Acheni kumuandama Rais Samia, angeweza kusaini bila kuwashirikisha na msingefanya chochote

Acheni kumuandama Rais Samia, angeweza kusaini bila kuwashirikisha na msingefanya chochote

Kuna ufala na uzuzu, ujinga na umbanga; bila kuelewa zama bora kukaa kimya.
 
Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.


Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?

1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?

2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?

3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?

Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.


Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu

Kasikilize wataalamu wa sheria wakielezea kwanini huu mkataba ulihitaji ratification ya bunge. Huu mkataba unagusa utungaji na ubadilishaji wa sheria za nchi. Ni kanuni za kisheria na isingewezekana bila kupita bungeni.
 
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Kati ya miradi yote hapo juu kuna Kampuni iliyopewa hati miliki ya mradi husika bila kimono?! Au wanajenga tuu structure lenu na kuondoka?! Unalingalisha scenario mbili tofauti kabisa.
Tumia akili unapoleta thread humu.
 
1686257367156.jpg
 
Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.


Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?

1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?

2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?

3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?

Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.


Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Hiyo ni bandari na ni mpaka wa nchi hiyo yote uliyo taja ni miradi na haipo kwenye katiba
 
Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.


Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?

1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?

2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?

3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?

Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.


Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
ni kweli mama angeweza kuusaini kimya kimya lakini yeye binafsi hakubaliani nao, hivyo akaona isiwe shida kwake, fanya tu kuuweka mkataba wazi kwa umma ili kuepuka yeye mama kuhusika moja kwa moja kukubali jambo asiloafikiana nalo...

najaribu kuwaza kwa sauti labda kuna kundi maalum lenye kunufaika moja kwa moja kwa bandari kubinafsishwa ila kwa kujua udhaifu wa mkataba huo, wamemtanguliza mama kama chambo. Pindi lawama zitakapoibuka mbeleni yeye mama ndiye abebeshwe zigo hilo.

Hata hivyo, umma kupinga jambo hilo ni dalili njema za uelewa kwa watanzania.
 
Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.


Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?

1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?

2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?

3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?

Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.


Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Hili swala tungekuwa objective kwa pamoja tungeweza kufikia pazuri na naamini kabisa wananchi tukiungana vizuri hawa dp na chawa wao hawatoboi, walioharibu mjadala huu walioanza kutukana dini za watu na makabila, let us be objective kwa ajili ya kulinda kizazi chetu , huu mkataba to be fair haufai maana tunawadhulumu watoto na wajukuu zetu, watatulaani na kuwatukana wote waliohusika kwenye ujinga huu
 
Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.


Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?

1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?

2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?

3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?

Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.


Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu

Kua ingekua siri milele?
 
Kuna ukweli ndani yake lkn kwa ukweli nikua hata kwa jpm watu walikua wanalalamika,walipokua wanaona Mambo hayaendi sawa. Sema tu jpm alikua mbabe asiekua na akili
 
Aisee kwahio Transparency / Kuvujishwa kwa Mkataba (so called makubaliano) na kusainiwa hayo makubaliano unaona kwako umepewa msaada ?

No Wonder safari bado ni ndefu

Kwamba wanamuandama kazi yake ni ipi kusifiwa na kuambiwa anaupiga Mwingi ?!!!
 
Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.


Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?

1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?

2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?

3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?

Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.


Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Acha kudanganya watu,

Mkataba ulivuja,

Ingekuwa uliletwa Kwa Nia njema, usingepelekwa haraka haraka,

Yaani siku mbili zitoshe vp kukusanya maoni ya wananchi?

Pia acha dharau, Rais wa Nchi Si mamaetu, ni Amiri Jeshi mkuu, Mwajiriwa namba moja wa wananchi, hivyo hatujadili mambo ya kifamilia, tunajadili suala la Bandari lenye Maslahi mapana ya nchi yetu.
 
Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.


Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?

1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?

2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?

3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?

Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.


Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Tofautisha miradi ambayo haijawai kuanzishwa Chief

Unatunchanganyia habari

Bandari ina management yake na inafanya kazi very tuu na
 
Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.


Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?

1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?

2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?

3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?

Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.


Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Mawazo ya kijinga sana kwahivyo tukubali kwakuwa ametuambia? Tuseme namtaka mkeo nikimvizia kimya ntapiga Sasa nkikuletea mkataba niwe namkula utakubali kwakuwa wapo walomla bila kukushirikisha??
 
Hivi kwa Nini wanamuonea sana huyu mama jamani I wish ningekuwa msemaji wa serikali ili kuonesha utofauti wa mama na jpm.


Hivi jpm ni mkataba Gani ambao ameshawahi kuwashirikisha au kulishirikisha bunge?

1. Ujenzi wa Bomba la mafuta hoima mpaka Tanga, je mlishirikshwa au bunge lilipewa nakala ya contract?

2. Ujenzi wa daraja kigongo busisi. Je bunge lilishirikishwa katika majadiliano au watu waliruhusiwa kutoa maoni?

3. Bwawa la nyerere au stiglers gorge. Je mlishirikshwa na Kuna mtu ana copy yoyote ya mkataba kati ya wale wamisri na Tanzania?

Miradi ni mingi sana jpm hakutaka kabisa kushirikisha mtu yeyote alifanya mwenyewe na aliyejaribu kuhoji ama aliuawa au alipewa kesi ya uhujumu uchumi.


Acheni kumsumbua mama kwa uungwana wake wa kupeleka majadiliano bungeni na kuweka wazi kila kitu. Angekuwa jpm! Thubutu
Mkataba ulivuja
 
Jiwe hakuwahi kusaini mikataba yoyote ya kukabidhi mali kwa mabeberu
 
Back
Top Bottom