Serikali ifute Kodi kwenye mafuta Ili ijiendeshaje? Ili isijenge barabara?
Hakuna pimbi atafanya hili.
kwa nini tupige simu mbali huko, kwa nini usiseme tupige simu tuulize Zanzibar?Pigieni simu watu wa Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kampala , Lusaka, Kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.
Mafuta Zambia ni sh 2,400/ kwa lita na yanapita hapa nchini,waambie wapunguze misululu ya Tozo kwenye mafutaAhlan wa Sahlan
Habari zenu wana JF:
Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha, kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum, diesel na mafuta ya taa.
Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kampala , Lusaka, Kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.
Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.
![]()
Gasoline prices around the world, 03-Feb-2025 | GlobalPetrolPrices.com
Gas prices by country using official data sources.www.globalpetrolprices.com