Wewe nawe peleka bangi zako za kuvutia chooni, jinsia gani kwani maana wadada wanapenda sana kusutana?Wewe ni zaidi ya chizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nawe peleka bangi zako za kuvutia chooni, jinsia gani kwani maana wadada wanapenda sana kusutana?Wewe ni zaidi ya chizi
Hahaa nimeona sehemu nyingi sana. Watu wanaogopa kuionesha lakini mawazo na akili zoa ziko kwa Lissu.Mkuu nimeongea na jamaa zangu ambao wako CCM wanasema kuwa mwambieni Lissu kura atazikimbia mwenyewe😂
Wanajifanya kumkenulia jiwe ila wamekuwa ni Mchwa hataree
Mmempiga risasi mkitaka afe na mazishi mkayaandaa Mungu kagoma bado hamuoni ni muujiza mnamkejeli kwamba ni kilema je alitoka tumboni me mama yake vile?Upuuzi mtupu.
Ndo nmeahamua kutompa mwenyekiti wa ccm kura yangu na familia yangu piaCCM hatuna mazuzu kama wewe!
Upuuzi mtupu.Mmempiga risasi mkitaka afe na mazishi mkayaandaa Mungu kagoma bado hamuoni ni muujiza mnamkejeli kwamba ni kilema je alitoka tumboni me mama yake vile?
God vs CCM who would win? Subirini mapigo.
EU ya chato. Ingekuwa ingi wa wahuhiriaji wa mikutano haina impact kulikia hakuna haja ya kubeba watu kwa malori, mikokoteni na kifunga vyuo na shule kila anapopita yule mzee wa fungu la kukosaHuko ni kujilisha upepo/kujifariji.
Tatizo kubwa ni kwamba, watu hawafanyi utafiti wa kina kuhusu wagombea. Wao watumia kigezo cha watu wanaofika kwenye mikutano ya Kampeni...
Ila yanafaa Sana kudhibiti "Chama Cha Mauaji" - ccmMaamuzi ya ajabu kabisa haya
Mambo hadharani. Kura za ACT Wazalendo zote sasa kwa Tundu Lissu baada ya mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif kutamka rasmi kumuunga mkono...
Hii kashifa itawatesa sana wanaccm mpaka makaburini kwaoMmempiga risasi mkitaka afe na mazishi mkayaandaa Mungu kagoma bado hamuoni ni muujiza mnamkejeli kwamba ni kilema je alitoka tumboni me mama yake vile?
God vs CCM who would win? Subirini mapigo.
Sasa Membe kaleta upinzani wa kweli. Huu ndio upinzani tulikuwa tunataka sio ule ukinyimwa kugombea unajitoa. Upinzani wa Dr Slaa na Lipumba. Walipigania haki kwa muda mrefu lakini ilipokaribia kupatikana wakasaliti kati kubwa waliikwisha ifanaya kwa maslahi yao binafsi.
Sasa imani yangu inarejea kwa huyu kachero.
Let us expect huge things to happen very soon.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hata kipande cha kura huna!!Ndo nmeahamua kutompa mwenyekiti wa ccm kura yangu na familia yangu pia
Mbona Kama wapo kigamboni! Tayari! Ahaaa...!, jiwe anaweza pasua betriWanapasha mazoezi kidogo hapo bahari ya hindi 😂😂😂😂😂!! Dadeki CCM mtajua hamjui mwaka huu
View attachment 1576601
Siku mama yako akipatilizwa na CCM utakuja hapa kuomba msamaha shukuru baba yako mzazi alitangulia mbele ya haki.Upuuzi mtupu.
Lissu asipumzike Mchakamchaka huo huo kuna wanaccm watajiweka wazi wiki ya mwishoHahaa nimeona sehemu nyingi sana. Watu wanaogopa kuionesha lakini mawazo na akili zoa ziko kwa Lissu.
Upuuzi mtupu.Siku mama yako akipatilizwa na CCM utakuja hapa kuomba msamaha shukuru baba yako mzazi alitangulia mbele ya haki.
Mungu amewatia upofu CCM hawaioni mbele hawalioni anguko.Hii kashifa itawatesa sana wanaccm mpaka makaburini kwao
Shukuru sana Mungu yakuwa wewe U mkamilifu, huna kilema chochote ndio maana unapata kiburi cha kuandika haya...Atajinyea yeye kwanza na kale kamguu kake.
Upuuzi mtupu.Shukuru sana Mungu yakuwa wewe U mkamilifu, huna kilema chochote ndio maana unapata kiburi cha kuandika haya...