Admin wa Mashujaa FC yuko ni mbunifu kuliko Maadmin wa Social Media zote za michezo nchini, tumpe maua yake

Admin wa Mashujaa FC yuko ni mbunifu kuliko Maadmin wa Social Media zote za michezo nchini, tumpe maua yake

Sasa hapo una pata haki kutoka kampuni fulani.
Kisha una tambulisha bidhaa mpya kupitia jina lao.
Kwakuwa wao ni wakongwe, una kuwa una wagaia ki percentage.

Nina wazo la bidhaa nyingi, na zita fanya vizuri Sana sokoni. Tresor Mandala
Ngoja kwanza nitulie Mkuu maana nauguza mzee wangu hapo JKCI kiasi kwamba sijatulia kbs nimesimamisha mishe zote
 
Ngoja kwanza nitulie Mkuu maana nauguza mzee wangu hapo JKCI kiasi kwamba sijatulia kbs nimesimamisha mishe zote
Pole sana mkubwa, Natumai mzee ata rejea hali ya kawaida.

ila sisi Ngozi nyeusi ili tutoboe Ina tupasa tufikirie na kutenda Mara 10 ya wahindi na waarabu wa hapa bongo.

Hats off to them, Wana tutwanga kwenye elimu mpaka ujuzi was vitu.
 
Pole sana mkubwa, Natumai mzee ata rejea hali ya kawaida.

ila sisi Ngozi nyeusi ili tutoboe Ina tupasa tufikirie na kutenda Mara 10 ya wahindi na waarabu wa hapa bongo.

Hats off to them, Wana tutwanga kwenye elimu mpaka ujuzi was vitu.
Ahsante Mkuu.. Tunaomba Mungu iwe hivyo
Wabongo kusapotiana ni ngumu tena ngumu haswa ..ni wachache sana anaeza kukuelewa na kukusapoti mie ni muhanga wa hayo ila kwakua ni mpambanaji najua tu zitaingia zakutosha muhimu uwe tayari na kitu

Ila mie niwe mkweli nina kitu ambacho ndio nataka kufanya ila target ni kubwa ila sio hapa ila nitaianzia hapa km njia ya kufika huko
 
Ahsante Mkuu.. Tunaomba Mungu iwe hivyo
Wabongo kusapotiana ni ngumu tena ngumu haswa ..ni wachache sana anaeza kukuelewa na kukusapoti mie ni muhanga wa hayo ila kwakua ni mpambanaji najua tu zitaingia zakutosha muhimu uwe tayari na kitu

Ila mie niwe mkweli nina kitu ambacho ndio nataka kufanya ila target ni kubwa ila sio hapa ila nitaianzia hapa km njia ya kufika huko
Yap wabongo baadhi wana roho kavu Sana, labda pombe na anasa tu.
Nina broo yupo bandarini, Ila muulize kuhusu Fursa.
Ata kwambia story nyingine kabisa,

Vipi unaeza Nipa mfano wa hicho kitu mkubwa, lakini pia kingine wenzetu wana wekeza katika vijana hii Ina saidia Sana.
 
Yap wabongo baadhi wana roho kavu Sana, labda pombe na anasa tu.
Nina broo yupo bandarini, Ila muulize kuhusu Fursa.
Ata kwambia story nyingine kabisa,

Vipi unaeza Nipa mfano wa hicho kitu mkubwa, lakini pia kingine wenzetu wana wekeza katika vijana hii Ina saidia Sana.
Fursa hakupi tena bandarini kuna fursa nyingi sana hasa ktk kampuni za Forward and Clearing
Hahahahaha..mbongo anataka mkae bar ili kesho akienda job wewe ubaki kitaani umsifie 😄

Hilo jambo kwa sasa bado mapema kumwambia mtu
 
Yap wabongo baadhi wana roho kavu Sana, labda pombe na anasa tu.
Nina broo yupo bandarini, Ila muulize kuhusu Fursa.
Ata kwambia story nyingine kabisa,

Vipi unaeza Nipa mfano wa hicho kitu mkubwa, lakini pia kingine wenzetu wana wekeza katika vijana hii Ina saidia Sana.
Endeleeni tunawafuatilia........ 😂😂😂😂
Yaan msidhani mpo peke yenu, tunajifunza sanaaaa
 
Fursa hakupi tena bandarini kuna fursa nyingi sana hasa ktk kampuni za Forward and Clearing
Hahahahaha..mbongo anataka mkae bar ili kesho akienda job wewe ubaki kitaani umsifie 😄

Hilo jambo kwa sasa bado mapema kumwambia mtu
Utasikia mdogo Mambo mengi, ila uliza kuhusu labda vitu vinavyo pigwa mnada kwa bei kitonga.
Utasikia Huku Kuna wenyewe ka sisi, we subiri nita kushitua- hahaha.

Halafu hata sinywagi Wala kuvuta, ni sawa mkuu naheshimu maamuzi.
 
Hapa alindika Jini limetoka lkn mganga hoi. 😀
Jini limetoka limetoka lakini mganga hoi
1709034617237.png
 
Back
Top Bottom