Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wajieleza kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, kwanini Maalim Seif (ACT) alimuombea kura Tundu Lissu (CHADEMA)

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wajieleza kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, kwanini Maalim Seif (ACT) alimuombea kura Tundu Lissu (CHADEMA)

Jibu kingereza basi Mimi nimeandika kingereza

Ok kwa kiingereza "YOU HAVE MANAGED TO EXHIBIT HOW STUPID YOU ARE ON THE ISSUE."
You will never comprehend the argument. I wish you had displayed a glimpse of understanding and not rhetoric.
FB_IMG_1600952378168.jpg
 
Wahenga walisema lolote linawezekana chini ya jua. Kama ni hivyo natafakari na kujiuliza itatokea nini mara ghafla Tundu Lissu akiwa jukwaani akabadili gia angani na kusema "John Joseph Pombe Magufuli anatosha" na baada ya tamko hilo akamuunga mkono JPM.

Je, Msajili wa Vyama vya Siasa atafoka?

Nauliza tu maana lolote lawezekana chini ya jua!
 
Mwenyekiti wa ACT bado ni mwananchi wa kawaida ana haki ya kuwa na maoni binafsi ya kisiasa.

Sasa Mkurugenzi awaachie ACT wenyewe waamue kama Mwenyekiti wao amekikosea chama au la, Lakini siyo kazi ya msajili kuzuia mwananchi kutoa maoni ya kisiasa.

Hivi ni lini Mrema amewahi kuandika barua kwa msajili kumjulisha kuwa TLP itaiunga mkono CCM kwenye uchaguzi huu?

Na ni lini na kwenye kikao gani kumewahi kuwepo kukubaliana kuhusu coalition kati ya TLP na CCM kwa mujibu wa sheria mpya ya vyama vya siasa?

Mbona Mrema na chama chake wanamuunga mkono Magufuli na Msajili hajawahi kuiandikia barua TLP kuhusu hilo?

Nchi hi inatawaliwa na majuha ya CCM na Jiwe wao. Anzia kule NEC, njoo kwa MSAJILI WA VYAMA, njoo TAKUKURU Ni uoza na uvundo mtupu.

Nataka Msajili atuambie NDOA ILIYOKO KATI YA CCM&TLP ilifungwa lini na kwa sheria ipi ya Coalition.
Watz tunajua MREMA ni TLP lakini ni Mwenyekiti ya Parole Tanzania kwa kuteuliwa na Rais Magufuli(CCM)! Kama hakuna USHIRIKIANO huo basi Magufuli atengue uteuzi wa Mrema kuanzia leo na CCM. wachukuliwe hatua.

Ushauri kwa Msajili: Maoni ya chama kimoja kuhusu Chama kingine juu ya kushinda Urais, Ubunge au Udiwani haiwezi kuwa ni ushirikiano wa moja kwa moja.
Kwenye kupiga kura Kuna mtu wa TLP atapiga kura ya Mbunge kwa Mrema lakini ya Urais atapiga kwa Magufuli! Kosa liko wapi hapo?
Likewise MWANACHAMA wa ACT Wazalendo atapiga kura ya Ubunge kwa mgombea wa ACT lakini ya Rais atampigia Tundu Lissu....kosa liko wapi??
Naomba Msajili, NEC na CCM msitake kuwavuruga Watz. Acheni watu wapige kura kwa Utashi wao....msilaximishe ushindi kwa CCM!
 
Walichoandika sio utetezi ni kukubali kosa na kuongeza kosa lingine .Kura ndio huamua nani atashinda !! Sio imani!!! Eti tunaamini Lisu atashinda!! Sababu ya umati unaojaa mikutano yake ya kampeni!! Aisee !!!!!!

Jamani hizi ofisi za vyama havina watu makini

Yaani barua wanaandika kwa msajili ya kumnadi Lisu serious? Mgombea wao Membe waliyemchagua wenyewe kupitia vikao halali vya chama wamempeleka wapi kwa kikao kipi ? kama wamemuondoa ugombea na Ku mu replace na Lisu kikao gani cha vyama cha kikatiba kiliamua hayo?

Msajili hiyo barua ni ushahidi tosha hata clip ukiitupa jalalani haina shida hiyo barua ni official letter Ku confirm kuwa wao wana mnadi Lisu bila idhini ya kamati kuu ,mkutano mkuu wao wala taarifa ya kumuengua Membe kutoka Tume ya uchaguzi

Hiyo barua ni ushahidi tosha wa jinsi Act inavyoendeshwa kienyeji
Maelezo hayo yanatakiwa tu kufanyiwa uamuzi wamekiri na ni kama wanasema come what may!!

Uandishi huo wa barua ni uswahilini hasa
wewe fala umetiwa nini? kakojoe ukalale.
 
Wewe na Jaji nani anaijua zaidi sheria hiyo?
Huyo jaji Mitungi?! Usikariri mkuu, sio kila mzungu ni Padre.

Angekuwa anaijua sheria wala asinge jihangaisha kuandika huo upupu kwenda ACT, kwa maana kifungu anacho nukuu hata hakihusiani na tuhuma anazo waelekezea.
 
😁😁,huyo msajili ni mwendawazimu!Anatumika kwa maslahi binafsi badala ya kutumikia umma!
Shwain kabisa!
 
Tunaomba Msajili wa Vyama vya Siasa aje atuambie hiyo sheria anayoitetea ya vyama kutoshirikiana inamhusu Nani,Lini na wapi.
Rais Magufuli Kama Mwenyekiti wa CCM na Mkuu wa nchi amewahi kuteua Viongozi wengi kwa kuwapa vyeo toka Upinzani. Je, Hilo ni kosa? Kama ni kosa kulingana na sheria ya Msajili basi tunaomba awaandikie CCM na Mwenyekiti wao Magufuli atengue teuzi hizi:

1. Augustine Lyatonga Mrema(TLP)...Mwenyekiti Parole.
2. Dr. W.P. Slaa(CHADEMA)....Balozi Sweden.
3. Anna Mghwira(ACT Wazalendo)....RC/Kilimanjaro.
4. Kitila Mkumbo(ACT Wazalendo)...KM- Wizara ya Maji.

Hawa wote ni Wanachama wa vyama vingine lakini wamepewa teuzi na Serikali ya CCM.

Maana yake hakuna kosa lolote kwa Chama kimoja kuona Mwanachama wa Chama kingine anafaa kwene nafasi fulani iwe Ni ya Urais, Ubunge, Udiwani, Ubalozi, Ukatibu Mkuu, Ukuu Mkoa& Wilaya.

Kwa hiyo ACT Wazalendo wanaposema watapiga kura ya Urais wa JMT kwa Tundu Lissu au TLP wanaposema watapiga kura ya Urais kwa Magufuli hakuna kosa lolote.

Kila Chama kinaangalia upepo na nguvu ya Mgombea wa Chama fulani anavyokubalika.

Huwezi kuwazuia Wanachama wa Chama A kumpigia kura mgombea wa Chama B kwa kisingizio Cha sheria MFU inayoxuia Chama A&B kupigiana kura kwa hofu tu ya kuilinda CCM!!
 
Huyo msajili ni kapi tu linalotumika kwa maslahi ya CCM!
Its a Shame kuwa msajili ni Jaji mstaafu!Mazee mengine yangepumzishwa tu huko yakalishe ng'ombe!
 
Huyo msajili ni kapi tu linalotumika kwa maslahi ya CCM!
Shame!

Inasikitisha kuona CCM na Magufuli wameweka sheria za kihuni ili kujihakikishia ushindi fake wa goli la mkono.
Safari hii CCM, NEC,MSAJILI na Magufuli wao wakifanya mchezo Mama Bensouda wa ICC wanawasubiri kwa hamu. All eyes on Tanzania for the GE~2020.
 
U-CCM unawaharibu sana wataalamu wetu. Maana ukisikia hoja na kauli zao utabaki tu kushangaa huyu alienda shule kusomea ujinga?!
 
Ccm waoga sana wamepiga siasa miaka 5 wenzao walikuwa kimya wanashinda mahakamani miezi miwili wapinzani wameamsha ccm wanajiharishia hovyo
 
Tunaomba Msajili wa Vyama vya Siasa aje atuambie hiyo sheria anayoitetea ya vyama kutoshirikiana inamhusu Nani,Lini na wapi.
Rais Magufuli Kama Mwenyekiti wa CCM na Mkuu wa nchi amewahi kuteua Viongozi wengi kwa kuwapa vyeo toka Upinzani. Je, Hilo ni kosa? Kama ni kosa kulingana na sheria ya Msajili basi tunaomba awaandikie CCM na Mwenyekiti wao Magufuli atengue teuzi hizi:
1. Augustine Lyatonga Mrema(TLP)...Mwenyekiti Parole.
2. Dr. W.P. Slaa(CHADEMA)....Balozi Sweden.
3. Anna Mghwira(ACT Wazalendo)....RC/Kilimanjaro.
4. Kitila Mkumbo(ACT Wazalendo)...KM- Wizara ya Maji.
Hawa wote ni Wanachama wa vyama vingine lakini wamepewa teuzi na Serikali ya CCM.
Maana yake hakuna kosa lolote kwa Chama kimoja kuona Mwanachama wa Chama kingine anafaa kwene nafasi fulani iwe Ni ya Urais, Ubunge, Udiwani, Ubalozi, Ukatibu Mkuu, Ukuu Mkoa& Wilaya.
Kwa hiyo ACT Wazalendo wanaposema watapiga kura ya Urais wa JMT kwa Tundu Lissu au TLP wanaposema watapiga kura ya Urais kwa Magufuli hakuna kosa lolote.
Kila Chama kinaangalia upepo na nguvu ya Mgombea wa Chama fulani anavyokubalika.
Huwezi kuwazuia Wanachama wa Chama A kumpigia kura mgombea wa Chama B kwa kisingizio Cha sheria MFU inayoxuia Chama A&B kupigiana kura kwa hofu tu ya kuilinda CCM!!
Ushirikiano wa vyama unawezekana wakati wote kwani mgombea akifa wanafanya nini? Si anateuliwa mwingine uchaguzi unaendelea?
 
Ushirikiano wa vyama unawezekana wakati wote kwani mgombea akifa wanafanya nini? Si anateuliwa mwingine uchaguzi unaendelea?

Huyu Msajili anatumiwa na CCM kama karatasi ya chooni tu. Otherwise Hana hoja!
 
Walichoandika sio utetezi ni kukubali kosa na kuongeza kosa lingine .Kura ndio huamua nani atashinda !! Sio imani!!! Eti tunaamini Lisu atashinda!! Sababu ya umati unaojaa mikutano yake ya kampeni!! Aisee !!!!!!

Jamani hizi ofisi za vyama havina watu makini

Yaani barua wanaandika kwa msajili ya kumnadi Lisu serious? Mgombea wao Membe waliyemchagua wenyewe kupitia vikao halali vya chama wamempeleka wapi kwa kikao kipi ? kama wamemuondoa ugombea na Ku mu replace na Lisu kikao gani cha vyama cha kikatiba kiliamua hayo?

Msajili hiyo barua ni ushahidi tosha hata clip ukiitupa jalalani haina shida hiyo barua ni official letter Ku confirm kuwa wao wana mnadi Lisu bila idhini ya kamati kuu ,mkutano mkuu wao wala taarifa ya kumuengua Membe kutoka Tume ya uchaguzi

Hiyo barua ni ushahidi tosha wa jinsi Act inavyoendeshwa kienyeji
Maelezo hayo yanatakiwa tu kufanyiwa uamuzi wamekiri na ni kama wanasema come what may!!

Uandishi huo wa barua ni uswahilini hasa
Uharamu wake ni upo sasa kisheria
 
Back
Top Bottom