Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Yesu hajawahi kuchinja mtu katika uhai wake duniani!Husipende kupotosha na kupindisha ukweli kama Shetani Ibilisi! Ni wazi Yesu aliongea kwa kutumia mifano na illustrations. Katika Luka 19:12-27 Yesu aliongea hiyo story kwa mfano siyo uhalisi.

Soma kuanzia Luka:19.12-13
Basi akasema, Mtu mmoja, kabaila, alisafiri kwenda nchi ya mbali, ili ajipatie ufalme na kurudi.13 Akaita watu kumi katika watumwa wake, akawapa mafungu kumi ya fedha, akawaambia, Fanyeni biashara hata nitakapokuja.

Ukisoma kuanzia Luka 19:12 na 13 inaonyesha huyo kabaila alikuwa ana fedha, watumwa na alikwenda kujipatia ufalme. Yesu hajawahi kuwa na mapesa ya kugawa, kuwa na watumwa wala kuchukua mtu yeyote kulinga na Luka 19:27.

Luka:19.27
Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.

[emoji115]
Hayo hayamaanishi kwamba Yesu ndiye aliyechinja ila anazungumza kwa kutumia mfano wa huyo kabaila, kwamba kama ukishindwa kwa kutokufanya kazi ili kuongeza utajiri wa ufalme wa bwana, basi watumwa watakuwa ndiyo losers.
Mfano huo unalenga Mitume ambao wanategemea kuwa watawala na Yesu katika Ufalme wa Mungu. Kwa kutokufanya kazi ili kuongeza utajiri wa ufalme wa bwana, watumwa watakuwa ndiyo losers. Mitume wa Yesu walikuwa wanategemea ufalme wa Mungu chini ya uongozi wa Yesu. Hivyo kama hawafanyi bidii hawatokuwa na mahala pao katika ufalme.
Huyu jamaa umeamua tu kuyokuelewa na kuamini alichokaririshwa na akina Mazinde, wako hivyo, sasa alitakiwa atofautishe maelezo ayapokeayo manzese kwenye mihadhara ya "takbiriiii" na humu. Watu hatuziamini hizi eti kwakuwa wazazi wamesema, tumechimba na kujiridhisha. Na kwetu hizi imani si uislamu na ukristu tu, tunaitafuta kweli popote hadi kwa mabudha huko.
 
Yesu hajawahi kuchinja mtu katika uhai wake duniani!Husipende kupotosha na kupindisha ukweli kama Shetani Ibilisi! Ni wazi Yesu aliongea kwa kutumia mifano na illustrations. Katika Luka 19:12-27 Yesu aliongea hiyo story kwa mfano siyo uhalisi.

Soma kuanzia Luka:19.12-13
Basi akasema, Mtu mmoja, kabaila, alisafiri kwenda nchi ya mbali, ili ajipatie ufalme na kurudi.13 Akaita watu kumi katika watumwa wake, akawapa mafungu kumi ya fedha, akawaambia, Fanyeni biashara hata nitakapokuja.

Ukisoma kuanzia Luka 19:12 na 13 inaonyesha huyo kabaila alikuwa ana fedha, watumwa na alikwenda kujipatia ufalme. Yesu hajawahi kuwa na mapesa ya kugawa, kuwa na watumwa wala kuchukua mtu yeyote kulingana na Luka 19:27.

Luka:19.27
Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.

[emoji115]
Hayo hayamaanishi kwamba Yesu ndiye aliyechinja ila anazungumza kwa kutumia mfano wa huyo kabaila, kwamba kama ukishindwa kwa kutokufanya kazi ili kuongeza utajiri wa ufalme wa bwana, basi watumwa watakuwa ndiyo losers.
Mfano huo unalenga Mitume ambao wanategemea kuwa watawala na Yesu katika Ufalme wa Mungu. Kwa kutokufanya kazi ili kuongeza utajiri wa ufalme wa bwana, watumwa watakuwa ndiyo losers. Mitume wa Yesu walikuwa wanategemea ufalme wa Mungu chini ya uongozi wa Yesu. Hivyo kama hawafanyi bidii hawatokuwa na mahala pao katika ufalme.
Siyo kweli. Haikuwa kwa mfano....acheni mahaba.
 
Yesu hajawahi kuchinja mtu katika uhai wake duniani!Husipende kupotosha na kupindisha ukweli kama Shetani Ibilisi! Ni wazi Yesu aliongea kwa kutumia mifano na illustrations. Katika Luka 19:12-27 Yesu aliongea hiyo story kwa mfano siyo uhalisi.

Soma kuanzia Luka:19.12-13
Basi akasema, Mtu mmoja, kabaila, alisafiri kwenda nchi ya mbali, ili ajipatie ufalme na kurudi.13 Akaita watu kumi katika watumwa wake, akawapa mafungu kumi ya fedha, akawaambia, Fanyeni biashara hata nitakapokuja.

Ukisoma kuanzia Luka 19:12 na 13 inaonyesha huyo kabaila alikuwa ana fedha, watumwa na alikwenda kujipatia ufalme. Yesu hajawahi kuwa na mapesa ya kugawa, kuwa na watumwa wala kuchukua mtu yeyote kulingana na Luka 19:27.

Luka:19.27
Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.

[emoji115]
Hayo hayamaanishi kwamba Yesu ndiye aliyechinja ila anazungumza kwa kutumia mfano wa huyo kabaila, kwamba kama ukishindwa kwa kutokufanya kazi ili kuongeza utajiri wa ufalme wa bwana, basi watumwa watakuwa ndiyo losers.
Mfano huo unalenga Mitume ambao wanategemea kuwa watawala na Yesu katika Ufalme wa Mungu. Kwa kutokufanya kazi ili kuongeza utajiri wa ufalme wa bwana, watumwa watakuwa ndiyo losers. Mitume wa Yesu walikuwa wanategemea ufalme wa Mungu chini ya uongozi wa Yesu. Hivyo kama hawafanyi bidii hawatokuwa na mahala pao katika ufalme.
Yesu katika mstari huo wa 27 baada ya kumaliza kusema hayo akaelekea Yerusalem. Unajua huko Yerusalem alikwenda kufanya nini?
 
Mim siku zote nabaki na maswali... Hivi kama Mungu ameshaweka wanaotenda zambi watapata adhabu ya moto.. Na wale wema watakwenda paradise...

Sasa inakuwaje ameweka mawakala hapa duniani wa kutekeleza hukumu za kijinga kabisa...
Na kama huyo Mungu angekuwa ni wa hukumu hizo, ameshindwa nini kumchinja shetani hata kabla ya bila zake kusambaa? Kwanini atuachie sisi dhambi ya kuua wahalifu wakati yeye hakuwafanyia hivyo? Mungu kumjua yataka bidii sana, wengi wanapotea kwa kukosa tu maarifa.
 
Yesu hajawahi kuchinja mtu katika uhai wake duniani!Husipende kupotosha na kupindisha ukweli kama Shetani Ibilisi! Ni wazi Yesu aliongea kwa kutumia mifano na illustrations. Katika Luka 19:12-27 Yesu aliongea hiyo story kwa mfano siyo uhalisi.

Soma kuanzia Luka:19.12-13
Basi akasema, Mtu mmoja, kabaila, alisafiri kwenda nchi ya mbali, ili ajipatie ufalme na kurudi.13 Akaita watu kumi katika watumwa wake, akawapa mafungu kumi ya fedha, akawaambia, Fanyeni biashara hata nitakapokuja.

Ukisoma kuanzia Luka 19:12 na 13 inaonyesha huyo kabaila alikuwa ana fedha, watumwa na alikwenda kujipatia ufalme. Yesu hajawahi kuwa na mapesa ya kugawa, kuwa na watumwa wala kuchukua mtu yeyote kulingana na Luka 19:27.

Luka:19.27
Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.

[emoji115]
Hayo hayamaanishi kwamba Yesu ndiye aliyechinja ila anazungumza kwa kutumia mfano wa huyo kabaila, kwamba kama ukishindwa kwa kutokufanya kazi ili kuongeza utajiri wa ufalme wa bwana, basi watumwa watakuwa ndiyo losers.
Mfano huo unalenga Mitume ambao wanategemea kuwa watawala na Yesu katika Ufalme wa Mungu. Kwa kutokufanya kazi ili kuongeza utajiri wa ufalme wa bwana, watumwa watakuwa ndiyo losers. Mitume wa Yesu walikuwa wanategemea ufalme wa Mungu chini ya uongozi wa Yesu. Hivyo kama hawafanyi bidii hawatokuwa na mahala pao katika ufalme.
Acha kukimbia andiko wewe.
 
Ubinadamu ni upi? Ni kumwacha muuaji atambe mitaani?
Na msagaji je... Anastahili kufa kifo hicho??? Anaetoka kwenye uislamu anapaswa kufa kifo hicho?? Anaebudu Mungu asiyekuwa Allah.. Anastahili kufa pia.

Ndio maana tukasema haya mambo yana contradiction... Kuna aya zinazungumia adhabu ya moto kwa walw waovu wote.. Sasa kama mnawahukumu duniani sasa huko mbele ya haki kwa ajili gani???

Unatumia mambo ya kufikirika kutoa hukumu kwa watu kwa kudai Mungu kasema, ulikuwepo????
Unaweza kuthibitisha Mungu alisema???
 
Huyu jamaa umeamua tu kuyokuelewa na kuamini alichokaririshwa na akina Mazinde, wako hivyo, sasa alitakiwa atofautishe maelezo ayapokeayo manzese kwenye mihadhara ya "takbiriiii" na humu. Watu hatuziamini hizi eti kwakuwa wazazi wamesema, tumechimba na kujiridhisha. Na kwetu hizi imani si uislamu na ukristu tu, tunaitafuta kweli popote hadi kwa mabudha huko.
Siyo kwamba aelewi ukweli ila tatizo lake ni upofu na ugumu wa moyo wake.
Shetani anamuendesha ndiyo maana nuru haioni.
 
Na kama huyo Mungu angekuwa ni wa hukumu hizo, ameshindwa nini kumchinja shetani hata kabla ya bila zake kusambaa? Kwanini atuachie sisi dhambi ya kuua wahalifu wakati yeye hakuwafanyia hivyo? Mungu kumjua yataka bidii sana, wengi wanapotea kwa kukosa tu maarifa.
Ndio ujiulize sasa maana shetani mwenyewe ni rafiki wa roho mtakatifu....
Roho mtakatifu alishirikiana na Ibilisi kule nyikani kumjaribu Yesu. Sasa utajiuliza roho mtakatifu alipompeleka Yesu akajaribiwe na Ibilisi wakati Ibilisi akimjaribu Yesu yeye roho mtakatifu alikuwa pembeni anaangalia au alimtelekeza huko? Kuna uhusiano gani kati ya roho mtakatifu na ibilisi?
 
Sijapotea ila wewe unaleta uhuni badala kujibu, ata sisi tunaujua uhuni kama you want it that way. So be it!
Basi biblia ndio ina uhuni maana mimi nime quote maandiko kutoka kwenye biblia. Ila watu wanakataa mfano upanga ulioletwa na Yesu wanasema si upanga....na Yesu aliamuru watu wanaompinga wachinjwe mbele yake watu wanakataa. Basi kumbe biblia ina uhuni maana imeandika maandiko lakini kumbe hainaanishi hivyo!!! Ni uhuni mkubwa sana.....
 
Imekuingia nilipomtaja Allah na Muhammad??
Kumbe!!! Afadhali umekubali kwamba Yesu atawachinja Muhammad na Allah!!! Kumbe mlikuwa mnakataa nini sasa....si umeona kumbe YESU naye ni chinja-chinja....kwa mujibu wa maelezo yako.
 
Basi biblia ndio ina uhuni maana mimi nime quote maandiko kutoka kwenye biblia. Ila watu wanakataa mfano upanga ulioletwa na Yesu wanasema si upanga....na Yesu aliamuru watu wanaompinga wachinjwe mbele yake watu wanakataa. Basi kumbe biblia ina uhuni maana imeandika maandiko lakini kumbe hainaanishi hivyo!!! Ni uhuni mkubwa sana.....
Mungu wa Biblia hakuficha kitu ndiyo maana kila jambo lipo, mpaka uhuni wa Allah na Muhammad upo umeandikwa ili tujue mbinu zao za upinga Kristo.
 
Kumbe!!! Afadhali umekubali kwamba Yesu atawachinja Muhammad na Allah!!! Kumbe mlikuwa mnakataa nini sasa....si umeona kumbe YESU naye ni chinja-chinja....kwa mujibu wa maelezo yako.
Yesu atawaukumu allah shetani na kibaraka wake Muhammad kama kwa kupigwa viboko mpaka kufa au kuchinjwa au kuunguzwa moto sisi siyo kazi yetu kujua.
It will be pay back time!!
 
Kwani tusi unavyojua wewe ni nini? Unapowaambia wenzako wanaongozwa na shetani we unaona ni neno zuri?

Halafu hata Yesu hakujiita Mungu ila leo kuna watu wanamuita Mungu,unafikiri yatakuwa mafundisho ya nani hayo kama sio shetani?
Labda ile dini inayosema kuna majini mazuri na mabaya na yanaswali pamoja.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom