Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wajieleza kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, kwanini Maalim Seif (ACT) alimuombea kura Tundu Lissu (CHADEMA)

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wajieleza kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, kwanini Maalim Seif (ACT) alimuombea kura Tundu Lissu (CHADEMA)

INAONYESHA KAMA MSAJILI ANATAFUTA NAMNA YA JAMBO FULANI LAKINI ANAKOSA CHANZO SAHIHI KITAKACHOWEZA KU KNOCK OUT
Lowassa: Mimi sina mashaka juu ya kushinda, mashaka yangu atapita kwa kura ngapi. Huko kwa kina Lissu wameanza kujipambanua sana, maneno mengi, fujo zile, wanaonekana kwenye mamitaa, matv, matv mengine yanatisha tisha lakini tulimwambia Rais wetu usitishike hata kidogo.

Hii kauli ya Lowasa inafikirisha sana juu ya Hatma ya Magufuli
 
Lowassa: Mimi sina mashaka juu ya kushinda, mashaka yangu atapita kwa kura ngapi. Huko kwa kina Lissu wameanza kujipambanua sana, maneno mengi, fujo zile, wanaonekana kwenye mamitaa, matv, matv mengine yanatisha tisha lakini tulimwambia Rais wetu usitishike hata kidogo.

Hii kauli ya Lowasa inafikirisha sana juu ya Hatma ya Magufuli
indeed truly infact nywele zaa binadamu zinaficha mengi mno nikimaanisha hata marehemu sheikh yahaya aliwahi sema kutambua reality ya mwanadamu ni kitu kigumu mno mno mno
 
Mwenyekiti wa ACT bado ni mwananchi wa kawaida ana haki ya kuwa na maoni binafsi ya kisiasa.

Sasa Mkurugenzi awaachie ACT wenyewe waamue kama Mwenyekiti wao amekikosea chama au la, Lakini siyo kazi ya msajili kuzuia mwananchi kutoa maoni ya kisiasa.

Hivi ni lini Mrema amewahi kuandika barua kwa msajili kumjulisha kuwa TLP itaiunga mkono CCM kwenye uchaguzi huu?

Na ni lini na kwenye kikao gani kumewahi kuwepo kukubaliana kuhusu coalition kati ya TLP na CCM kwa mujibu wa sheria mpya ya vyama vya siasa?

Mbona Mrema na chama chake wanamuunga mkono Magufuli na Msajili hajawahi kuiandikia barua TLP kuhusu hilo?
Yaani nimekielewa vzr mno mkuu

1. Kwamba mwenyekiti wa ACT aweza kuwa na matakwa binafsi yasiyowakilisha chama.

2. Aweza kumchagua yeyote. Ndio
3. Kuwa hakuna kikao cha ACT kimewahi kutangaza kuwa na umoja au kuungana na CDM . Safiii

4. Issue ina kuja kujibu barua ambayo sasa ni ya kiofisi. Na imethibitisha pasipo shaka kuwa wao hawana shaka na TL kuwa mshindi.
Kwanini wasingejibu inshort kuwa hawajaungana na clip hiyo ni maoni binafsi ya aliyeyasema?
 
Daah! Mstari umebeba maneno mazito na yenye kubeba matumaini ya watu.
Mwandishi kapiga kampeni hadi kwenye barua ya msajili, msajili inabidi atulie sana kuijibu la sivyo atazidi kuumbuliwa tu.
 
Mwandishi kapiga kampeni hadi kwenye barua ya msajili, msajili inabidi atulie sana kuijibu la sivyo atazidi kuumbuliwa tu.
Hawa tume wanazidi kumdhoofisha jiwe kwa kuendelea kuwakandamiza wagombea wa upinzani
 
Mbona UDP n TLP waliongea kuunga mkono ccm na Hawajaambiwa barua wala nini kwa nini wakiunga wengine kuna mda tume inaonyesha dhahiri ipo upande gan na kwa nini waogope vyama kuungana mpaka wanatunga sheria kweli Haki haipotei inachelewa tu. Na Tume wasipokuwa Makini ndio chanzo cha yatakayotokea mbele watu wamechoka na ujinga
 
Walichoandika sio utetezi ni kukubali kosa na kuongeza kosa lingine .Kura ndio huamua nani atashinda !! Sio imani!!! Eti tunaamini LisSu atashinda!! Sababu ya umati unaojaa mikutano yake ya kampeni!! Aisee !!!!!!

Jamani hizi ofisi za vyama havina watu makini

Yaani barua wanaandika kwa msajili ya kumnadi Lisu serious? Mgombea wao Membe waliyemchagua wenyewe kupitia vikao halali vya chama wamempeleka wapi kwa kikao kipi ? kama wamemuondoa ugombea na Ku mu replace na Lisu kikao gani cha vyama cha kikatiba kiliamua hayo?

Msajili hiyo barua ni ushahidi tosha hata clip ukiitupa jalalani haina shida hiyo barua ni official letter Ku confirm kuwa wao wana mnadi Lisu bila idhini ya kamati kuu ,mkutano mkuu wao wala taarifa ya kumuengua Membe kutoka Tume ya uchaguzi

Hiyo barua ni ushahidi tosha wa jinsi Act inavyoendeshwa kienyeji
Maelezo hayo yanatakiwa tu kufanyiwa uamuzi wamekiri na ni kama wanasema come what may!!

Uandishi huo wa barua ni uswahilini hasa

Usikariri ukiwa CCM utamchagua CCM hata mwalimu Nyerere alikataa alichosema Sharif sio kauli yachama nikauliyake anamuunga mkono lisu iwapo uchaguzi utafanyika inamaana kura ya maalim anampa lisu kosa lipowapi kura nimali yake ameamua kutokahadharani kuisemea angesema anampa jiwe kungekuwa shwari hakunatangazo hata tamshi tumeungana
MSAJILI WATANZANIA TUNAUPENDA UMOJA NDIO NGUZO YETU
LAKINI WEWE UNAONEKANA UNAPENDA MGAWANYIKO
kama unakipenda chama fulani toka kwenye ofice panda jukwaani uvae nasare yahicho chama
 
Mbona UDP n TLP waliongea kuunga mkono ccm na Hawajaambiwa barua wala nini kwa nini wakiunga wengine kuna mda tume inaonyesha dhahiri ipo upande gan na kwa nini waogope vyama kuungana mpaka wanatunga sheria kweli Haki haipotei inachelewa tu. Na Tume wasipokuwa Makini ndio chanzo cha yatakayotokea mbele watu wamechoka na ujinga
Kwani UDP na TLP wamesimamisha wagombea urais?! Au hata kuchuja mambo tu mnashindwa?
 
indeed truly infact nywele zaa binadamu zinaficha mengi mno nikimaanisha hata marehemu sheikh yahaya aliwahi sema kutambua reality ya mwanadamu ni kitu kigumu mno mno mno
Lowasa anatamani angekuwa kwenye mtiti wa Lissu....too late too little
 
Anavyoamini ushirikina huyo si ajabu yuko kwa mganga kwa chanjo zaidi na HIRIZI mpya maana hii ya sasa haifanyi kazi. 😂😂😂

Hivi Jiwe yuko wapi?? Naona Wateule wake wako buzy kutafuta namna ya kumfariji.
 
Si mna bebru wenu Amsterdam ana wawakilisha?
Lowassa: Mimi sina mashaka juu ya kushinda, mashaka yangu atapita kwa kura ngapi. Huko kwa kina Lissu wameanza kujipambanua sana, maneno mengi, fujo zile, wanaonekana kwenye mamitaa, matv, matv mengine yanatisha tisha lakini tulimwambia Rais wetu usitishike hata kidogo.

Hii kauli ya Lowasa inafikirisha juu ya hatma ya Magufuli. Amejaribu kuwapa moyo wenzake leo lakini Lissu is a victor.
 
Kwahiyo Maalim amemkataa Membe kwakuwa Membe si Muoslam na anamkubali Lissu kwa kuwa Lissu si Muislam pia?.

Hata kama ulitaka walau utafute hoja ya Udini,katika mazingira haya hata kama wewe ni mbumbumbu ungeona hoja hii haiwezekani kwa vyovyote.

Maalim ni Mwenyekiti wa ACT, ni Muisilam, Zitto ni kiongozi mkuu wa ACT ni Muislam, Membe ni mgombea wa ACT, ni mkristo, Lissu ni mgombea wa CHADEMA ni mkristo, Mbowe ni mwenyekiti wa CHADEMA ni mkristo. Sasa inawezekana vipi Maalim (Muislam) amkatae Membe mgombea wa ACT (Mkristo) ambaye ni mgombea wa ACT chama ambacho viongozi wa kuu ni Waislam( Akiwemo Maalim mwenyewe) Alafu amkubali Lissu (Mkristo) Mgombea wa CHADEMA kwa hoja ya kuubeba Uislaam?.
Seif kaingia ACT Wazalendo juzi tuu asaiv ana nguvu kupita zito amemkataa membe kisa udini na anazuga kum support lisu hatutaki watu wa dini sisi tuta mchagua mwinyi na Magufuli tuu
 
Back
Top Bottom