Afande Sele hafahamu kuwa miradi iliyotekelezwa na Rais Samia kipindi hiki ni mingi kuliko wakati mwingine wowote?

Afande Sele hafahamu kuwa miradi iliyotekelezwa na Rais Samia kipindi hiki ni mingi kuliko wakati mwingine wowote?

Kuna wanafunzi walikuwa wanafaulu lakini wanabaki majumbani kwa kuwa tu madarasa yalikuwa hayatoshi na wengine kwenda muhula wa pili unapoanza Hadi watoto wengine wa kike walikuwa wanajikuta wanaolewa au kupata ujauzito wakiwa bado wapo majumbani mwao na kuishia kukatisha ndoto zao za Kuendelea na masomo
Kwamba walikuwa wanaishi huko watu saiv madarasa ndo wanasoma na huko nyuma walikuwa hawasomi? Umetumwa wewe
 
Watanzania wanataka barabara nzuri za juu na chini, wanataka reli ya kisasa, wanataka huduma bora za afya na elimu bure, wanataka mbolea na mafuta kwa bei nafuu, hapo bado wanataka na ajira yenye mishahara minono na wale walioajiriwa na Serikali wanataka nyongeza mara dufu, lakini hawataki kulipa kodi wachangie.

Cha kushangaza pia hawataki Serikali yao ikope kwa ‘mabeberu’ hawataki pia tupewe misaada, wanataka tax base ile ile iendelee kuhenyeka kuwapa yote haya, hata kodi kama withholding tax on rent ambazo zilikuwepo miaka nenda rudi bado watu waliopangisha majumba hawataki kulipa wanataka walipe walewale wa siku zote alafu wenyewe waendelee kufaidi. Mambo ya ajabu sana.
 
Ni kweli zipo shule zimejengwa na madarasa yameongezwa lakini sio hela za tozo ni pesa zilizotokana na mkopo/msaada kutokana na COVID sasa wasitake kutuongopea sisi ni watu wazima

Asante
 
Ndugu zangu Afande sele kawashangaza Sana mamilioni ya watanzania ambao wanaendelea kuhoji kuwa Ina maana Afande sele hajaona ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani alivyojenga na kuboresha secta ya Elimu hapa nchini? Watanzania wanahoji kuwa Afande sele amesahau Mara hii namna watanzania walivyokuwa wanahaha kulipa michango ya ujenzi wa vyumba vya madarasa Hadi wengine kukimbia Kaya zao?

Wanauliza je, hakuona mh Rais wetu mpendwa akitoa fedha kwa ajiri ya kwenda kujenga vyumba vya madarasa kila shule? hakuona miaka ya nyuma wengine wakienda muhula wa pili kuanza masomo yao kwa kuwa tu hakukuwa na madarasa ya kutosha? Je wangekuwaje sawa na waliolipoti mwezi wa kwanza?

Wanauliza Kwamba huyu msanii hajaona namna uamuzi wa serikali wakufuta Ada ya kidato cha tano na sita ilivyoweza kuwasaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida? Wangapi walikuwa wanashindwa kuripoti shule kwa kukosa Ada? Je haoni Jambo hilo limeleta neema kwa familia masikini? Huyu msanii haoni kuwa hizo Ni faida za Tozo zetu?

Huyu msanii kwamba hajaona namna zahanati na vituo vya Afya vilivyosambazwa kila Kona ya nchi hii ndani ya muda mfupi wa Rais Samia? Kwamba hajaona wananchi walivyopunguziwa adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma za Afya? Haoni suala Hilo limesaidia hata wamama wajawazito kujifungulia hospitalini na hivyo kupunguza hatari ya kutokea kwa vifo vya mama na mtoto?

Huyu msanii haoni namna huduma za maji zilivyosogezwa Hadi vijijini na hivyo kupunguza Ile kero ya watu kuamka alfajiri kutafuta maji toka kilometa kadhaa? Anadhani pesa hizo zimetoka wapi? Au alitaka watanzania waendelee kuhenyeka kufuata maji umbali mrefu?

Huyu msanii hajaona juhudi za serikali kuinua maisha ya mkulima kwa uamuzi wake wa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini? Haoni namna ambavyo kwa Sasa mbolea inapatikana kwa Bei nafuu ya elfu 70 kwa DAP ambayo msimu uliopita iliuzwa kwa laki na 40? Haoni Jambo Hilo litachochea uzalishaji kuongezeka msimu ujao! Haoni kuwa uchumi wa mkulima unakwenda kuinuka hasa ukizingatia Ni secta iliyo ajiri kundi kubwa la watanzania na ndio pumzi ya watanzania wengi

Hapana siyo kuwa haoni Bali kaamua tu kujipa upofu na kufanya upotoshaji kwa umma ambao hata hivyo umempuuza tu, watanzania hawamshangai maana bado wanakumbuka kuwa amewahi kuvua nguo jukwaani,kwa hiyo wanaona anatatizo linalohitaji ushauri wa kisaokolojia

Watanzania wanaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, maana wameona juhudi zake katika kuijenga nchi yetu na maendeleo yaliyopatikana na namna yalivyogusa maisha ya watanzania kwa kupunguza kero zilizokuwa kidonda ndugu kwao

Watanzania wanasema Tanzania itajengwa na sisi watanzania, hatuwezi tukakaa tu ili wenzetu walipe Kodi na Tozo huko kwao halafu sisi tuletewa huku, Hatutaweza Kuendelea na aibu hiyo, Sasa Tumeamua kuijenga Tanzania yetu na mh Rais wetu mpendwa Samia ameongoza njia hiyo na watanzania tunamuunga mkono

Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania walipo
Huyo mvuta bangi muda huu ilitakiwa awe central police , Ni mchochezi
 
Ndugu zangu Afande sele kawashangaza Sana mamilioni ya watanzania ambao wanaendelea kuhoji kuwa Ina maana Afande sele hajaona ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani alivyojenga na kuboresha secta ya Elimu hapa nchini? Watanzania wanahoji kuwa Afande sele amesahau Mara hii namna watanzania walivyokuwa wanahaha kulipa michango ya ujenzi wa vyumba vya madarasa Hadi wengine kukimbia Kaya zao?

Wanauliza je, hakuona mh Rais wetu mpendwa akitoa fedha kwa ajiri ya kwenda kujenga vyumba vya madarasa kila shule? hakuona miaka ya nyuma wengine wakienda muhula wa pili kuanza masomo yao kwa kuwa tu hakukuwa na madarasa ya kutosha? Je wangekuwaje sawa na waliolipoti mwezi wa kwanza?

Wanauliza Kwamba huyu msanii hajaona namna uamuzi wa serikali wakufuta Ada ya kidato cha tano na sita ilivyoweza kuwasaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida? Wangapi walikuwa wanashindwa kuripoti shule kwa kukosa Ada? Je haoni Jambo hilo limeleta neema kwa familia masikini? Huyu msanii haoni kuwa hizo Ni faida za Tozo zetu?

Huyu msanii kwamba hajaona namna zahanati na vituo vya Afya vilivyosambazwa kila Kona ya nchi hii ndani ya muda mfupi wa Rais Samia? Kwamba hajaona wananchi walivyopunguziwa adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma za Afya? Haoni suala Hilo limesaidia hata wamama wajawazito kujifungulia hospitalini na hivyo kupunguza hatari ya kutokea kwa vifo vya mama na mtoto?

Huyu msanii haoni namna huduma za maji zilivyosogezwa Hadi vijijini na hivyo kupunguza Ile kero ya watu kuamka alfajiri kutafuta maji toka kilometa kadhaa? Anadhani pesa hizo zimetoka wapi? Au alitaka watanzania waendelee kuhenyeka kufuata maji umbali mrefu?

Huyu msanii hajaona juhudi za serikali kuinua maisha ya mkulima kwa uamuzi wake wa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini? Haoni namna ambavyo kwa Sasa mbolea inapatikana kwa Bei nafuu ya elfu 70 kwa DAP ambayo msimu uliopita iliuzwa kwa laki na 40? Haoni Jambo Hilo litachochea uzalishaji kuongezeka msimu ujao! Haoni kuwa uchumi wa mkulima unakwenda kuinuka hasa ukizingatia Ni secta iliyo ajiri kundi kubwa la watanzania na ndio pumzi ya watanzania wengi

Hapana siyo kuwa haoni Bali kaamua tu kujipa upofu na kufanya upotoshaji kwa umma ambao hata hivyo umempuuza tu, watanzania hawamshangai maana bado wanakumbuka kuwa amewahi kuvua nguo jukwaani,kwa hiyo wanaona anatatizo linalohitaji ushauri wa kisaokolojia

Watanzania wanaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, maana wameona juhudi zake katika kuijenga nchi yetu na maendeleo yaliyopatikana na namna yalivyogusa maisha ya watanzania kwa kupunguza kero zilizokuwa kidonda ndugu kwao

Watanzania wanasema Tanzania itajengwa na sisi watanzania, hatuwezi tukakaa tu ili wenzetu walipe Kodi na Tozo huko kwao halafu sisi tuletewa huku, Hatutaweza Kuendelea na aibu hiyo, Sasa Tumeamua kuijenga Tanzania yetu na mh Rais wetu mpendwa Samia ameongoza njia hiyo na watanzania tunamuunga mkono

Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania walipo
Hao Watanzania wanaomshangaa Sele ni wa wapi!!!??? Nchi hii ina vijana wa ovyo sana, eti na wewe umeanzisha uzi!!!?? Aya, kachukue buku 7 yako.
 
Watanzania wanataka barabara nzuri za juu na chini, wanataka reli ya kisasa, wanataka huduma bora za afya na elimu bure, wanataka mbolea na mafuta kwa bei nafuu, hapo bado wanataka na ajira yenye mishahara minono na wale walioajiriwa na Serikali wanataka nyongeza mara dufu, lakini hawataki kulipa kodi wachangie.

Cha kushangaza pia hawataki Serikali yao ikope kwa ‘mabeberu’ hawataki pia tupewe misaada, wanataka tax base ile ile iendelee kuhenyeka kuwapa yote haya, hata kodi kama withholding tax on rent ambazo zilikuwepo miaka nenda rudi bado watu waliopangisha majumba hawataki kulipa wanataka walipe walewale wa siku zote alafu wenyewe waendelee kufaidi. Mambo ya ajabu sana.

Watanzania mnawapenda wakati wa kulipa Kodi ila wakidai mambo yao mnawaona hawana maana. Watanzania hawakatai kulipa Kodi Bali hawataki tozo za michongo.
 
Ndugu zangu Afande sele kawashangaza Sana mamilioni ya watanzania ambao wanaendelea kuhoji kuwa Ina maana Afande sele hajaona ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani alivyojenga na kuboresha secta ya Elimu hapa nchini? Watanzania wanahoji kuwa Afande sele amesahau Mara hii namna watanzania walivyokuwa wanahaha kulipa michango ya ujenzi wa vyumba vya madarasa Hadi wengine kukimbia Kaya zao?

Wanauliza je, hakuona mh Rais wetu mpendwa akitoa fedha kwa ajiri ya kwenda kujenga vyumba vya madarasa kila shule? hakuona miaka ya nyuma wengine wakienda muhula wa pili kuanza masomo yao kwa kuwa tu hakukuwa na madarasa ya kutosha? Je wangekuwaje sawa na waliolipoti mwezi wa kwanza?

Wanauliza Kwamba huyu msanii hajaona namna uamuzi wa serikali wakufuta Ada ya kidato cha tano na sita ilivyoweza kuwasaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida? Wangapi walikuwa wanashindwa kuripoti shule kwa kukosa Ada? Je haoni Jambo hilo limeleta neema kwa familia masikini? Huyu msanii haoni kuwa hizo Ni faida za Tozo zetu?

Huyu msanii kwamba hajaona namna zahanati na vituo vya Afya vilivyosambazwa kila Kona ya nchi hii ndani ya muda mfupi wa Rais Samia? Kwamba hajaona wananchi walivyopunguziwa adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma za Afya? Haoni suala Hilo limesaidia hata wamama wajawazito kujifungulia hospitalini na hivyo kupunguza hatari ya kutokea kwa vifo vya mama na mtoto?

Huyu msanii haoni namna huduma za maji zilivyosogezwa Hadi vijijini na hivyo kupunguza Ile kero ya watu kuamka alfajiri kutafuta maji toka kilometa kadhaa? Anadhani pesa hizo zimetoka wapi? Au alitaka watanzania waendelee kuhenyeka kufuata maji umbali mrefu?

Huyu msanii hajaona juhudi za serikali kuinua maisha ya mkulima kwa uamuzi wake wa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini? Haoni namna ambavyo kwa Sasa mbolea inapatikana kwa Bei nafuu ya elfu 70 kwa DAP ambayo msimu uliopita iliuzwa kwa laki na 40? Haoni Jambo Hilo litachochea uzalishaji kuongezeka msimu ujao! Haoni kuwa uchumi wa mkulima unakwenda kuinuka hasa ukizingatia Ni secta iliyo ajiri kundi kubwa la watanzania na ndio pumzi ya watanzania wengi

Hapana siyo kuwa haoni Bali kaamua tu kujipa upofu na kufanya upotoshaji kwa umma ambao hata hivyo umempuuza tu, watanzania hawamshangai maana bado wanakumbuka kuwa amewahi kuvua nguo jukwaani,kwa hiyo wanaona anatatizo linalohitaji ushauri wa kisaokolojia

Watanzania wanaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, maana wameona juhudi zake katika kuijenga nchi yetu na maendeleo yaliyopatikana na namna yalivyogusa maisha ya watanzania kwa kupunguza kero zilizokuwa kidonda ndugu kwao

Watanzania wanasema Tanzania itajengwa na sisi watanzania, hatuwezi tukakaa tu ili wenzetu walipe Kodi na Tozo huko kwao halafu sisi tuletewa huku, Hatutaweza Kuendelea na aibu hiyo, Sasa Tumeamua kuijenga Tanzania yetu na mh Rais wetu mpendwa Samia ameongoza njia hiyo na watanzania tunamuunga mkono

Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania walipo
Acha upumbavu we kiumbe......
 
Mtu akisoma replies za hii thread ataelewa fika watanzania wana hasira na hawataki ujinga tena, wameshachoka siasa za bei rahisi. Wanataka siasa zenye tija, na kiongozi aliyepo keshafeli kwenye kigezo hicho.
 
Acha matusi, uwe na staha Kama mtu aliye pata malezi ya wazazi, hata hivyo siwezi kukutukana kwa kuwa Namheshimu kila mtu, Mungu akupe hekima na moyo wa upendo, nafahamu naweza nikatofautiana na wewe kimtizamo na nikakupinga kwa hoja pasipo kukuvunjia heshima Wala utu wako
Angalau kidogo hapa umeandika, huko kwingine ni TAKATAKA tupu!
 
Panapohitaji maboresho patarekebishwa lakini wajibu wa kuijenga nchi yetu utabakia mikononi mwetu Watanzania.
Ikiwa kweli tunataka kuijenga Nchi kwa pamoja....ni wajibu kufunga mkanda kwa pamoja,kuanzia Kiongozi Mkuu wa Nchi mpaka raia wa mwisho.
Kadhalika,tunahitaji kuwachukulia hatua kali kila mwizi kikamilifu tena bila kificho.

Ila kwasasa
Tunaona kinyume,wakiongezeana posho za safari,wakiendesha magari ya gharama,wakiiba kwa msemo wa kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.............

Chief...kuwa makini
 
Ikiwa kweli tunataka kuijenga Nchi kwa pamoja....ni wajibu kufunga mkanda kwa pamoja,kuanzia Kiongozi Mkuu wa Nchi mpaka raia wa mwisho.
Kadhalika,tunahitaji kuwachukulia hatua kali kila mwizi kikamilifu tena bila kificho.

Ila kwasasa
Tunaona kinyume,wakiongezeana posho za safari,wakiendesha magari ya gharama,wakiiba kwa msemo wa kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.............

Chief...kuwa makini
Nashukuru ndugu yangu, Naomba utambue kuwa Mh Rais wetu Amekuwa na mtizamo huo wa kutaka kuona kuwa kuanzia viongozi mpaka mtanzania wa kawaida tunaishi katika maisha yanayofanana na uchumi wetu, anataka kuona kuwa katika wakati huu wa ujenzi wa Taifa tunajibana kwa kadri ya uwezo wetu huku shughuli zote za kumgusa na kumpunguzia mtanzania mnyonge kero zinafanyika, Tozo na Kodi zetu haziendi katika kununua magari ya kifahari Bali kutatua kero kwa mtanzania
 
Ikiwa kweli tunataka kuijenga Nchi kwa pamoja....ni wajibu kufunga mkanda kwa pamoja,kuanzia Kiongozi Mkuu wa Nchi mpaka raia wa mwisho.
Kadhalika,tunahitaji kuwachukulia hatua kali kila mwizi kikamilifu tena bila kificho.

Ila kwasasa
Tunaona kinyume,wakiongezeana posho za safari,wakiendesha magari ya gharama,wakiiba kwa msemo wa kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.............

Chief...kuwa makini
Hatua zinachukuliwa kwa uharaka Sana Mara tu inapobainika kuwa mahali fulani pana harufu ya ubadhilifu wa fedha za umma, lakini pia Ni jukumu letu wananchi kutoa taarifa pale tutakapokuwa na mashaka Napo juu ya matumizi ya Fedha zetu, mtu unaweza kutoa hata kupitia jukwaa Hili na viongozi wetu naamini watapata ujumbe, maana tumeona Mara nyingi mijadara ikitokea humu na kuilazimu serikali kutoa ufafanuzi, lazima Tuwe na uchungu na jasho letu kwa mtu anayetaka kuchezea nguvu zetu za pamoja
 
Panapohitaji maboresho patarekebishwa lakini wajibu wa kuijenga nchi yetu utabakia mikononi mwetu Watanzania.
Na viongozi pia wanahuo wajibu. Wao wanatakiwa kupunguza matumizi. Sio kungojea kila toleo la v8 wanunue. V8 moja ni shule nzima na chenji inabaki.
 
Hatua zinachukuliwa kwa uharaka Sana Mara tu inapobainika kuwa mahali fulani pana harufu ya ubadhilifu wa fedha za umma, lakini pia Ni jukumu letu wananchi kutoa taarifa pale tutakapokuwa na mashaka Napo juu ya matumizi ya Fedha zetu, mtu unaweza kutoa hata kupitia jukwaa Hili na viongozi wetu naamini watapata ujumbe, maana tumeona Mara nyingi mijadara ikitokea humu na kuilazimu serikali kutoa ufafanuzi, lazima Tuwe na uchungu na jasho letu kwa mtu anayetaka kuchezea nguvu zetu za pamoja
Ndugu amka!! Unatetea mabandiko yao hutaki kuona matendo yao. Siasa inataka raia aamini lakini walioaminiwa wanaenda kinyume na walioahidi.
 
Back
Top Bottom