Adam Mchomvu, Fetty na B12 watupiana maneno mazito studio huku wakiwa hewani

yani mnaamini? That was a stunt haina ukweli. .hahahaha maigizo yale.
Ndio maana hata wamechagua mwisho wa kipindi ili wawaachie gumzo!

Wamewateka hahaha!
 
Guys

Napata hapa habari zisizothibitishwa kwamba kuna watangazaji wa Clouds Radios wamepigana Live studioni huku Microphone zikiwa on
 

Sasa kwanini walisubiri mda wa kipindi ufike ka sio dili?

Si tutajuaje ka we sio mhusika?
Tutajuaje ka mlikua hamuangushi na kubamiza viti ili tujue mko serious?!

Ivi kweli mpigane kazini kwa maslai yenu afu mkurugenzi awaache tu! Hiyo kazi mmepewa kishaji?
 
kanituma baba ako?
Mkuu, mbona unatumia nguvu kukanusha habari hii? Umesikiliza sms za wasikilizaji zinazotumwa kwenye kipindi cha Jahazi muda huu? Mbona waliopo studio hawakanushi, ila wewe ndio unakanusha kwa kutolea mfano matukio kama hayo ktk stations nyingine? Au wewe ndio uliyedundwa?
 
yani mnaamini? That was a stunt haina ukweli. .hahahaha maigizo yale.
Ndio maana hata wamechagua mwisho wa kipindi ili wawaachie gumzo!

Wamewateka hahaha!

Wewe umelogwa, hujui ukweli na uongo!
 
Habari hii ni ya ukweli, na CD hizo hatununui!
 
Ni kweli imetokea mkuu.

Hii ni aibu ya aina yake kwa Clouds Media.
 

Hilo ni dili watuibiwe kwa kutuuzia hizo cd wewe.

Waambie waonyeshe video wakitoka manundu na madamu tuamini.
 
Elimu Za Kuungaunga Na Degree Za Kikuda!

Log out!
 
wameanza kutaniana kuhusu cd za fiesta, basi ukaingia ugomvi wakaanza kutukanana huku wapo on air.
source: Mimi mwenyewe

Mwenye kujua zaidi atuhabarishe

We mwenyewe ndi umeleta huu uzi why unatuuliza sie.
 
Kweli hii promo imefanikiwa kwa watu wasio fikiria washaamini.
 
Hivi sasa mitambo imezimwa na ngumi zimeanza upya! Anayebisha a.tune 88.5 FM Dar
 
yani mnaamini? That was a stunt haina ukweli. .hahahaha maigizo yale.
Ndio maana hata wamechagua mwisho wa kipindi ili wawaachie gumzo!

Wamewateka hahaha!

Kweli wajinga hawaishi mkuu....yaani siamini kama wameamini yale maigizo. Inaonekana wengi hawaijui vizuri clouds. Hongera kwa kulijua hilo kaka....ni maigizo tu yale, hata kwa akili ya kawaida tu unaelewa.
 
yani mnaamini? That was a stunt haina ukweli. .hahahaha maigizo yale.
Ndio maana hata wamechagua mwisho wa kipindi ili wawaachie gumzo!

Aft eti wakajidai wamesahau kuzima mic.

Wamewateka hahaha!

acheni usanii mnazuga tu hapa!mkikosea mkoselewe!
 

iyo nguvu au swali?

Ukishindwa kuelewa mambo madogo, makubwa hutoweza kabisa.
 
Hivi sasa mitambo imezimwa na ngumi zimeanza upya! Anayebisha a.tune 88.5 FM Dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…