Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Habari ndio hiyo.tujiandae Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Chadema Bwana Tundu Lissu kuungwa mkono na vyama vingine vya upinzani.
View attachment 1577025
Haina shida kwasababu waliopo Twitter si wote wapo JF mkuu.Breaking news ya masaaa 16 yaliyopita? Utakuwa ulilala chini ya mwamba wewe
BalaaaaWeuweeeee
Ni jambo jema, Upande wa pili itawauma kweli walitaraji kura zigawanywe,Habari ndio hiyo.tujiandae Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Chadema Bwana Tundu Lissu kuungwa mkono na vyama vingine vya upinzani.
View attachment 1577025
Hii inaitwa jaza ujazweNi jambo jema, Upande wa pili itawauma kweli walitaraji kura zigawanywe,
Maombi yako yamepokelewa.Nimeshiriki figisu figusu za uchaguzi mkuu kuanzia mwaka 2000 hadi 2010, sikuwahi kupiga kura.
Lakini mwaka huu, nikijaaliwa afya njema nitampigia Lissu, siwezi kuishi na mateso haya ya Magufuli kwa miaka 5 mingine. Eeh mwenyezi Mungu nisaidie.
Unamaanisha Ben yupi, marehemu mzee Mkapa, Ben Sanane au Kachero aliye busy kupanga Baraza la Mawaziri la Tundu Lissu.Ben aombe msamaha arudi nyumbani
Mnafanya kampeni za nini?Upinzani ulishakufa tangu 2015 kililichobaki ni futuhi.
Inaenda kuandikwa ya upinzani kuangukia pua kuliko wakati wowote katika history ya nchi hii.Hadi sasa nilichogundua ni kuwa ACT na Chadema wana strategist ambao ni over extra smart. Ni dhahiri sasa CHADEMA NA ACT wamewaoutsmart CCM.
Mwaka huu Historia Kuu inaenda kuandikwa Tanzania.
Tundu Antiphas Lissu Raisi Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025
Maalim Seif Raisi wa Zanzibar 2020- 2025.
Thubutu yenuInaenda kuandikwa ya upinzani kuangukia pua kuliko wakati wowote katika history ya nchi hii.
Fuatilia vzr, utaelewa tuuUnamaanisha Ben yupi, marehemu mzee Mkapa, Ben Sanane au Kachero aliye busy kupanga Baraza la Mawaziri la Tundu Lissu.
Ni vema wakapakiwa watu wazima ambao kisheria ni wapiga kura. Picha nyingi za mikutano huwaonesha na watoto wadogo. Jana mh Magufuli Tabora walikuwepo na wanafunzi. Shule zilifungwa!Hizi ndio kampeni za kisayansi sasa sio zile za kupakia watu kwenye malori na kuwakemea wapiga kura
Upinzani ulishakufa tangu 2015 kililichobaki ni futuhi.
Day dreaming?Upinzani ulishakufa tangu 2015 kililichobaki ni futuhi.
Dogo 75% ya wanaccm hawakufurahishwa na alichofanyiwa membe, kinana makamba.
Kama una akili utanielewa