Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Huyu jamaa kaacha maswali mengi ukichukulia ni mtu wa Arusha kule inakotoka CHADEMA.
Alikuwa na nia ya kuchafua tamasha la CCM ? Maana sasa tamasha halijadiliwi, linajadiliwa tukio hilo tu?
Kwa nini baada ya tukio alisifiwa sana na makada wa CHADEMA?
Ccm ndio wajilaumu kwa kulazimisha kupendwa, mpaka wamejikuta wanaanza kampeni mapema.