Acheni kupotosha alichokuwa amesema Tundu Lissu kuhusu Acacia na MIGA

Acheni kupotosha alichokuwa amesema Tundu Lissu kuhusu Acacia na MIGA

Wafuasi wa Lumumba ama kwa ile kukosa uelewa, au kwa makusudi tu, since Day 1 wamekuwa wakipotosha ambacho Tundu Lissu aliongea kuhusu MIGA! Au wakati mwingine inawezekana ni kutokana na tabia yetu Watanzania ya kutotafuta ukweli!

Binafsi nimekuwa nikilijadili suala la makinikia since Day 1, na kwavile nilikuwa nafuatilia sana nakumbuka vyema nini Tundu Lissu aliongea, na ninamnukuu hapa chini:-
Hiyo ndiyo hoja ya Lissu... kwamba, kama kweli Serikali ya Magufuli ilikusudia kupambana na Acacia, basi walitakiwa kwanza wajitoe kwenye mkataba wa MIGA!

Ushauri sawa na huo wa TL ulikuja tena kutolewa na Dr. Rugemeleza Nshala mbele ya Wabunge walipokuwa wanatafuta maoni ya wadai wakati wa utungwaji wa sheria mpya ya madini.

Gazeti la the Citizen linatujuza😛ia the Citizen wanatukumbusha kwamba, Dr. Nshala ni Mtanzania wa pili kutoa ushauri kama huo huku wa kwanza akiwa ni TL:-Kwa maajabu ya wale waliofuatilia suala la umakini, watu wakapotosha na kudai TL amesema tukipambana na Acacia, watatupeleka MIGA, na huu ndo umekuwa wimbo wa wana-CCM na wafuasi wa serikali!

Busara ya TL kushauri kujitoa MIGA unaweza kuiona kupitia tovuti ya MIGA, hivi ndivyo wanasema:-Hapo wanaongea wazi ni namna gani pamoja na mambo mengine, wana jukumu la kulinda uwekezaji dhidi ya maamuzi ya serikali!

Sasa basi, hoja ya TL ilikuwa ni kwamba, tukishavurugana na Acacia ,watakachofanya wao ni kile ambacho kinafanywa na kampuni zingine... yaani kukimbilia Mahakamani, au MIGA!

Lakini kama kweli umeamua kupambana na hawa jamaa, unachotakiwa ni kuchomoa betri kwa kujitoa MIGA ili wasiwe na kwa kukimbilia zaidi ya kwenda kwenye mahakama zetu wenyewe... yaani mahakama zile zile zinazoamua ma-DED wanastahili kusimamia uchaguzi ambao mmoja wa washiriki ni mwajiriwa wake mwenyewe!!!

Kwa maana nyingine, ukishajitoa MIGA maana yake ni kwamba unakuwa huzitambui mahakama zao! Ni kama United States asivyoitambua International Criminal Court, matokeo yake pamoja na uhalifu wote wa kivita wanaoufanya duniani kote, huwezi kumpeleka Mmarekani ICC .

Maajabu makubwa zaidi ya taifa hili, badala ya kuiangalia hoja ya TL Critically, watu wale wale wanaojiona ndio wazalendo zaidi, wakaona mtu kama TL anastahli kuuawa mara moja... na wafuasi wa CCM na serikali yake wamekuwa wakiirudia kauli hii mara kwa mara!!!!

Je, kumpuuza TL kumetugharimu kama taifa?!

Serikali na watetezi wataendelea kujitekenya wenyewe na kucheka wenyewe lakini ukweli ni kwamba imetugharimu kama taifa!

Sote tumeshuhudia danadana za Acacia... watetezi wa serikali wasichofahamu ni kwamba, danadana zote zile ni kwa sababu walifahamu maji yakiwazidi shingo, wangekimbilia mahakamani ambako katu tusingetoka.

Na kwa Mtanzania yeyote anayekejeli kauli hiyo ya TL, kwa hakika anatakiwa kujitafakari mara mbili... anatakiwa kujitafakari kwa sababu sisi ni victim wa hizi mahakama, hususani kupitia IPTL!

Sote sisi tunakumbuka kushikiliwa kwa Bombardier kwa wiki kadhaa kule Canada kutokana na maamuzi yaliyotolewa na mahakama za aina hii!!

Hivyo basi, ili kujilinda tusipelekwe kwenye mahakama kama hizi ambazo kuchomoka ni nadra sana, ndipo TL akasema ukitaka kupambana na hawa watu, basi jitoe MIGA lakini sio kwamba tukipamba na Acacia, wanatupeleka mahakamani!!!

Je, kwanini Acacia Hawajatupeleka MIGA?

Kwa kifupi ni kwamba, Acacia hawakuwa na sababu ya kutupeleka MIGA kwa sababu serikali imepita njia ambayo ni nafuu maradufu kwa Acacia!

Kuweka kumbukumbu sawa, wakati Profesa Orosso akiwakilisha Ripoti ya Pili, alitoa takwimu ya pesa ambayo serikali ilipoteza kama mapato! Prof. Orosso na timu yake waliweka makadirioo ya kiwango cha chini kabisa ambacho serikali ilipoteza, na kiwango cha juu kabisa!

Tuachane na kiwango cha juu kabisa, Profesa Orosso anatujuza, na ripoti kamili inapatikana tovuti ya Ikulu:-Hicho ndicho kiwango cha chini kabisa... na ukichanganya na adhabu (ya kuchelewesha kulipa kodi), jumla ndo ile figure maarufu ya TRilioni 450!!

Sasa hebu tujiulize... Uchunguzi uliofanywa na akina Prof Mruma na mwenzake Prof Orosso (pamoja na timu ya watu wa TRA), ilionesha Acacia wamekwepa kulipa Sh. 68 kwa miaka 17. Leo hii serikali imekubali kulipwa Sh. 700 Billion... sasa hata kama wewe ndo ungekuwa Acacia, ungeenda MIGA kufanya nini?!

Na kama ilivyo kwa mahakama zingine, kesi za MIGA zinachukua miaka na miaka!! Sasa kwanini ukae miaka yote hayo huku biashara ikiendelea kuathirika kwa kushindwa kusafirisha makinikia?!

Sasa wakati Wafuasi wa CCM na serikali yake wakiendelea kumkejeli TL kwamba mbona hao Acacia hawajaenda MIGA, jibu ndo hilo hapo! Hawajaenda kwa sababu sisi ndio tumeliwa! Tumekubali kuchukua Sh. 700 Billion out of 68 Trillion!!!!

NOTE: Moderator punguzeni kasi ya kuunganisha threads bila sababu za msingi eti kisa tu kuna baadhi ya keywords zinafanana!!! Kuandika haya mambo it takes time... so, it sucks mtu unapoteza saa moja na ushee kuandika thread, unakuja next time, huoni kwa sababu imeunganishwa na thread nyingine!
Tundu Lissu kashindwa kesi yake mweyewe! Hafai kuishauri serikali. Na umaarufu hana tena, just pathetic and useless.
 
Hivyo unasema misaada hatupati?! Au uliposema misaada hailipwi ulimaanisha mikopo?! Hii misaada zinatolewa lini, na ziatumika wapi sasa?!
Wakati wa mkapa alikuwa akisema tulitoka kutegemea budget ya wafadhil 80% hadi yukawa na budget yetu ya 80% wafadhili 20%, wakati huo mikanda ilibanwa, TRA ikaundwa.
Wakati wa kikwete, mambo yalikuwa, bomba wanavyosema, sasa ni lini uchumi umeharibika maana sasa ndio tunaambiwa tuko vizuri tunakaribua kuwa dona contre, lini tumeanza kuyumba?! Misaada inaenda eneogani tusilotumia pato la ndani?!
Sijui nikusaidie vipi. Mfano vyandarua vinavyogawiwa bure hospitali ni msaada hatutalipa, barabara kati ya Tunduma na Sumbawanga iliyojengwa kwa msaada wa Marekani hatutalipa. Lakini ujenzi wa reli ni mkopo tutalipa, ujenzi wa barabara za juu na daraja la Sarenda ni mkopo tutalipa.

Kuhusu utegemezi wa kibajeti bado tunategemea mikopo na misaada kwa zaidi ya 35% na siyo 20% kama unavyosema!
 
Sijui nikusaidie vipi. Mfano vyandarua vinavyogawiwa bure hospitali ni msaada hatutalipa, barabara kati ya Tunduma na Sumbawanga iliyojengwa kwa msaada wa Marekani hatutalipa. Lakini ujenzi wa reli ni mkopo tutalipa, ujenzi wa barabara za juu na daraja la Sarenda ni mkopo tutalipa.

Kuhusu utegemezi wa kibajeti bado tunategemea mikopo na misaada kwa zaidi ya 35% na siyo 20% kama unavyosema!
Hiyo 20% siyo leo ni enzi za mkapa, na nilikuwa natafuta eneo misaada inakokwenda kilasiku tunaambiwa kila kitu ni pesa za makusanyo ya ndani, ndio nikataka kujua ni lini tunakopa na zinaenda wapi hizo za mikopo?!
 
Wafuasi wa Lumumba ama kwa ile kukosa uelewa, au kwa makusudi tu, since Day 1 wamekuwa wakipotosha ambacho Tundu Lissu aliongea kuhusu MIGA! Au wakati mwingine inawezekana ni kutokana na tabia yetu Watanzania ya kutotafuta ukweli!

Binafsi nimekuwa nikilijadili suala la makinikia since Day 1, na kwavile nilikuwa nafuatilia sana nakumbuka vyema nini Tundu Lissu aliongea, na ninamnukuu hapa chini:-
Hiyo ndiyo hoja ya Lissu... kwamba, kama kweli Serikali ya Magufuli ilikusudia kupambana na Acacia, basi walitakiwa kwanza wajitoe kwenye mkataba wa MIGA!

Ushauri sawa na huo wa TL ulikuja tena kutolewa na Dr. Rugemeleza Nshala mbele ya Wabunge walipokuwa wanatafuta maoni ya wadai wakati wa utungwaji wa sheria mpya ya madini.

Gazeti la the Citizen linatujuza😛ia the Citizen wanatukumbusha kwamba, Dr. Nshala ni Mtanzania wa pili kutoa ushauri kama huo huku wa kwanza akiwa ni TL:-Kwa maajabu ya wale waliofuatilia suala la umakini, watu wakapotosha na kudai TL amesema tukipambana na Acacia, watatupeleka MIGA, na huu ndo umekuwa wimbo wa wana-CCM na wafuasi wa serikali!

Busara ya TL kushauri kujitoa MIGA unaweza kuiona kupitia tovuti ya MIGA, hivi ndivyo wanasema:-Hapo wanaongea wazi ni namna gani pamoja na mambo mengine, wana jukumu la kulinda uwekezaji dhidi ya maamuzi ya serikali!

Sasa basi, hoja ya TL ilikuwa ni kwamba, tukishavurugana na Acacia ,watakachofanya wao ni kile ambacho kinafanywa na kampuni zingine... yaani kukimbilia Mahakamani, au MIGA!

Lakini kama kweli umeamua kupambana na hawa jamaa, unachotakiwa ni kuchomoa betri kwa kujitoa MIGA ili wasiwe na kwa kukimbilia zaidi ya kwenda kwenye mahakama zetu wenyewe... yaani mahakama zile zile zinazoamua ma-DED wanastahili kusimamia uchaguzi ambao mmoja wa washiriki ni mwajiriwa wake mwenyewe!!!

Kwa maana nyingine, ukishajitoa MIGA maana yake ni kwamba unakuwa huzitambui mahakama zao! Ni kama United States asivyoitambua International Criminal Court, matokeo yake pamoja na uhalifu wote wa kivita wanaoufanya duniani kote, huwezi kumpeleka Mmarekani ICC .

Maajabu makubwa zaidi ya taifa hili, badala ya kuiangalia hoja ya TL Critically, watu wale wale wanaojiona ndio wazalendo zaidi, wakaona mtu kama TL anastahli kuuawa mara moja... na wafuasi wa CCM na serikali yake wamekuwa wakiirudia kauli hii mara kwa mara!!!!

Je, kumpuuza TL kumetugharimu kama taifa?!

Serikali na watetezi wataendelea kujitekenya wenyewe na kucheka wenyewe lakini ukweli ni kwamba imetugharimu kama taifa!

Sote tumeshuhudia danadana za Acacia... watetezi wa serikali wasichofahamu ni kwamba, danadana zote zile ni kwa sababu walifahamu maji yakiwazidi shingo, wangekimbilia mahakamani ambako katu tusingetoka.

Na kwa Mtanzania yeyote anayekejeli kauli hiyo ya TL, kwa hakika anatakiwa kujitafakari mara mbili... anatakiwa kujitafakari kwa sababu sisi ni victim wa hizi mahakama, hususani kupitia IPTL!

Sote sisi tunakumbuka kushikiliwa kwa Bombardier kwa wiki kadhaa kule Canada kutokana na maamuzi yaliyotolewa na mahakama za aina hii!!

Hivyo basi, ili kujilinda tusipelekwe kwenye mahakama kama hizi ambazo kuchomoka ni nadra sana, ndipo TL akasema ukitaka kupambana na hawa watu, basi jitoe MIGA lakini sio kwamba tukipamba na Acacia, wanatupeleka mahakamani!!!

Je, kwanini Acacia Hawajatupeleka MIGA?

Kwa kifupi ni kwamba, Acacia hawakuwa na sababu ya kutupeleka MIGA kwa sababu serikali imepita njia ambayo ni nafuu maradufu kwa Acacia!

Kuweka kumbukumbu sawa, wakati Profesa Orosso akiwakilisha Ripoti ya Pili, alitoa takwimu ya pesa ambayo serikali ilipoteza kama mapato! Prof. Orosso na timu yake waliweka makadirioo ya kiwango cha chini kabisa ambacho serikali ilipoteza, na kiwango cha juu kabisa!

Tuachane na kiwango cha juu kabisa, Profesa Orosso anatujuza, na ripoti kamili inapatikana tovuti ya Ikulu:-Hicho ndicho kiwango cha chini kabisa... na ukichanganya na adhabu (ya kuchelewesha kulipa kodi), jumla ndo ile figure maarufu ya TRilioni 450!!

Sasa hebu tujiulize... Uchunguzi uliofanywa na akina Prof Mruma na mwenzake Prof Orosso (pamoja na timu ya watu wa TRA), ilionesha Acacia wamekwepa kulipa Sh. 68 kwa miaka 17. Leo hii serikali imekubali kulipwa Sh. 700 Billion... sasa hata kama wewe ndo ungekuwa Acacia, ungeenda MIGA kufanya nini?!

Na kama ilivyo kwa mahakama zingine, kesi za MIGA zinachukua miaka na miaka!! Sasa kwanini ukae miaka yote hayo huku biashara ikiendelea kuathirika kwa kushindwa kusafirisha makinikia?!

Sasa wakati Wafuasi wa CCM na serikali yake wakiendelea kumkejeli TL kwamba mbona hao Acacia hawajaenda MIGA, jibu ndo hilo hapo! Hawajaenda kwa sababu sisi ndio tumeliwa! Tumekubali kuchukua Sh. 700 Billion out of 68 Trillion!!!!

NOTE: Moderator punguzeni kasi ya kuunganisha threads bila sababu za msingi eti kisa tu kuna baadhi ya keywords zinafanana!!! Kuandika haya mambo it takes time... so, it sucks mtu unapoteza saa moja na ushee kuandika thread, unakuja next time, huoni kwa sababu imeunganishwa na thread nyingine!
Mkuu umemaliza... wenye masikio na wasikie... wanatumia uvivu wa kusoma na kufikiri kwa watanzania ili kupotosha ukweli.
Kawaida ya majuha hudhani wote wanaowachekea ni majuha wenzao pasi kujua unaochekwa ni ujuha wao.
 
The key thing is
, u should stop mis informing people to believe untruth to be true.
Now you're talking... can you highlight that untruth thing from my thread?!
 
Mkuu umemaliza... wenye masikio na wasikie... wanatumia uvivu wa kusoma na kufikiri kwa watanzania ili kupotosha ukweli.
Kawaida ya majuha hudhani wote wanaowachekea ni majuha wenzao pasi kujua unaochekwa ni ujuha wao.
Na hilo la uvivu wa kusoma ndo tatizo kweli kweli! Hata hapa, ni rahisi sana kugundua nani ame-comment kabla ya kusoma! Yaani watu thread ikizidi maneno 300 tu, hawawezi kusoma lakini cha ajabu utakuta wana-comment! Yaani mtu ana-comment kwa kusoma heading badala ya content!
 
Hiyo 20% siyo leo ni enzi za mkapa, na nilikuwa natafuta eneo misaada inakokwenda kilasiku tunaambiwa kila kitu ni pesa za makusanyo ya ndani, ndio nikataka kujua ni lini tunakopa na zinaenda wapi hizo za mikopo?!
Na ninataka kufuatilia nikipata hiyo nafasi manake I doubt kama hata huo wakati wa Mkapa tulikuwa tunaweza ku-finance budget yetu kwa hiyo 80%! Nakumbuka moja ya mambo ambayo Mzee wa Msoga alikuwa akijitapa ni kupunguza pengo la utegemezi wa bajeti! Na kwa kumbukumbu zangu, hadi Mkapa anatoka madarakani, at least 40% ya bajeti yetu ilikuwa donor funded, but don't quote me... I'll confirm it next time!
 
Nakuelewa sana, na hawa Barrick Gold Mine waliwahi kudhulumiwa sana, hata na serikali yetu huko nyuma kwa uharibifu wa mazingira. Lakini mengine sikumbuki ila nina jarida la African Science reserch journal limewataja nilisoma zamani kidogo ila walikuwa wakilalamikiwa.
Na kuhusu revisit ya mikataba ni moja ya vitu kabudi alikuwa akitamba wamevifanikisha wao, ingawa umeshalitolea maelezo.
Serikali inaamini watakuwa vizuri, na niwao tu wenye mamlaja na hili, sio bunge wala yeyoteawaye bali wao, hivyo sioni wakifanya tofauti na ilivyo sasa, unachokisema kina make sense, basi nakushauri jivue u anonymous uwe verified user, kisha upeleke mchango wako kwao. Wakikataa basi, lakini utakuwa umejaribu.
Au upeleke mchango wako sasa live kwa Kabudi who seemed to be the key person on all new contracts despite his role as a minister of foreign affairs. Muongee, what you think na labda ata ku enlight what is inside the contracts yote.
Huwa sioni shida why, mawazo yakataliwe unaweza kutoa faida kwa taifa zima kama sio, kwako binafsi kulipwa kwa mawazo yako.
Jaribu, kisha utuletee mrejesho.
Noted....
 
Wafuasi wa Lumumba ama kwa ile kukosa uelewa, au kwa makusudi tu, since Day 1 wamekuwa wakipotosha ambacho Tundu Lissu aliongea kuhusu MIGA! Au wakati mwingine inawezekana ni kutokana na tabia yetu Watanzania ya kutotafuta ukweli!

Binafsi nimekuwa nikilijadili suala la makinikia since Day 1, na kwavile nilikuwa nafuatilia sana nakumbuka vyema nini Tundu Lissu aliongea, na ninamnukuu hapa chini:-
Hiyo ndiyo hoja ya Lissu... kwamba, kama kweli Serikali ya Magufuli ilikusudia kupambana na Acacia, basi walitakiwa kwanza wajitoe kwenye mkataba wa MIGA!

Ushauri sawa na huo wa TL ulikuja tena kutolewa na Dr. Rugemeleza Nshala mbele ya Wabunge walipokuwa wanatafuta maoni ya wadai wakati wa utungwaji wa sheria mpya ya madini.

Gazeti la the Citizen linatujuza😛ia the Citizen wanatukumbusha kwamba, Dr. Nshala ni Mtanzania wa pili kutoa ushauri kama huo huku wa kwanza akiwa ni TL:-Kwa maajabu ya wale waliofuatilia suala la umakini, watu wakapotosha na kudai TL amesema tukipambana na Acacia, watatupeleka MIGA, na huu ndo umekuwa wimbo wa wana-CCM na wafuasi wa serikali!

Busara ya TL kushauri kujitoa MIGA unaweza kuiona kupitia tovuti ya MIGA, hivi ndivyo wanasema:-Hapo wanaongea wazi ni namna gani pamoja na mambo mengine, wana jukumu la kulinda uwekezaji dhidi ya maamuzi ya serikali!

Sasa basi, hoja ya TL ilikuwa ni kwamba, tukishavurugana na Acacia ,watakachofanya wao ni kile ambacho kinafanywa na kampuni zingine... yaani kukimbilia Mahakamani, au MIGA!

Lakini kama kweli umeamua kupambana na hawa jamaa, unachotakiwa ni kuchomoa betri kwa kujitoa MIGA ili wasiwe na kwa kukimbilia zaidi ya kwenda kwenye mahakama zetu wenyewe... yaani mahakama zile zile zinazoamua ma-DED wanastahili kusimamia uchaguzi ambao mmoja wa washiriki ni mwajiriwa wake mwenyewe!!!

Kwa maana nyingine, ukishajitoa MIGA maana yake ni kwamba unakuwa huzitambui mahakama zao! Ni kama United States asivyoitambua International Criminal Court, matokeo yake pamoja na uhalifu wote wa kivita wanaoufanya duniani kote, huwezi kumpeleka Mmarekani ICC .

Maajabu makubwa zaidi ya taifa hili, badala ya kuiangalia hoja ya TL Critically, watu wale wale wanaojiona ndio wazalendo zaidi, wakaona mtu kama TL anastahli kuuawa mara moja... na wafuasi wa CCM na serikali yake wamekuwa wakiirudia kauli hii mara kwa mara!!!!

Je, kumpuuza TL kumetugharimu kama taifa?!

Serikali na watetezi wataendelea kujitekenya wenyewe na kucheka wenyewe lakini ukweli ni kwamba imetugharimu kama taifa!

Sote tumeshuhudia danadana za Acacia... watetezi wa serikali wasichofahamu ni kwamba, danadana zote zile ni kwa sababu walifahamu maji yakiwazidi shingo, wangekimbilia mahakamani ambako katu tusingetoka.

Na kwa Mtanzania yeyote anayekejeli kauli hiyo ya TL, kwa hakika anatakiwa kujitafakari mara mbili... anatakiwa kujitafakari kwa sababu sisi ni victim wa hizi mahakama, hususani kupitia IPTL!

Sote sisi tunakumbuka kushikiliwa kwa Bombardier kwa wiki kadhaa kule Canada kutokana na maamuzi yaliyotolewa na mahakama za aina hii!!

Hivyo basi, ili kujilinda tusipelekwe kwenye mahakama kama hizi ambazo kuchomoka ni nadra sana, ndipo TL akasema ukitaka kupambana na hawa watu, basi jitoe MIGA lakini sio kwamba tukipamba na Acacia, wanatupeleka mahakamani!!!

Je, kwanini Acacia Hawajatupeleka MIGA?

Kwa kifupi ni kwamba, Acacia hawakuwa na sababu ya kutupeleka MIGA kwa sababu serikali imepita njia ambayo ni nafuu maradufu kwa Acacia!

Kuweka kumbukumbu sawa, wakati Profesa Orosso akiwakilisha Ripoti ya Pili, alitoa takwimu ya pesa ambayo serikali ilipoteza kama mapato! Prof. Orosso na timu yake waliweka makadirioo ya kiwango cha chini kabisa ambacho serikali ilipoteza, na kiwango cha juu kabisa!

Tuachane na kiwango cha juu kabisa, Profesa Orosso anatujuza, na ripoti kamili inapatikana tovuti ya Ikulu:-Hicho ndicho kiwango cha chini kabisa... na ukichanganya na adhabu (ya kuchelewesha kulipa kodi), jumla ndo ile figure maarufu ya TRilioni 450!!

Sasa hebu tujiulize... Uchunguzi uliofanywa na akina Prof Mruma na mwenzake Prof Orosso (pamoja na timu ya watu wa TRA), ilionesha Acacia wamekwepa kulipa Sh. 68 kwa miaka 17. Leo hii serikali imekubali kulipwa Sh. 700 Billion... sasa hata kama wewe ndo ungekuwa Acacia, ungeenda MIGA kufanya nini?!

Na kama ilivyo kwa mahakama zingine, kesi za MIGA zinachukua miaka na miaka!! Sasa kwanini ukae miaka yote hayo huku biashara ikiendelea kuathirika kwa kushindwa kusafirisha makinikia?!

Sasa wakati Wafuasi wa CCM na serikali yake wakiendelea kumkejeli TL kwamba mbona hao Acacia hawajaenda MIGA, jibu ndo hilo hapo! Hawajaenda kwa sababu sisi ndio tumeliwa! Tumekubali kuchukua Sh. 700 Billion out of 68 Trillion!!!!

NOTE: Moderator punguzeni kasi ya kuunganisha threads bila sababu za msingi eti kisa tu kuna baadhi ya keywords zinafanana!!! Kuandika haya mambo it takes time... so, it sucks mtu unapoteza saa moja na ushee kuandika thread, unakuja next time, huoni kwa sababu imeunganishwa na thread nyingine!
Mkeka umechanika mkuu, Hakuna MIGA wala MEGA sasa ipo kampuni inaitwa TWIGA na 16% ya share na 50 by 50 iko njiani.

Endeleeni kumuuguza mgonjwa wenu aliyetoroka hospitali.
 
Mimi kinachonitia hofu sio kinachoripotiwa na media bali kinachosemwa na wenyewe Barrick! Kwa mfano, ukisoma Ripoti Rasmi kutoka Barrick Gold, kuna sehemu wanamnukuu Mark Bristow, ambae ndie President & CEO wa Barrick kwa sasa! Bristow anasema:-Kauli hiyo ya CEO wa Barrick ni ya kuiogpa kama ukoma kwa sababu inaonesha wazi kwamba anawaandaa kisaikolojia Wafanya Maamuzi!

Hapo serikali wasipokuwa makini, ile 16% lazima Barrick waifanyie figisu figisu kwa sababu, mapato ya 16% yetu yatatokana na Gawio/Dividends!

Na ni utaratibu wa kawaida kwa kampuni yoyote ile kwamba, kampuni italipa dividends pale tu kampuni inapotengeneza faida! Lakini kutengeneza faida haitoshi, bali kampuni pia iwe imesimama vizuri!

Kampuni iliyopata 3 years value destruction kama ambavyo Barrick wanataka kutuaminisha ni kampuni inayotakiwa ku-recover kutoka kwenye hiyo destruction!!

Kampuni inayojaribu ku-recover itakuwa na uwezekano mdogo sana wa kutengeneza faida, na kwahiyo pia ina uwezekano mdogo sana wa kulipa dividends... hivi ndivyo Barrick wanachojaribu kutueleza!!

Lakini katika ku-recover, hata kama unapata faida si busara kutumia faida hiyo bali busara ya kibishara ni kutumia faida hiyo kufanya re-investment ili kampuni isimame sawasawa!!

Kwa mara nyingine,ni kama Barrick wanajaribu kutueleza kwamba, kampuni inayofanya re-investment ya faida yake na yenyewe ni ngumu sana kulipa dividends!!!

Sasa serikali wasipokuwa makini na hiyo timu yao ya wawakilishi kwenye kampuni ya Twiga, basi watarajie mwisho wa mwaka balance sheet ya Twiga Company itakuwa inasoma mapato ni madogo sana kuweza kulipa dividends, na kama yapo basi imeonekana ni busara ku-reinvest ili mnyama Twiga asimame sawasawa!!!!

Na hapa tukumbushane hili suala la Free-carried share linawasumbua nchi nyingi tu walio-adapt hii kitu! Anglophone countries kwa mfano, wao wanaita Free-Carried Interest (FCI), na wengi wanakumbana na figisu figisu za kutolipwa hiyo FCI.
Mkuu Chige,kwa hili naomba nikiri hata mimi sikuwa nimeelewa.
Mungu akubariki kwa kutuelewesha.
 
Mh. Magufuli,kama unapitia huu uzi,tafadhali mteue huyu mleta uzi awe "mshauri huru" wako mkuu.
 
Mkeka ukichanika umechanika...hela ya mhindi hua hairudi.
Mnajaribu kuokoa jahazi ila ukweli Tundu Lissu alikua na chuki iliyopitiliza kiasi kwamba alitamani nchi inyimwe misaada.
Uteuzi hautafutwi kwa kujitoa ufahamu namuna hiyo japo mteuaji ni Kichaa lakini Hapa atashituka maana atagundua wewe ni Kichaa zaidi yake.
 
True... ila kwenye makanikia alikuwa anawatetea wazungu na alimudu sana.
Nasikia katika makubaliano yao-makinikia yataruhusiwa kusafirishwa na hiyo smelter siyo issue tena. Hii ina maanisha tumerudi pale pale.
 
Na hilo la uvivu wa kusoma ndo tatizo kweli kweli! Hata hapa, ni rahisi sana kugundua nani ame-comment kabla ya kusoma! Yaani watu thread ikizidi maneno 300 tu, hawawezi kusoma lakini cha ajabu utakuta wana-comment! Yaani mtu ana-comment kwa kusoma heading badala ya content!
Huo ndio ukweli. Pia wakati mwingine wanasubiri kibajaji na chakubanga ndio wawaambie wajibu nini!!!
 
Mkeka umechanika mkuu, Hakuna MIGA wala MEGA sasa ipo kampuni inaitwa TWIGA na 16% ya share na 50 by 50 iko njiani.

Endeleeni kumuuguza mgonjwa wenu aliyetoroka hospitali.
The problem hata ukiulizwa how does 16% as well as hiyo 50/50 work, hujui...so, it kind of sucks ku-argue na mtu wa aina yako!! Kwangu ni kawaida tu kujadili hata na wale known Lumumba Kindakindaki kama watakuwa na hoja, na sio watu aina yako mnaotumia staili za akina Mwajuma Ndala Ndefu!
 
Nakuelewa lakini kwanini tusiwape muda tukaona hiki kipya kabda kinaweza kuwa na value, tofauti na ilivyokuwa hapo mwanzo. Na labda, wmeweka room ya ku revisit mikataba na kuona wai nani anaumia ba nani anamumiza mwenzake. Maelezo ya kabudi, kwenye mkataba mpya kuna kipengee cha ku revisit maraba kila baada ta miajka mitano.
Siping kuwa extra careful,lakini kwanini tusiwape muda kwa hiki cha sasa tukaona na ukashauri baadaye kwa kukosoa waliyoyasifia sasa, kama hayataonyesha mafanikio then.
I understand your position, a naona ni mapema kuanza ku doubt kabla hata plan haijawa excuted.
Leo wallstreet journal wanasema 16% share na watagawana benefits huoni wamekaba kote, licha ya wewe kuoa holes mapema?!
Wape muda.
Suala la msingi siyo kutoa muda, suala la msingi ni kila mtanzania mwenye uelewa kuleta hoja mezani ili kwanza watanzania wengi zaidi waelewe na kushiriki kwa upana zaidi kutoa michango yao. Pili wale wanaoshiriki katika maamuzi waweze kujielimisha zaidi na zaidi ili waweze kutoa maamuzi sahihi kwa wakati sahihi. tumejifunza nini kwa kukamata yale makinikia? mapaka hivi sasa serikali ni kama inachezeshwa unyago na Barrick.
 
Back
Top Bottom