Acheni kupotosha alichokuwa amesema Tundu Lissu kuhusu Acacia na MIGA

Acheni kupotosha alichokuwa amesema Tundu Lissu kuhusu Acacia na MIGA

Ngoja nikwambie kitu mkuu,
Unajua kwamba mtu anaweza akawa anazo HOJA za msingi kabisa katika jambo fulani lakini tatizo kubwa likawa ni jinsi gani huyo mtu anawasilisha hizo hoja zake kwa wahusika?

Ni sawa tu na mtu anayo story nzuri yenye mafunzo mengi/vichekesho vingi,lakini tatizo lake hajui jinsi ya kuiwasilisha kwa ufasaha hiyo story mbele ya hadhira yake ili watu wajifunze kweli/wacheke kweli kweli kama alivyotaka yeye.


Utaona kwamba jamaa alishindwa hapo hata kama alikuwa nazo kweli hoja zilizokuja kufanyiwa kazi mbeleni,
Mtu mwerevu anajua jinsi ya kuwasilisha hoja zake smartly na lengo lake kutimia bila kuleta mambo ya sijui rubbish na majigambo mengine ya kijinga tu,ambayo yatawafanya wengine wakuone mpuuzi tu hata kama kweli unazo hoja za msingi.

..kweli.

..lakini kwa ccm wako radhi nchi iingie hasara kuliko kuchukua wazo zuri toka kwa mTz aliye nje ya chama chao.

..TL alianza kupinga madudu tangu miaka ya 90 wakati serikali inataka kuingia mkataba wa mgodi wa Bulyankulu.

..miaka yote walikuwa wakimpinga TL.

..Walipoona haiwezekani tena kupinga hoja zake,na inabidi wakabiliane na makampuni ya madini,wakaanza kumchafua binafsi.

..Juhudi za kumchafua zilipoanza kugonga mwamba, kutokana na jinsi TL alivyokuwa
anajibu mapigo na kuonekana kuwa na credibility zaidi ktk kutetea rasilimali zetu ndipo likatokea shambulio la kinyama.
 
Basi mara moja moja uwe unapitapita pale mitaa ya Mnazi mmoja.
Hahaha sawa, lakini naogopa kesi za uzururaji kutoka kwa mgambo wa jiji.
Nilipoteza kitambulisho cha machinga, na kile hakirudi, maana hakina Jina langu.
 
Wafuasi wa Lumumba ama kwa ile kukosa uelewa, au kwa makusudi tu, since Day 1 wamekuwa wakipotosha ambacho Tundu Lissu aliongea kuhusu MIGA! Au wakati mwingine inawezekana ni kutokana na tabia yetu Watanzania ya kutotafuta ukweli!

Binafsi nimekuwa nikilijadili suala la makinikia since Day 1, na kwavile nilikuwa nafuatilia sana nakumbuka vyema nini Tundu Lissu aliongea, na ninamnukuu hapa chini:-
Hiyo ndiyo hoja ya Lissu... kwamba, kama kweli Serikali ya Magufuli ilikusudia kupambana na Acacia, basi walitakiwa kwanza wajitoe kwenye mkataba wa MIGA!

Ushauri sawa na huo wa TL ulikuja tena kutolewa na Dr. Rugemeleza Nshala mbele ya Wabunge walipokuwa wanatafuta maoni ya wadai wakati wa utungwaji wa sheria mpya ya madini.

Gazeti la the Citizen linatujuza😛ia the Citizen wanatukumbusha kwamba, Dr. Nshala ni Mtanzania wa pili kutoa ushauri kama huo huku wa kwanza akiwa ni TL:-Kwa maajabu ya wale waliofuatilia suala la umakini, watu wakapotosha na kudai TL amesema tukipambana na Acacia, watatupeleka MIGA, na huu ndo umekuwa wimbo wa wana-CCM na wafuasi wa serikali!

Busara ya TL kushauri kujitoa MIGA unaweza kuiona kupitia tovuti ya MIGA, hivi ndivyo wanasema:-Hapo wanaongea wazi ni namna gani pamoja na mambo mengine, wana jukumu la kulinda uwekezaji dhidi ya maamuzi ya serikali!

Sasa basi, hoja ya TL ilikuwa ni kwamba, tukishavurugana na Acacia ,watakachofanya wao ni kile ambacho kinafanywa na kampuni zingine... yaani kukimbilia Mahakamani, au MIGA!

Lakini kama kweli umeamua kupambana na hawa jamaa, unachotakiwa ni kuchomoa betri kwa kujitoa MIGA ili wasiwe na kwa kukimbilia zaidi ya kwenda kwenye mahakama zetu wenyewe... yaani mahakama zile zile zinazoamua ma-DED wanastahili kusimamia uchaguzi ambao mmoja wa washiriki ni mwajiriwa wake mwenyewe!!!

Kwa maana nyingine, ukishajitoa MIGA maana yake ni kwamba unakuwa huzitambui mahakama zao! Ni kama United States asivyoitambua International Criminal Court, matokeo yake pamoja na uhalifu wote wa kivita wanaoufanya duniani kote, huwezi kumpeleka Mmarekani ICC .

Maajabu makubwa zaidi ya taifa hili, badala ya kuiangalia hoja ya TL Critically, watu wale wale wanaojiona ndio wazalendo zaidi, wakaona mtu kama TL anastahli kuuawa mara moja... na wafuasi wa CCM na serikali yake wamekuwa wakiirudia kauli hii mara kwa mara!!!!

Je, kumpuuza TL kumetugharimu kama taifa?!

Serikali na watetezi wataendelea kujitekenya wenyewe na kucheka wenyewe lakini ukweli ni kwamba imetugharimu kama taifa!

Sote tumeshuhudia danadana za Acacia... watetezi wa serikali wasichofahamu ni kwamba, danadana zote zile ni kwa sababu walifahamu maji yakiwazidi shingo, wangekimbilia mahakamani ambako katu tusingetoka.

Na kwa Mtanzania yeyote anayekejeli kauli hiyo ya TL, kwa hakika anatakiwa kujitafakari mara mbili... anatakiwa kujitafakari kwa sababu sisi ni victim wa hizi mahakama, hususani kupitia IPTL!

Sote sisi tunakumbuka kushikiliwa kwa Bombardier kwa wiki kadhaa kule Canada kutokana na maamuzi yaliyotolewa na mahakama za aina hii!!

Hivyo basi, ili kujilinda tusipelekwe kwenye mahakama kama hizi ambazo kuchomoka ni nadra sana, ndipo TL akasema ukitaka kupambana na hawa watu, basi jitoe MIGA lakini sio kwamba tukipamba na Acacia, wanatupeleka mahakamani!!!

Je, kwanini Acacia Hawajatupeleka MIGA?

Kwa kifupi ni kwamba, Acacia hawakuwa na sababu ya kutupeleka MIGA kwa sababu serikali imepita njia ambayo ni nafuu maradufu kwa Acacia!

Kuweka kumbukumbu sawa, wakati Profesa Orosso akiwakilisha Ripoti ya Pili, alitoa takwimu ya pesa ambayo serikali ilipoteza kama mapato! Prof. Orosso na timu yake waliweka makadirioo ya kiwango cha chini kabisa ambacho serikali ilipoteza, na kiwango cha juu kabisa!

Tuachane na kiwango cha juu kabisa, Profesa Orosso anatujuza, na ripoti kamili inapatikana tovuti ya Ikulu:-Hicho ndicho kiwango cha chini kabisa... na ukichanganya na adhabu (ya kuchelewesha kulipa kodi), jumla ndo ile figure maarufu ya TRilioni 450!!

Sasa hebu tujiulize... Uchunguzi uliofanywa na akina Prof Mruma na mwenzake Prof Orosso (pamoja na timu ya watu wa TRA), ilionesha Acacia wamekwepa kulipa Sh. 68 kwa miaka 17. Leo hii serikali imekubali kulipwa Sh. 700 Billion... sasa hata kama wewe ndo ungekuwa Acacia, ungeenda MIGA kufanya nini?!

Na kama ilivyo kwa mahakama zingine, kesi za MIGA zinachukua miaka na miaka!! Sasa kwanini ukae miaka yote hayo huku biashara ikiendelea kuathirika kwa kushindwa kusafirisha makinikia?!

Sasa wakati Wafuasi wa CCM na serikali yake wakiendelea kumkejeli TL kwamba mbona hao Acacia hawajaenda MIGA, jibu ndo hilo hapo! Hawajaenda kwa sababu sisi ndio tumeliwa! Tumekubali kuchukua Sh. 700 Billion out of 68 Trillion!!!!

NOTE: Moderator punguzeni kasi ya kuunganisha threads bila sababu za msingi eti kisa tu kuna baadhi ya keywords zinafanana!!! Kuandika haya mambo it takes time... so, it sucks mtu unapoteza saa moja na ushee kuandika thread, unakuja next time, huoni kwa sababu imeunganishwa na thread nyingine!
Mbona ktk maelezo yako kama gazeti yasiyo kuwa na kichwa wa miguu inaonyesha wewe ndio unajitekenye mwenyewe halafu unacheka mwenyewe.
 
True... ila kwenye makanikia alikuwa anawatetea wazungu na alimudu sana.

UCHUNGUZI HURU UMEBAINI KWAMBA LISSU THE GREAT NDIYE MWANASHERIA BORA KABISA KUWAHI KUWEPO KWENYE ENEO LA MAZIWA MAKUU TANGU KUUMBWA KWA MBINGU NA ARDHI .
 
Wafuasi wa Lumumba ama kwa ile kukosa uelewa, au kwa makusudi tu, since Day 1 wamekuwa wakipotosha ambacho Tundu Lissu aliongea kuhusu MIGA! Au wakati mwingine inawezekana ni kutokana na tabia yetu Watanzania ya kutotafuta ukweli!

Binafsi nimekuwa nikilijadili suala la makinikia since Day 1, na kwavile nilikuwa nafuatilia sana nakumbuka vyema nini Tundu Lissu aliongea, na ninamnukuu hapa chini:-
Hiyo ndiyo hoja ya Lissu... kwamba, kama kweli Serikali ya Magufuli ilikusudia kupambana na Acacia, basi walitakiwa kwanza wajitoe kwenye mkataba wa MIGA!

Ushauri sawa na huo wa TL ulikuja tena kutolewa na Dr. Rugemeleza Nshala mbele ya Wabunge walipokuwa wanatafuta maoni ya wadai wakati wa utungwaji wa sheria mpya ya madini.

Gazeti la the Citizen linatujuza😛ia the Citizen wanatukumbusha kwamba, Dr. Nshala ni Mtanzania wa pili kutoa ushauri kama huo huku wa kwanza akiwa ni TL:-Kwa maajabu ya wale waliofuatilia suala la umakini, watu wakapotosha na kudai TL amesema tukipambana na Acacia, watatupeleka MIGA, na huu ndo umekuwa wimbo wa wana-CCM na wafuasi wa serikali!

Busara ya TL kushauri kujitoa MIGA unaweza kuiona kupitia tovuti ya MIGA, hivi ndivyo wanasema:-Hapo wanaongea wazi ni namna gani pamoja na mambo mengine, wana jukumu la kulinda uwekezaji dhidi ya maamuzi ya serikali!

Sasa basi, hoja ya TL ilikuwa ni kwamba, tukishavurugana na Acacia ,watakachofanya wao ni kile ambacho kinafanywa na kampuni zingine... yaani kukimbilia Mahakamani, au MIGA!

Lakini kama kweli umeamua kupambana na hawa jamaa, unachotakiwa ni kuchomoa betri kwa kujitoa MIGA ili wasiwe na kwa kukimbilia zaidi ya kwenda kwenye mahakama zetu wenyewe... yaani mahakama zile zile zinazoamua ma-DED wanastahili kusimamia uchaguzi ambao mmoja wa washiriki ni mwajiriwa wake mwenyewe!!!

Kwa maana nyingine, ukishajitoa MIGA maana yake ni kwamba unakuwa huzitambui mahakama zao! Ni kama United States asivyoitambua International Criminal Court, matokeo yake pamoja na uhalifu wote wa kivita wanaoufanya duniani kote, huwezi kumpeleka Mmarekani ICC .

Maajabu makubwa zaidi ya taifa hili, badala ya kuiangalia hoja ya TL Critically, watu wale wale wanaojiona ndio wazalendo zaidi, wakaona mtu kama TL anastahli kuuawa mara moja... na wafuasi wa CCM na serikali yake wamekuwa wakiirudia kauli hii mara kwa mara!!!!

Je, kumpuuza TL kumetugharimu kama taifa?!

Serikali na watetezi wataendelea kujitekenya wenyewe na kucheka wenyewe lakini ukweli ni kwamba imetugharimu kama taifa!

Sote tumeshuhudia danadana za Acacia... watetezi wa serikali wasichofahamu ni kwamba, danadana zote zile ni kwa sababu walifahamu maji yakiwazidi shingo, wangekimbilia mahakamani ambako katu tusingetoka.

Na kwa Mtanzania yeyote anayekejeli kauli hiyo ya TL, kwa hakika anatakiwa kujitafakari mara mbili... anatakiwa kujitafakari kwa sababu sisi ni victim wa hizi mahakama, hususani kupitia IPTL!

Sote sisi tunakumbuka kushikiliwa kwa Bombardier kwa wiki kadhaa kule Canada kutokana na maamuzi yaliyotolewa na mahakama za aina hii!!

Hivyo basi, ili kujilinda tusipelekwe kwenye mahakama kama hizi ambazo kuchomoka ni nadra sana, ndipo TL akasema ukitaka kupambana na hawa watu, basi jitoe MIGA lakini sio kwamba tukipamba na Acacia, wanatupeleka mahakamani!!!

Je, kwanini Acacia Hawajatupeleka MIGA?

Kwa kifupi ni kwamba, Acacia hawakuwa na sababu ya kutupeleka MIGA kwa sababu serikali imepita njia ambayo ni nafuu maradufu kwa Acacia!

Kuweka kumbukumbu sawa, wakati Profesa Orosso akiwakilisha Ripoti ya Pili, alitoa takwimu ya pesa ambayo serikali ilipoteza kama mapato! Prof. Orosso na timu yake waliweka makadirioo ya kiwango cha chini kabisa ambacho serikali ilipoteza, na kiwango cha juu kabisa!

Tuachane na kiwango cha juu kabisa, Profesa Orosso anatujuza, na ripoti kamili inapatikana tovuti ya Ikulu:-Hicho ndicho kiwango cha chini kabisa... na ukichanganya na adhabu (ya kuchelewesha kulipa kodi), jumla ndo ile figure maarufu ya TRilioni 450!!

Sasa hebu tujiulize... Uchunguzi uliofanywa na akina Prof Mruma na mwenzake Prof Orosso (pamoja na timu ya watu wa TRA), ilionesha Acacia wamekwepa kulipa Sh. 68 kwa miaka 17. Leo hii serikali imekubali kulipwa Sh. 700 Billion... sasa hata kama wewe ndo ungekuwa Acacia, ungeenda MIGA kufanya nini?!

Na kama ilivyo kwa mahakama zingine, kesi za MIGA zinachukua miaka na miaka!! Sasa kwanini ukae miaka yote hayo huku biashara ikiendelea kuathirika kwa kushindwa kusafirisha makinikia?!

Sasa wakati Wafuasi wa CCM na serikali yake wakiendelea kumkejeli TL kwamba mbona hao Acacia hawajaenda MIGA, jibu ndo hilo hapo! Hawajaenda kwa sababu sisi ndio tumeliwa! Tumekubali kuchukua Sh. 700 Billion out of 68 Trillion!!!!

NOTE: Moderator punguzeni kasi ya kuunganisha threads bila sababu za msingi eti kisa tu kuna baadhi ya keywords zinafanana!!! Kuandika haya mambo it takes time... so, it sucks mtu unapoteza saa moja na ushee kuandika thread, unakuja next time, huoni kwa sababu imeunganishwa na thread nyingine!
Mnaanza kujikosha eeehh!
 
Wafuasi wa Lumumba ama kwa ile kukosa uelewa, au kwa makusudi tu, since Day 1 wamekuwa wakipotosha ambacho Tundu Lissu aliongea kuhusu MIGA! Au wakati mwingine inawezekana ni kutokana na tabia yetu Watanzania ya kutotafuta ukweli!

Binafsi nimekuwa nikilijadili suala la makinikia since Day 1, na kwavile nilikuwa nafuatilia sana nakumbuka vyema nini Tundu Lissu aliongea, na ninamnukuu hapa chini:-
Hiyo ndiyo hoja ya Lissu... kwamba, kama kweli Serikali ya Magufuli ilikusudia kupambana na Acacia, basi walitakiwa kwanza wajitoe kwenye mkataba wa MIGA!

Ushauri sawa na huo wa TL ulikuja tena kutolewa na Dr. Rugemeleza Nshala mbele ya Wabunge walipokuwa wanatafuta maoni ya wadai wakati wa utungwaji wa sheria mpya ya madini.

Gazeti la the Citizen linatujuza😛ia the Citizen wanatukumbusha kwamba, Dr. Nshala ni Mtanzania wa pili kutoa ushauri kama huo huku wa kwanza akiwa ni TL:-Kwa maajabu ya wale waliofuatilia suala la umakini, watu wakapotosha na kudai TL amesema tukipambana na Acacia, watatupeleka MIGA, na huu ndo umekuwa wimbo wa wana-CCM na wafuasi wa serikali!

Busara ya TL kushauri kujitoa MIGA unaweza kuiona kupitia tovuti ya MIGA, hivi ndivyo wanasema:-Hapo wanaongea wazi ni namna gani pamoja na mambo mengine, wana jukumu la kulinda uwekezaji dhidi ya maamuzi ya serikali!

Sasa basi, hoja ya TL ilikuwa ni kwamba, tukishavurugana na Acacia ,watakachofanya wao ni kile ambacho kinafanywa na kampuni zingine... yaani kukimbilia Mahakamani, au MIGA!

Lakini kama kweli umeamua kupambana na hawa jamaa, unachotakiwa ni kuchomoa betri kwa kujitoa MIGA ili wasiwe na kwa kukimbilia zaidi ya kwenda kwenye mahakama zetu wenyewe... yaani mahakama zile zile zinazoamua ma-DED wanastahili kusimamia uchaguzi ambao mmoja wa washiriki ni mwajiriwa wake mwenyewe!!!

Kwa maana nyingine, ukishajitoa MIGA maana yake ni kwamba unakuwa huzitambui mahakama zao! Ni kama United States asivyoitambua International Criminal Court, matokeo yake pamoja na uhalifu wote wa kivita wanaoufanya duniani kote, huwezi kumpeleka Mmarekani ICC .

Maajabu makubwa zaidi ya taifa hili, badala ya kuiangalia hoja ya TL Critically, watu wale wale wanaojiona ndio wazalendo zaidi, wakaona mtu kama TL anastahli kuuawa mara moja... na wafuasi wa CCM na serikali yake wamekuwa wakiirudia kauli hii mara kwa mara!!!!

Je, kumpuuza TL kumetugharimu kama taifa?!

Serikali na watetezi wataendelea kujitekenya wenyewe na kucheka wenyewe lakini ukweli ni kwamba imetugharimu kama taifa!

Sote tumeshuhudia danadana za Acacia... watetezi wa serikali wasichofahamu ni kwamba, danadana zote zile ni kwa sababu walifahamu maji yakiwazidi shingo, wangekimbilia mahakamani ambako katu tusingetoka.

Na kwa Mtanzania yeyote anayekejeli kauli hiyo ya TL, kwa hakika anatakiwa kujitafakari mara mbili... anatakiwa kujitafakari kwa sababu sisi ni victim wa hizi mahakama, hususani kupitia IPTL!

Sote sisi tunakumbuka kushikiliwa kwa Bombardier kwa wiki kadhaa kule Canada kutokana na maamuzi yaliyotolewa na mahakama za aina hii!!

Hivyo basi, ili kujilinda tusipelekwe kwenye mahakama kama hizi ambazo kuchomoka ni nadra sana, ndipo TL akasema ukitaka kupambana na hawa watu, basi jitoe MIGA lakini sio kwamba tukipamba na Acacia, wanatupeleka mahakamani!!!

Je, kwanini Acacia Hawajatupeleka MIGA?

Kwa kifupi ni kwamba, Acacia hawakuwa na sababu ya kutupeleka MIGA kwa sababu serikali imepita njia ambayo ni nafuu maradufu kwa Acacia!

Kuweka kumbukumbu sawa, wakati Profesa Orosso akiwakilisha Ripoti ya Pili, alitoa takwimu ya pesa ambayo serikali ilipoteza kama mapato! Prof. Orosso na timu yake waliweka makadirioo ya kiwango cha chini kabisa ambacho serikali ilipoteza, na kiwango cha juu kabisa!

Tuachane na kiwango cha juu kabisa, Profesa Orosso anatujuza, na ripoti kamili inapatikana tovuti ya Ikulu:-Hicho ndicho kiwango cha chini kabisa... na ukichanganya na adhabu (ya kuchelewesha kulipa kodi), jumla ndo ile figure maarufu ya TRilioni 450!!

Sasa hebu tujiulize... Uchunguzi uliofanywa na akina Prof Mruma na mwenzake Prof Orosso (pamoja na timu ya watu wa TRA), ilionesha Acacia wamekwepa kulipa Sh. 68 kwa miaka 17. Leo hii serikali imekubali kulipwa Sh. 700 Billion... sasa hata kama wewe ndo ungekuwa Acacia, ungeenda MIGA kufanya nini?!

Na kama ilivyo kwa mahakama zingine, kesi za MIGA zinachukua miaka na miaka!! Sasa kwanini ukae miaka yote hayo huku biashara ikiendelea kuathirika kwa kushindwa kusafirisha makinikia?!

Sasa wakati Wafuasi wa CCM na serikali yake wakiendelea kumkejeli TL kwamba mbona hao Acacia hawajaenda MIGA, jibu ndo hilo hapo! Hawajaenda kwa sababu sisi ndio tumeliwa! Tumekubali kuchukua Sh. 700 Billion out of 68 Trillion!!!!

NOTE: Moderator punguzeni kasi ya kuunganisha threads bila sababu za msingi eti kisa tu kuna baadhi ya keywords zinafanana!!! Kuandika haya mambo it takes time... so, it sucks mtu unapoteza saa moja na ushee kuandika thread, unakuja next time, huoni kwa sababu imeunganishwa na thread nyingine!
Mimi nimekuelewa ila kuna watu hii hoja yako wataiweka katika muktadha wa siasa hawatakuelewa na watakuponda.
 
Kwa hiyo tumenyolewa kwa chupa kama alivyokuwa anasema huyo jamaa?
 
Leo nimeona hii Barrick to Restart Gold Mining in Tanzania
Huko wallstreet journal, tuwekee kwenye lugha ya SADC mkuu. Imeelezea yoote ya nyuma kwa kizungu, sasa sisi huku SADC tunaweza kupitwa na huondo motomoto wa leo.
Mimi kinachonitia hofu sio kinachoripotiwa na media bali kinachosemwa na wenyewe Barrick! Kwa mfano, ukisoma Ripoti Rasmi kutoka Barrick Gold, kuna sehemu wanamnukuu Mark Bristow, ambae ndie President & CEO wa Barrick kwa sasa! Bristow anasema:-
Rebuilding these operations after three years of value destruction will require a lot of work, but the progress we’ve already made will be greatly accelerated by this agreement. Twiga, which will give the government full visibility of and participation in operating decisions made for and by the mines, represents our new partnership not only in spirit but also in practice,
Kauli hiyo ya CEO wa Barrick ni ya kuiogpa kama ukoma kwa sababu inaonesha wazi kwamba anawaandaa kisaikolojia Wafanya Maamuzi!

Hapo serikali wasipokuwa makini, ile 16% lazima Barrick waifanyie figisu figisu kwa sababu, mapato ya 16% yetu yatatokana na Gawio/Dividends!

Na ni utaratibu wa kawaida kwa kampuni yoyote ile kwamba, kampuni italipa dividends pale tu kampuni inapotengeneza faida! Lakini kutengeneza faida haitoshi, bali kampuni pia iwe imesimama vizuri!

Kampuni iliyopata 3 years value destruction kama ambavyo Barrick wanataka kutuaminisha ni kampuni inayotakiwa ku-recover kutoka kwenye hiyo destruction!!

Kampuni inayojaribu ku-recover itakuwa na uwezekano mdogo sana wa kutengeneza faida, na kwahiyo pia ina uwezekano mdogo sana wa kulipa dividends... hivi ndivyo Barrick wanachojaribu kutueleza!!

Lakini katika ku-recover, hata kama unapata faida si busara kutumia faida hiyo bali busara ya kibishara ni kutumia faida hiyo kufanya re-investment ili kampuni isimame sawasawa!!

Kwa mara nyingine,ni kama Barrick wanajaribu kutueleza kwamba, kampuni inayofanya re-investment ya faida yake na yenyewe ni ngumu sana kulipa dividends!!!

Sasa serikali wasipokuwa makini na hiyo timu yao ya wawakilishi kwenye kampuni ya Twiga, basi watarajie mwisho wa mwaka balance sheet ya Twiga Company itakuwa inasoma mapato ni madogo sana kuweza kulipa dividends, na kama yapo basi imeonekana ni busara ku-reinvest ili mnyama Twiga asimame sawasawa!!!!

Na hapa tukumbushane hili suala la Free-carried share linawasumbua nchi nyingi tu walio-adapt hii kitu! Anglophone countries kwa mfano, wao wanaita Free-Carried Interest (FCI), na wengi wanakumbana na figisu figisu za kutolipwa hiyo FCI.
 
Huwa nashangaa sana watu wanaoiona ACACIA kuwa ni tofauti na BARRICK GOLD. ni Barrick walioanzisha kampuni tanzu ya ACACIA ikiwa ni namna ya kushughulika na nchi zetu za kimagumashi, na viongozi magumashi. Nyerere mwenye akili aliwaambia kabisa mapema kwamba subirini kwanza, tujipange kama nchi. uroho wa Mkapa ukatuingiza kichwa kichwa. PAPARA ZA MAGUFULI NAZO ZIKATUTOA MATAKO MATAKO.
Barrick anaonesha kidole kwa ACACIA kwamba ndiyo mtoto mkorofi, wakati yeye ni msikivu na mtiifu!!! Barrick ni wazoefu sana wa kupora mali kama hizi kwa miaka nenda miaka rudi.
Hata hii habari ya kampuni ya pamoja na hisa 16%, subiri kwanza uone je tutapata kitu? nina mashaka sana tutaambulia propaganda tu.

..tunachopaswa kuangalia hapa ni hiyo migodi ita-last muda gani kuanzia sasa hivi.

..kuna mgodi kama Nzega muwekezaji alishaondoka katuachia mashimo.

..migodi itakayokuwa chini ya hii arrangement mpya ina muda mrefu kwenda mbele, au tumeishia kugawana " mkia " nyama yote imeshaliwa?
 
Hahaha nilitaka kuelewa, mikopo ndiyo inaitwa misaada au ni vitu viwili tofauti?!
Maana serikali inatumia mapato ya ndani, na mnasema tunapata misaada, yenyewe inatumika wapi na lini na nani anaitoa?!
Je, huwa tunakopa lini ikiwa inaonekaka pesa za ndani zinatosha na mnasema misaada tuna pata?!
Nani anatumia misaada hii, au inatumika wapi, lini na kwanini?!
Kwa taarifa yako mapato ya ndani hayatoshi. Tra inakusanya wastani wa trillion 1.3 kwa mwezi hivyo kwa mwaka ni zaidi trillion ya 15. Bajeti ya serikali kwa mwaka ni zaidi ya trillion 30 hivyo kuna nakisi ya zaidi ya trillion 15.

Ili kupata fedha za bajeti zinazopelea serikali hupata misaada ambayo hailipwi na pia kukopa kutoka nchi marafiki na mabenki ya ndani na nje.
 
Mimi kinachonitia hofu sio kinachoripotiwa na media bali kinachosemwa na wenyewe Barrick! Kwa mfano, ukisoma Ripoti Rasmi kutoka Barrick Gold, kuna sehemu wanamnukuu Mark Bristow, ambae ndie President & CEO wa Barrick kwa sasa! Bristow anasema:-Kauli hiyo ya CEO wa Barrick ni ya kuiogpa kama ukoma kwa sababu inaonesha wazi kwamba anawaandaa kisaikolojia Wafanya Maamuzi!

Hapo serikali wasipokuwa makini, ile 16% lazima Barrick waifanyie figisu figisu kwa sababu, mapato ya 16% yetu yatatokana na Gawio/Dividends!

Na ni utaratibu wa kawaida kwa kampuni yoyote ile kwamba, kampuni italipa dividends pale tu kampuni inapotengeneza faida! Lakini kutengeneza faida haitoshi, bali kampuni pia iwe imesimama vizuri!

Kampuni iliyopata 3 years value destruction kama ambavyo Barrick wanataka kutuaminisha ni kampuni inayotakiwa ku-recover kutoka kwenye hiyo destruction!!

Kampuni inayojaribu ku-recover itakuwa na uwezekano mdogo sana wa kutengeneza faida, na kwahiyo pia ina uwezekano mdogo sana wa kulipa dividends... hivi ndivyo Barrick wanachojaribu kutueleza!!

Lakini katika ku-recover, hata kama unapata faida si busara kutumia faida hiyo bali busara ya kibishara ni kutumia faida hiyo kufanya re-investment ili kampuni isimame sawasawa!!

Kwa mara nyingine,ni kama Barrick wanajaribu kutueleza kwamba, kampuni inayofanya re-investment ya faida yake na yenyewe ni ngumu sana kulipa dividends!!!

Sasa serikali wasipokuwa makini na hiyo timu yao ya wawakilishi kwenye kampuni ya Twiga, basi watarajie mwisho wa mwaka balance sheet ya Twiga Company itakuwa inasoma mapato ni madogo sana kuweza kulipa dividends, na kama yapo basi imeonekana ni busara ku-reinvest ili mnyama Twiga asimame sawasawa!!!!

Na hapa tukumbushane hili suala la Free-carried share linawasumbua nchi nyingi tu walio-adapt hii kitu! Anglophone countries kwa mfano, wao wanaita Free-Carried Interest (FCI), na wengi wanakumbana na figisu figisu za kutolipwa hiyo FCI.
Nakuelewa lakini kwanini tusiwape muda tukaona hiki kipya kabda kinaweza kuwa na value, tofauti na ilivyokuwa hapo mwanzo. Na labda, wmeweka room ya ku revisit mikataba na kuona wai nani anaumia ba nani anamumiza mwenzake. Maelezo ya kabudi, kwenye mkataba mpya kuna kipengee cha ku revisit maraba kila baada ta miajka mitano.
Siping kuwa extra careful,lakini kwanini tusiwape muda kwa hiki cha sasa tukaona na ukashauri baadaye kwa kukosoa waliyoyasifia sasa, kama hayataonyesha mafanikio then.
I understand your position, a naona ni mapema kuanza ku doubt kabla hata plan haijawa excuted.
Leo wallstreet journal wanasema 16% share na watagawana benefits huoni wamekaba kote, licha ya wewe kuoa holes mapema?!
Wape muda.
 
Kwa taarifa yako mapato ya ndani hayatoshi. Tra inakusanya wastani wa trillion 1.3 kwa mwezi hivyo kwa mwaka ni zaidi trillion ya 15. Bajeti ya serikali kwa mwaka ni zaidi ya trillion 30 hivyo kuna nakisi ya zaidi ya trillion 15.

Ili kupata fedha za bajeti zinazopelea serikali hupata misaada ambayo hailipwi na pia kukopa kutoka nchi marafiki na mabenki ya ndani na nje.
Hivyo unasema misaada hatupati?! Au uliposema misaada hailipwi ulimaanisha mikopo?! Hii misaada zinatolewa lini, na ziatumika wapi sasa?!
Wakati wa mkapa alikuwa akisema tulitoka kutegemea budget ya wafadhil 80% hadi yukawa na budget yetu ya 80% wafadhili 20%, wakati huo mikanda ilibanwa, TRA ikaundwa.
Wakati wa kikwete, mambo yalikuwa, bomba wanavyosema, sasa ni lini uchumi umeharibika maana sasa ndio tunaambiwa tuko vizuri tunakaribua kuwa dona contre, lini tumeanza kuyumba?! Misaada inaenda eneogani tusilotumia pato la ndani?!
 
Nakuelewa lakini kwanini tusiwape muda tukaona hiki kipya kabda kinaweza kuwa na value, tofauti na ilivyokuwa hapo mwanzo. Na labda, wmeweka room ya ku revisit mikataba na kuona wai nani anaumia ba nani anamumiza mwenzake. Maelezo ya kabudi, kwenye mkataba mpya kuna kipengee cha ku revisit maraba kila baada ta miajka mitano.
Siping kuwa extra careful,lakini kwanini tusiwape muda kwa hiki cha sasa tukaona na ukashauri baadaye kwa kukosoa waliyoyasifia sasa, kama hayataonyesha mafanikio then.
I understand your position, a naona ni mapema kuanza ku doubt kabla hata plan haijawa excuted.
Leo wallstreet journal wanasema 16% share na watagawana benefits huoni wamekaba kote, licha ya wewe kuoa holes mapema?!
Wape muda.
Nimezungumza kwa kuweka tahadhali si tu kwa sababu hata kwa wenzetu suala la Free Carried Interest limejaa figisu figisu, hata hapa kwetu suala la kampuni za madini ku-declare loss sio jambo la ajabu!!

Sasa CEO anaposema kulikuwa na destruction kwa kampuni na kwahiyo panahitajika kazi ya ziada, hiyo kwangu ni Red Flag kwa serikali isije kesho na kesho kutwa Barrick waka-claim ili kuifanya Twiga isimame, basi mapato yanayopatikana in a given year yawe re-invested ili hatimae wasilipe hiyo 16%!

Mbaya zaidi, hoja ya reinvestment inaweza kuonekana ni rational bila kujua what's behind that reinvestment! Man, 16% si pesa ndogo kwahiyo usitarajie Barrick watakuwa wanaitoa kirahisi rahisi tu!! Kama patakuwa na upenyo wa kutoilipa, trust me, watautumia huo upenyo!!

Kwamba ni mapema kuwa-doubt; HELL NO... don't trust these people!!! Hawa unatakiwa kukaba hadi penalti, na wajue kwamba unajua hawawezi kukudanganya!!!

Na kama nilivyowahi kusema hapo kabla, this's an old wine in a new bottle... Barrick na Acacia ni wale wale, na kabla Acacia hawajaitwa Acacia walikuwa wanaitwa African Barrick Gold (ABG).

In 2014 baada ya kuandamwa sana na scandals, ndipo wakabadili jina kutoka African Barrick Gold na kuwa Acacia, na enzi hizo ABG ilikuwa inaendeshwa moja kwa moja na hawa hawa Barrick Gold, ambao hivi sasa watakuwa wanaendesha Twiga!!

Kwahiyo, manufaa kwa serikali wala hayatatokana na Barrick kuwa malaika kwa sababu hawana huo umalaika bali yatatokana na serikali wenyewe kuwakazia... na muhimu zaidi, wawakilishi wake ndani ya Twiga wanatakiwa kuwa watu waadilifu kweli kweli na wenye weledi wa kutosha!!

Kuhusu ku-revisit mikataba... binafsi nimepitia ile mabadiliko ya sheria ya madini ya mwaka 2017! Inawezekana sikuwa makini lakini sikuona kipengele cha ku-revisit mikataba!! Hata hivyo, ni Sheria ya Madini ya mwaka 2010 ndiyo ina kipengele cha ku-revisit Sheria ya Madini (sio mikataba) kila baada ya miaka 5!

Ni hiyo sheria ndiyo ilimpa Magu nguvu kupitia upya sheria ya madini mwaka 2017 kwa sababu hiyo sheria ya madini ya 2010 ilianza kufanya kazi 2012, na 5 years later, ndiyo 2017 ambayo Magu nae akaitumia! Na hapo ndipo akapata nafasi ya kupandisha mrabaha kutoka 4% & 5% to 6%, kufuta TMAA, introduction of 1% Clearance Fee, na mabadiliko mengine.
 
Nimezungumza kwa kuweka tahadhali si tu kwa sababu hata kwa wenzetu suala la Free Carried Interest limejaa figisu figisu, hata hapa kwetu suala la kampuni za madini ku-declare loss sio jambo la ajabu!!

Sasa CEO anaposema kulikuwa na destruction kwa kampuni na kwahiyo panahitajika kazi ya ziada, hiyo kwangu ni Red Flag kwa serikali isije kesho na kesho kutwa Barrick waka-claim ili kuifanya Twiga isimame, basi mapato yanayopatikana in a given year yawe re-invested ili hatimae wasilipe hiyo 16%!

Mbaya zaidi, hoja ya reinvestment inaweza kuonekana ni rational bila kujua what's behind that reinvestment! Man, 16% si pesa ndogo kwahiyo usitarajie Barrick watakuwa wanaitoa kirahisi rahisi tu!! Kama patakuwa na upenyo wa kutoilipa, trust me, watautumia huo upenyo!!

Kwamba ni mapema kuwa-doubt; HELL NO... don't trust these people!!! Hawa unatakiwa kukaba hadi penalti, na wajue kwamba unajua hawawezi kukudanganya!!!

Na kama nilivyowahi kusema hapo kabla, this's an old wine in a new bottle... Barrick na Acacia ni wale wale, na kabla Acacia hawajaitwa Acacia walikuwa wanaitwa African Barrick Gold (ABG).

In 2014 baada ya kuandamwa sana na scandals, ndipo wakabadili jina kutoka African Barrick Gold na kuwa Acacia, na enzi hizo ABG ilikuwa inaendeshwa moja kwa moja na hawa hawa Barrick Gold, ambao hivi sasa watakuwa wanaendesha Twiga!!

Kwahiyo, manufaa kwa serikali wala hayatatokana na Barrick kuwa malaika kwa sababu hawana huo umalaika bali yatatokana na serikali wenyewe kuwakazia... na muhimu zaidi, wawakilishi wake ndani ya Twiga wanatakiwa kuwa watu waadilifu kweli kweli na wenye weledi wa kutosha!!

Kuhusu ku-revisit mikataba... binafsi nimepitia ile mabadiliko ya sheria ya madini ya mwaka 2017! Inawezekana sikuwa makini lakini sikuona kipengele cha ku-revisit mikataba!! Hata hivyo, ni Sheria ya Madini ya mwaka 2010 ndiyo ina kipengele cha ku-revisit Sheria ya Madini (sio mikataba) kila baada ya miaka 5!

Ni hiyo sheria ndiyo ilimpa Magu nguvu kupitia upya sheria ya madini mwaka 2017 kwa sababu hiyo sheria ya madini ya 2010 ilianza kufanya kazi 2012, na 5 years later, ndiyo 2017 ambayo Magu nae akaitumia! Na hapo ndipo akapata nafasi ya kupandisha mrabaha kutoka 4% & 5% to 6%, kufuta TMAA, introduction of 1% Clearance Fee, na mabadiliko mengine.
Nakuelewa sana, na hawa Barrick Gold Mine waliwahi kudhulumiwa sana, hata na serikali yetu huko nyuma kwa uharibifu wa mazingira. Lakini mengine sikumbuki ila nina jarida la African Science reserch journal limewataja nilisoma zamani kidogo ila walikuwa wakilalamikiwa.
Na kuhusu revisit ya mikataba ni moja ya vitu kabudi alikuwa akitamba wamevifanikisha wao, ingawa umeshalitolea maelezo.
Serikali inaamini watakuwa vizuri, na niwao tu wenye mamlaja na hili, sio bunge wala yeyoteawaye bali wao, hivyo sioni wakifanya tofauti na ilivyo sasa, unachokisema kina make sense, basi nakushauri jivue u anonymous uwe verified user, kisha upeleke mchango wako kwao. Wakikataa basi, lakini utakuwa umejaribu.
Au upeleke mchango wako sasa live kwa Kabudi who seemed to be the key person on all new contracts despite his role as a minister of foreign affairs. Muongee, what you think na labda ata ku enlight what is inside the contracts yote.
Huwa sioni shida why, mawazo yakataliwe unaweza kutoa faida kwa taifa zima kama sio, kwako binafsi kulipwa kwa mawazo yako.
Jaribu, kisha utuletee mrejesho.
 
Back
Top Bottom