Acheni kumlaumu Rais Samia. Mafuta yamepanda bei katika soko la Dunia, ulizeni bei za mafuta Kenya, Uganda, Rwanda zipoje

Acheni kumlaumu Rais Samia. Mafuta yamepanda bei katika soko la Dunia, ulizeni bei za mafuta Kenya, Uganda, Rwanda zipoje

Wewe ni zaidi ya fala,lazima ununue na bei unazonunua ziko subsidized ndio maana dawa za hospital ni Bei nafuu kuliko za maduka binafsi,tumbili wewe.

Unataka bure,zalisha dawa zako na tafuta daktari wako.

Pyiii zipo hizo dawa zaidi ya panadol zingine zote unaandikiwa ukanunue pharmcy za nje huko [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] dawa zipi zipo ambazo unanunua peleka ujinga wako huko
 
Tatizo linaanzia hapo kwenye mlolongo wa tozo.
IMG-20220505-WA0015.jpg
 
Ahlan wa Sahlan

Habari zenu wana JF:

Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha, kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum, diesel na mafuta ya taa.

Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kampala , Lusaka, Kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.

Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.


Chukueni hatua, kuhakikisha ajira, biashara nyingi hazipotei, wakulima wengi hawaanguki.

Tunaweza kuongoza, siyo kufata kila kitu, Kenya,Rwanda, Uganda. Unaitwa uongozi for a reason.

Issue ya lockdown tuliongoza dunia hatukupiga nchi lockdown au raia wetu kupigwa risasi mtaani wakikiuka lockdown.

Biashara, ajira, maisha mengi yaliokolewe. Jiongeze.
 
Pyiii zipo hizo dawa zaidi ya panadol zingine zote unaandikiwa ukanunue pharmcy za nje huko [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] dawa zipi zipo ambazo unanunua peleka ujinga wako huko
Unanichosha, siwezi endelea kujibu ujinga
 
Uki

Serikali itajiendeshaje bila ya kukusanya kodi? Yaani unataka apunguze kodi kwenye mafuta halafu wakaongeze kodi kwenye madawa, mbolea,vifaa vya ujenzi,n.k

Vitu muhimu ni sera, vipaumbele, maisha ya wananchi wengi, mjini vijijini, Babu, bibi yako, watu wa vipato vya chini, kati. Sio wewe na washkaji zako tu.
 
Usihangaike nao hao fala achana nao ,mbona wasilete mafuta yao wayauze bei ya Chini?

Eti wanataka Serikali ifute Kodi kwenye mafuta Ili ijiendeshaje? Ili isijenge barabara?

Hakuna pimbi atafanya hili.
Nitajie nchi ambayo haitozi kodi katika bidhaa za mafuta.Nchi itajiendeshaje kama haikusanyi kodi? Mnataka kuja tena kumlaumu kuwa hospitalini hakuna madawa, wafanyakazi kutolipwa mishahara kwa wakati n.k
Angalia serikali ya Kenya inavyodhibiti bei za mafuta ya petroli/dizeli/.. kwa kutoa ruzuku (subsidy)..
 
Ahlan wa Sahlan

Habari zenu wana JF:

Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha, kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum, diesel na mafuta ya taa.

Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kampala , Lusaka, Kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.

Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.

Acheni kumtetea mtu hasiyehitaji utetezi wenu
 
Akili za matope hizi harafu ndo zinatuongoza lazima tutanyooka, hapa ni zanzibar ambao tunaita nchi moja ndani ya nchi kubwa
FB_IMG_1651685418770.jpg
 
Huu ni ujinga wa Hali ya Juu,unaposema wafute hizi Kodi manake unasema madawa yapungue hospital,wasijenge barabara nk Ili watu wapumue sio?
Jamaa umekomaa balaaa, kwani maana ya uongozi ni nini. Kama huwezi kuwalinda Wananchi wako unatafuta nini kwenye uongozi.

Halafu inapotokea upande mwingine bei ziko chini, unataka Wananchi wakueleweje. Kwamba hizi kodi na tozo hazijengi Barabara kule?

Solution ni kuondoa wote wasiotumia akili katika kutatua matatizo ya Wananchi.
 
Mafuta Zanzibar tshs 2,600. Mbona wao huwatolei mfano?
 
Exactly , mama ni mfariji mkuu wa wananchi, awe muamgalifu katika kutoa kauli zake maana zinachochea ongezeko la bei za vitu.
umeonae, thanks. alitakiwa kuwa mkali kwa wafanyabiashara watakao pandisha bidhaa bei bila utaraibu tena angeonya kwa sauti kali na yenye mamlaka kwa kusema .
yeyote atakae tumia vita ya Urusi na Ukreini kupandisha bidhaa bei atafungiwa leseni na kupelekwa mahakamani kwa kesi ya uhujumu uchumi. pia angeshauri mamlaka husika kuona zinafanyaje kwa kipindi hiki cha mpito ku control bei ya bidhaa zinazotoka nje na angesema sasa ni wakati wa wananchi kuona fursa zilizopo ndani ya nchi na kuzitumia. lakini pia ni funzo kwa wananchi na taasisi za serekalikuona ni namna gani ya kujitegemea kuliko kutegemea kila kitu kutoka nje ya TZ
 
Ahlan wa Sahlan

Habari zenu wana JF:

Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha, kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum, diesel na mafuta ya taa.

Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kampala , Lusaka, Kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.

Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.

Umesahau na mafuta ya kula pia yamepanda ongezea katika Uzi wako
 
Back
Top Bottom