Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Tujadili kwa hoja ndugu zangu, tuache matusi na zaidi sana tusiwabeze viongozi kwa kuwatamkia maneno mabaya.

Binafsi sijapenda kabisa kudhalilishwa kwa maumbile ya mgombea kwani hii inaamsha hasira na kufanya watu waandike mambo yasiyoandikika.

Tuwapigie debe wagombea wetu bila kudhalilisha wagombea wengine
Safi kwa uungwana
 
Mambo hadharani. Kura za ACT Wazalendo zote sasa kwa Tundu Lissu baada ya mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif kutamka rasmi kumuunga mkono...
Wote hao ni wakushindwa tu hakuna hata mmoja atashinda uchaguzi ila wanaruhusiwa kujifariji.
 
Hivi mna habari kwamba jina lake bado litakuwepo kwenye orodha ya wagombea?

Hata kama amejiondoa kimya kimya, bado kuna watu watampigia kura, labda aje sasa hadharani atamke kuwa amejitoa, vinginevyo kuna kura ataharibu
Tayari hiyo taarifa ni official, na kutokana na sheria za uchaguzi za sasa hii ndio njia pekee tu ya kuwapiga chenga NEC, kwenye karatasi ya kura lazima jina la membe liwepo tu, ila muda bado ni mrefu sana, kuwaelimisha wananchi kuwa sasa ACT, wazalendo, wamejiunga na CDM, muungano wa hiari tu, kura za membe apewe lisu!!!
 
Back
Top Bottom