Huyu jamaa kaacha maswali mengi ukichukulia ni mtu wa Arusha kule inakotoka CHADEMA.
Alikuwa na nia ya kuchafua tamasha la CCM ? Maana sasa tamasha halijadiliwi, linajadiliwa tukio hilo tu?
Kwa nini baada ya tukio alisifiwa sana na makada wa CHADEMA?
Kabisa. Huo msemo mbona hata mimi huwa naambiwa na sijui hata bangi inafananajeMatope,
Reaction ya Adamu haikuwa sahihi kwa namna ambavyo tukio lilikuwa likionyeshwa katika media nyingi tena moja kwa moja,naungana na wewe kusema kwamba Adamu ndio kajishushia heshima kwa kitendo kile huku Mbasha akionyesha ukomavu kwa kujikausha.
Sijui aliambiwa nini sekunde za mwisho ambacho hatukukisikia kwa maana ile 'unajua wewe bangi sana',ni msemo wa kawaida ambao hata tusio tumia huambiwa na naamini Adamu anaujua vizuri.
Adamu kajiharibia sana,kuna deals naamini zitamkimbia kwa ile tabia ya ajabu mbele ya kadamnasi,Mbasha nae inabidi akue na kuacha shobo zisizo na msingi(naamini Frola alimkimbia kwa mengi sana tusiyoyajua).
Kwani mmetetemeshwa ?Yaani aibu sana, chadema sehemu mbalimbali nchini wameanza kutumia kiashiria cha ngwala kwamba katika uchaguzi watawapiga ngwala CCM kama mbasha alivyopigwa na Mchomvu
Polepole alishindwa tu kumalizia kwa kusema uhuru kuna jambo la kupigana mitamaTuliposikia kuwa Uhuru kuna jambo ikabidi tuwatengenezee hilo jambo
Mchomvu bangi Sana sijui ccm awakuliona Hilo, mjini bado unawaza kupigana haya Mambo ya kupigana ufanywa na uncivilized and uneducated
Mwl Nyerere hakutaka kuunajisi mwili wakeHata Mwl Nyerere (RIP) alikuwa hazivai . Na hakuzivaa hata siku moja
Hana sijui ameajiriwa vipiMchomvu hata shule sidhani kama anayo.
He he he! Ngwaji alitafuna kondoo? Huyu huyu mgombea wa Kawe?Kwa nini asilaumiwe yule shost aliyemchokoza? Wacheni kuisingizia Chadema kila mnapoharibikiwa. Yule fala ndiyo maana ngwaji alikuwa anamtafunia mkewe
Clouds hawaangaliii wasomi wanaangalia wahuni, uhuni ndio kibali cha kuajiriwa clouds Au utoe hongo Ya ngonoHana sijui ameajiriwa vipi
Mshamba ni yule aliyemwita mwenzake Bangi kwani kiuhalisia toka moyoni mbasha ni ccm damu lakini Adam siyo ccm damu kaamua tu kuvaa shati la ccm kizushiBoonge la USHAMBA kwa wote wawili ![emoji849]
Hii ndiyo hutoa mamlaka mbasha amwite mwenzake Bangi? kwani mbasha yeye siyo muhuni?Clouds hawaangaliii wasomi wanaangalia wahuni, uhuni ndio kibali cha kuajiriwa clouds Au utoe hongo Ya ngono
Ccm ijiandae kukatwa mtama na watz Safari hii, Nani achague njaa 5 yrs againPolepole alishindwa tu kumalizia kwa kusema uhuru kuna jambo la kupigana mitama
Mkuu Kwa hiyo wewe unakubali kuwa kuna Jambo la aibu limetokea ila utaona sio kitu, ile ni aibu kubwa Mkuu, ni Aibu Ya Karine na kuna Jambo la MUNGU hapo ni ishara kuwa MUNGU hana Baraka na udhalimu unaofanywa Ndugu na huenda kukaja kutokea Jambo baya zaid na kupelekea hali ikabadilika watu wakaachwa midomo wazi, Mkuu MUNGU anambinu zake zakuwwadhibu watu wanaojificha kwenye pesa na kwenye bunduki za umma
Tunamzungumzia Adam aliyekula katafunua Mbasha akiwa na Manguo ya Kishetani ya Rangi ya YangaMbona Jonijooo hakuvaaaaa
Mbona B dozen hakuvaaa?