Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Ina ladha ya mechi ya Bayern Munich na AC Milanohoo!! heshima yako!!!. sijawahi kuipika ukipika mboga yake vipi ina stimu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina ladha ya mechi ya Bayern Munich na AC Milanohoo!! heshima yako!!!. sijawahi kuipika ukipika mboga yake vipi ina stimu?
Halafu inakuwa Vita ya masheikhKishk[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hapa lazima wataibuka masheikh wengine kumpinga
Mpka hapo Sele kasha kufa ni kiwiliwili tu kina ropokaAsipokufa itadhihirisha kwamba dini zao Ni ushuzi tu na ntaanza kuabudu bange pamoja na Afande. Nahesabu siku kuanzia leo.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kisa mgambo sele hahahaha[emoji1][emoji1][emoji1] afande natania tuHalafu inakuwa Vita ya masheikh
DuhNitamuona wa ajabu mtu ambae anamkingia huyo kafiri laana za Allah ziwe juu yake kwa kumtolea maneno mabaya Mwenyezi Mungu.
hivi kwanini majini na kitimoto havipatani?Afande Sele si anakula [emoji200][emoji241][emoji201]
DuhNitamuona wa ajabu mtu ambae anamkingia huyo kafiri laana za Allah ziwe juu yake kwa kumtolea maneno mabaya Mwenyezi Mungu.
Duh hutoacha uchanganye na dagaa kabisa ikiwa haijakomaaohoo!! heshima yako!!!. sijawahi kuipika ukipika mboga yake vipi ina stimu?
DuhNitamuona wa ajabu mtu ambae anamkingia huyo kafiri laana za Allah ziwe juu yake kwa kumtolea maneno mabaya Mwenyezi Mungu.
DuhNitamuona wa ajabu mtu ambae anamkingia huyo kafiri laana za Allah ziwe juu yake kwa kumtolea maneno mabaya Mwenyezi Mungu.
Wana bifuhivi kwanini majini na kitimoto havipatani?
MangeKimambi alisomewaKisipotokea chochote cha kumdhuru Afande. Majibu ya utetezi wao yatasema sababu Afande aliwahi kuomba radhi
Sanaa tu hiyo. Wanatafuta kiki hao mashekheMangeKimambi alisomewa
Thanks kwa maelezo mate..Naskia kuna msemo unasema "no research no right to speak"
Just google "Sheikh kishki on Magufuli" or "sheikh kishki in Tanzania"
Huyu mtu kutokana na analofanya anayo connection kubwa sana hapa nchi kwa serikali kuanzia ya Kikwete mpaka hii iliyopo. Mlezi wa taasisi yake ni Mzee Ali Hassan Mwinyi na hufanya mashindano yake evry year na mwaka mmoja mgeni rasmi alikuwa ni Muheshimiwa Hayati John Pombe Joseph Magufuli. Nadhani mwaka jana tu kwa sababu ya Corona ndio event zake hazijafanyika.
Anyway, one love mkuu!
True, what he did was stupid!Thanks kwa maelezo mate..
But what he did (Kishki) was stupid
I chose Mercy ✌️