fdizzle
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,902
- 2,396
Pitia hapoHapa mimi nazungumzia kabla ya kuchukuliwa sukari yao, kwa nini wasipelekwe mahakamani ili mahakama ikatoe tafsiri iwapo kuna sheria inayomkataza mtu kuhifadhi sukari kwa kiwango anachohitaji, au kuitumia kadiri anavyotaka?