adam amesema awezikuzungumza adimkewake amruhusu.kumbe ameoa!!ckujua bfo.
Haaa jamaa kaoa!! Kwani na watu wa namna hii hua nao wanaoa? Kuna mwingine taarifa zimeenea humu jf kua ataolewa na pedejhee hivi karibuni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
adam amesema awezikuzungumza adimkewake amruhusu.kumbe ameoa!!ckujua bfo.
LILE TUKIO SIO LA KWELI.
INGAWA LILITOKEA KWELI KWA MAANA YA "LIVE"
NI ILIKUA SEHEM YA KUTENGENEZA KICK ILI WAUZE ALBAM YAO YA PAMOJA.
LKN PIA, WANAJIANDAA KWENDA LIKIZO SO KILICHOTOKEA PALE ZILE DK 5 LILIKUA NI TUKIO LA KUTENGENEZWA ILI KUTENGENEZA PESA..
MATUKIO YA NAMNA ILE YAMESHAWAI KUTOKEA KTK VITUO KADHAA VYA HABARI NA BURUDANAI KM HOT 97 FM, KISS FM, 365 the power. Nk.
So ieleweke halikua Tukio la kweli.
Nyie wote mnaoanzisha hizi mada mpo clouds na ndo mlikua mnabamiza meza.
acheni utoto wenu nyie.
Haya sio maigizo ni real...View attachment 168695
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Me nilirecord nitailusha soon as possiible
Yanayoashiria tukio ni lakuigiza :-kuongelewa na Gea/leo tena confotably, kuletwa kwa clip ya audio (na tusishangae tukaambiwa ipo video au cctv ya tukio), ugomvi wa vijana usio na maneno makali, ie sipati picha ni kwa vipi Fetty aliye "loose it" asiseme Adam acha useng.e., wote wapo kwenye mfungo/mwezi mtukufu.
ama! kumbe dj fetty jina lake ni fatuma?
koh! kho! kho! kho!
ama! kumbe dj fetty jina lake ni fatuma?
koh! kho! kho! kho!
nimesikiliza ile clip sidhani kama ilikua utani walipandishiana haswa
na kama ilikua wanaigiza how comes leo kina Raymond ndo watangaze.. halafu na Adam anavyopost huko insta
ni kweli kabisa ila wanazuga kama utani but its true!