Afande Sele hafahamu kuwa miradi iliyotekelezwa na Rais Samia kipindi hiki ni mingi kuliko wakati mwingine wowote?

Afande Sele hafahamu kuwa miradi iliyotekelezwa na Rais Samia kipindi hiki ni mingi kuliko wakati mwingine wowote?

Ndugu zangu Afande sele kawashangaza Sana mamilioni ya watanzania ambao wanaendelea kuhoji kuwa Ina maana Afande sele hajaona ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani alivyojenga na kuboresha secta ya Elimu hapa nchini? Watanzania wanahoji kuwa Afande sele amesahau Mara hii namna watanzania walivyokuwa wanahaha kulipa michango ya ujenzi wa vyumba vya madarasa Hadi wengine kukimbia Kaya zao?

Wanauliza je, hakuona mh Rais wetu mpendwa akitoa fedha kwa ajiri ya kwenda kujenga vyumba vya madarasa kila shule? hakuona miaka ya nyuma wengine wakienda muhula wa pili kuanza masomo yao kwa kuwa tu hakukuwa na madarasa ya kutosha? Je wangekuwaje sawa na waliolipoti mwezi wa kwanza?

Wanauliza Kwamba huyu msanii hajaona namna uamuzi wa serikali wakufuta Ada ya kidato cha tano na sita ilivyoweza kuwasaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida? Wangapi walikuwa wanashindwa kuripoti shule kwa kukosa Ada? Je haoni Jambo hilo limeleta neema kwa familia masikini? Huyu msanii haoni kuwa hizo Ni faida za Tozo zetu?

Huyu msanii kwamba hajaona namna zahanati na vituo vya Afya vilivyosambazwa kila Kona ya nchi hii ndani ya muda mfupi wa Rais Samia? Kwamba hajaona wananchi walivyopunguziwa adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma za Afya? Haoni suala Hilo limesaidia hata wamama wajawazito kujifungulia hospitalini na hivyo kupunguza hatari ya kutokea kwa vifo vya mama na mtoto?

Huyu msanii haoni namna huduma za maji zilivyosogezwa Hadi vijijini na hivyo kupunguza Ile kero ya watu kuamka alfajiri kutafuta maji toka kilometa kadhaa? Anadhani pesa hizo zimetoka wapi? Au alitaka watanzania waendelee kuhenyeka kufuata maji umbali mrefu?

Huyu msanii hajaona juhudi za serikali kuinua maisha ya mkulima kwa uamuzi wake wa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini? Haoni namna ambavyo kwa Sasa mbolea inapatikana kwa Bei nafuu ya elfu 70 kwa DAP ambayo msimu uliopita iliuzwa kwa laki na 40? Haoni Jambo Hilo litachochea uzalishaji kuongezeka msimu ujao! Haoni kuwa uchumi wa mkulima unakwenda kuinuka hasa ukizingatia Ni secta iliyo ajiri kundi kubwa la watanzania na ndio pumzi ya watanzania wengi

Hapana siyo kuwa haoni Bali kaamua tu kujipa upofu na kufanya upotoshaji kwa umma ambao hata hivyo umempuuza tu, watanzania hawamshangai maana bado wanakumbuka kuwa amewahi kuvua nguo jukwaani,kwa hiyo wanaona anatatizo linalohitaji ushauri wa kisaokolojia

Watanzania wanaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, maana wameona juhudi zake katika kuijenga nchi yetu na maendeleo yaliyopatikana na namna yalivyogusa maisha ya watanzania kwa kupunguza kero zilizokuwa kidonda ndugu kwao

Watanzania wanasema Tanzania itajengwa na sisi watanzania, hatuwezi tukakaa tu ili wenzetu walipe Kodi na Tozo huko kwao halafu sisi tuletewa huku, Hatutaweza Kuendelea na aibu hiyo, Sasa Tumeamua kuijenga Tanzania yetu na mh Rais wetu mpendwa Samia ameongoza njia hiyo na watanzania tunamuunga mkono

Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania walipo
Mkuu ukikosa cha kuandika bora unyuti tu, maana hapo unachokifanya ni kama unajitekenya alafu unacheka mwenyewe. STUPID TWAT!!
 
Sele pamoja na weakness zake ila ametupa jiwe gizani makada wanachachawa mbaya[emoji1][emoji1] leteni facts hapa maans mnataja zahanati na vituo vya afya vilivyojengwa na Ankali (RIEP)
Madarasa yamejengwa kwa pesa ya C19 ya mkopo! hayo mnayojitetea yamejengwa lini?
 
And all these caused by our own wrong choices and the highest level of stupidity - we collect the highest taxes, we introduce tozo on mobile money and bank transactions etc., we put road blocks to collect levies on crops, we ask for Aid, we borrow, we receive Covid relief funds etc. And what do we do with it.....we spend it lavishly on high cost Prados and VXs for politicians, govnt officers, civil service executives, military forces etc. BUT even in their offices they miss basics like stationery - they come to companies ask contributions/sponsorship/fuel during national events [emoji848]Our school have no desks - leave alone toilets, women are sleeping on the floors in the delivery wards in our hospital???? We just got it so wrong. No priorities, no understanding, no vision. When you think of all we do indeed it is simply LUNACY!!!
 
Sele pamoja na weakness zake ila ametupa jiwe gizani makada wanachachawa mbaya[emoji1][emoji1] leteni facts hapa maans mnataja zahanati na vituo vya afya vilivyojengwa na Ankali (RIEP)
Madarasa yamejengwa kwa pesa ya C19 ya mkopo! hayo mnayojitetea yamejengwa lini?
Yamejengwa katika kipindi hiki Cha mwaka mmoja madarakani wa mh Rais Samia, pia yataendelea kujengwa Zaid maana kwa Sasa serikali inao mkakati wa kujenga vyumba vya madarasa Zaid ya elfu nane nchini ili wanafunzi wapate nafasi ya kusoma bila shida watakapokuwa wamechaguliwa kujiunga na kidato Cha kwanza mwakani
 
Lucas mwashambwa naomba unijibu bila unafiki.

Je wewe unampeleka mwanao shule za serikali na ukiugua utakubali kupelekwa hospitalali ya serikali?

Je hao viongozi wanaopigia promo tozo familia zao zinatumia hizo shule na zahanati za serikali, kama sio ni kwanini?
 
Lucas mwashambwa naomba unijibu bila unafiki.

Je wewe unampeleka mwanao shule za serikali na ukiugua utakubali kupelekwa hospitalali ya serikali?

Je hao viongozi wanaopigia promo tozo familia zao zinatumia hizo shule na zahanati za serikali, kama sio ni kwanini?
Hivi huoni saizi namna huduma za serikali zilivyo boreshwa kuanzia mahospitalini Hadi shuleni, Sina wasiwasi na huduma za serikali na hata nipatwe na shida nitakwendaa hukohuko serikalini kupata huduma
 
Hivi huoni saizi namna huduma za serikali zilivyo boreshwa kuanzia mahospitalini Hadi shuleni, Sina wasiwasi na huduma za serikali na hata nipatwe na shida nitakwendaa hukohuko serikalini kupata huduma
Kuna tofauti kati ya siasa na uhalisia
 
Mtoa mada anaandika kama una kipande cha ndizi matakoni.
Acha matusi, uwe na staha Kama mtu aliye pata malezi ya wazazi, hata hivyo siwezi kukutukana kwa kuwa Namheshimu kila mtu, Mungu akupe hekima na moyo wa upendo, nafahamu naweza nikatofautiana na wewe kimtizamo na nikakupinga kwa hoja pasipo kukuvunjia heshima Wala utu wako
 
Ndugu zangu Afande sele kawashangaza Sana mamilioni ya watanzania ambao wanaendelea kuhoji kuwa Ina maana Afande sele hajaona ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani alivyojenga na kuboresha secta ya Elimu hapa nchini? Watanzania wanahoji kuwa Afande sele amesahau Mara hii namna watanzania walivyokuwa wanahaha kulipa michango ya ujenzi wa vyumba vya madarasa Hadi wengine kukimbia Kaya zao?

Wanauliza je, hakuona mh Rais wetu mpendwa akitoa fedha kwa ajiri ya kwenda kujenga vyumba vya madarasa kila shule? hakuona miaka ya nyuma wengine wakienda muhula wa pili kuanza masomo yao kwa kuwa tu hakukuwa na madarasa ya kutosha? Je wangekuwaje sawa na waliolipoti mwezi wa kwanza?

Wanauliza Kwamba huyu msanii hajaona namna uamuzi wa serikali wakufuta Ada ya kidato cha tano na sita ilivyoweza kuwasaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida? Wangapi walikuwa wanashindwa kuripoti shule kwa kukosa Ada? Je haoni Jambo hilo limeleta neema kwa familia masikini? Huyu msanii haoni kuwa hizo Ni faida za Tozo zetu?

Huyu msanii kwamba hajaona namna zahanati na vituo vya Afya vilivyosambazwa kila Kona ya nchi hii ndani ya muda mfupi wa Rais Samia? Kwamba hajaona wananchi walivyopunguziwa adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma za Afya? Haoni suala Hilo limesaidia hata wamama wajawazito kujifungulia hospitalini na hivyo kupunguza hatari ya kutokea kwa vifo vya mama na mtoto?

Huyu msanii haoni namna huduma za maji zilivyosogezwa Hadi vijijini na hivyo kupunguza Ile kero ya watu kuamka alfajiri kutafuta maji toka kilometa kadhaa? Anadhani pesa hizo zimetoka wapi? Au alitaka watanzania waendelee kuhenyeka kufuata maji umbali mrefu?

Huyu msanii hajaona juhudi za serikali kuinua maisha ya mkulima kwa uamuzi wake wa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini? Haoni namna ambavyo kwa Sasa mbolea inapatikana kwa Bei nafuu ya elfu 70 kwa DAP ambayo msimu uliopita iliuzwa kwa laki na 40? Haoni Jambo Hilo litachochea uzalishaji kuongezeka msimu ujao! Haoni kuwa uchumi wa mkulima unakwenda kuinuka hasa ukizingatia Ni secta iliyo ajiri kundi kubwa la watanzania na ndio pumzi ya watanzania wengi

Hapana siyo kuwa haoni Bali kaamua tu kujipa upofu na kufanya upotoshaji kwa umma ambao hata hivyo umempuuza tu, watanzania hawamshangai maana bado wanakumbuka kuwa amewahi kuvua nguo jukwaani,kwa hiyo wanaona anatatizo linalohitaji ushauri wa kisaokolojia

Watanzania wanaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, maana wameona juhudi zake katika kuijenga nchi yetu na maendeleo yaliyopatikana na namna yalivyogusa maisha ya watanzania kwa kupunguza kero zilizokuwa kidonda ndugu kwao

Watanzania wanasema Tanzania itajengwa na sisi watanzania, hatuwezi tukakaa tu ili wenzetu walipe Kodi na Tozo huko kwao halafu sisi tuletewa huku, Hatutaweza Kuendelea na aibu hiyo, Sasa Tumeamua kuijenga Tanzania yetu na mh Rais wetu mpendwa Samia ameongoza njia hiyo na watanzania tunamuunga mkono

Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania walipo
Hivi una akili timamu kweli ww.....au ww ndo unakula tozo zetu ndo maan umekaa hapo unasema sema tu.....Mbona mambo Yako wazi kabisa....hakuna kipya na alivovikuta anaviendeleza.....acheni ushabiki mandazi kua mkweli na muwazi
 
Hivi una akili timamu kweli ww.....au ww ndo unakula tozo zetu ndo maan umekaa hapo unasema sema tu.....Mbona mambo Yako wazi kabisa....hakuna kipya na alivovikuta anaviendeleza.....acheni ushabiki mandazi kua mkweli na muwazi
Hakuna kipya? Hivyo vituo vya Afya 234 vilikuwepo awali? Huoni vimejengwa wakati huu wa mh Rais wetu mpendwa? Suala la kutoa Elimu bure Hadi kidato Cha sita huoni Ni kazi ya mh Rais wetu Samia? Suala la kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea huoni Ni kazi ya Rais Samia? Au wewe umekuja Jana hapa Tanzania?

Mama anaendelea kujenga miradi mipya mingi tu pamoja na Kuendelea kutekeleza ilani ya CCM kwa kuanzia pale alipoishia Hayati Dr John Pombe Magufuli
 
Back
Top Bottom