Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,531
Hivi ikitokea afande sele ,akatubia na kuomba msamaha kwa mola wake ,na wakamalizana kimya kimya,itakuweje na hao mashekh?
kilichopaswa kwa hawa mashekh ,ni kumlingania na kumweleza makosa yeka ,
kuna mtu alikufuru kama firauni mpaka kujiita mungu,ila mbona hakuombewa kifo?
watu wasichojua mungu ni wetu sote ,wema na waovu ,mungu huyo huyo ,na pia hata huyo muovu anaweza akamrejea mungu wake mpaka hamtaamini ,ebu warudi kwenye Tarekh(historia) ya wema waliotangulia ,wote walitokea kwenye uwovu ,
mtume alipigwa mawe twaif ,lkn hakuwaombea dua mbaya ,bado alikuwa na matumaini huwenda katika hao walompiga mawe atazaliwa wema katika wao ,
Ni vyema mashekh wapunguze jazba na mhemko ,na wawe viongozi wa kuwaongoza watu wanapopotea kabla ya kuhukumu ,bora wangemwita ama kumnasihi na kama angekataa au kupinga labda hapo wangekuwa na pakuanzia ,
mtu hujamwita hujamwelimisha au kumweleza kosa lake ,maana huwenda yeye akawa anajiona yuko sawa kwa mujibu wa imani yake ,
TUSIPENDE KUADHIBU ,MTOTO HAFUNDISHWI KWA KUMCHAPA BILA KUMWAMBIA KOSA LAKE ,MWELEZE KOSA LAKE ,MPE NAFASI YA KUJISAHIHISHA KWANZA NA KAMA ATAREJEA MAKOSA HAPO SASA MNAPO PAKUANZIA
kilichopaswa kwa hawa mashekh ,ni kumlingania na kumweleza makosa yeka ,
kuna mtu alikufuru kama firauni mpaka kujiita mungu,ila mbona hakuombewa kifo?
watu wasichojua mungu ni wetu sote ,wema na waovu ,mungu huyo huyo ,na pia hata huyo muovu anaweza akamrejea mungu wake mpaka hamtaamini ,ebu warudi kwenye Tarekh(historia) ya wema waliotangulia ,wote walitokea kwenye uwovu ,
mtume alipigwa mawe twaif ,lkn hakuwaombea dua mbaya ,bado alikuwa na matumaini huwenda katika hao walompiga mawe atazaliwa wema katika wao ,
Ni vyema mashekh wapunguze jazba na mhemko ,na wawe viongozi wa kuwaongoza watu wanapopotea kabla ya kuhukumu ,bora wangemwita ama kumnasihi na kama angekataa au kupinga labda hapo wangekuwa na pakuanzia ,
mtu hujamwita hujamwelimisha au kumweleza kosa lake ,maana huwenda yeye akawa anajiona yuko sawa kwa mujibu wa imani yake ,
TUSIPENDE KUADHIBU ,MTOTO HAFUNDISHWI KWA KUMCHAPA BILA KUMWAMBIA KOSA LAKE ,MWELEZE KOSA LAKE ,MPE NAFASI YA KUJISAHIHISHA KWANZA NA KAMA ATAREJEA MAKOSA HAPO SASA MNAPO PAKUANZIA