Afande Sele hafahamu kuwa miradi iliyotekelezwa na Rais Samia kipindi hiki ni mingi kuliko wakati mwingine wowote?

Afande Sele hafahamu kuwa miradi iliyotekelezwa na Rais Samia kipindi hiki ni mingi kuliko wakati mwingine wowote?

Na viongozi pia wanahuo wajibu. Wao wanatakiwa kupunguza matumizi. Sio kungojea kila toleo la v8 wanunue. V8 moja ni shule nzima na chenji inabaki.
Mkakati wa serikali upo hivyo katika kupunguza na kubana matumizi ya serikali
 
Kama unatarajia kuwa kiongozi kwa niaba ya watanzania wenzangu hatuhitaji kiongozi wa kariba YAKO, huna hata uchungu na hii nchi kutwa umekuwa ukiimba pambio lilelile au na wewe ni miongoni mwa waliochaguliwa kuweka sawa mambo mtandaoni? BADILIKA
Screenshot_20220910-100749.jpg
 
Huyo mvuta bangi muda huu ilitakiwa awe central police , Ni mchochezi
Tofautisha uchochezi na haki ya kuchochea. Uchochezi umeletwa na serikali ambayo haiweki wazi matumizi ya tozo zilizokusanya na matumizi ya mikopo ya Covid. Na pia ata zahanati na blah blah zilizojengwa pesa zilozotumika haziwekwi wazi. Kwa raia mwenye akili timamu lazima aulize. Maswali yabakuja kutokana na mapenzi ya dhati ya raia kwa nchi yake na kutokana na ugumu wa tozo uliongezeka.
 
Asanteni sana wana JF, huku ndiko kumkoma nyani giledi bila kumtazama uso!
Tatizo la chawa kama huyu Lucas mwashambwa ni kwamba hana hata hisia!
Ni sawa na mtu aliyejinyea halafu anashangaa kila anayekutana naye kaziba pua!
Huyu chawa si tu hana aibu, si tu hana akili, si tu hana utu...ni mpumbavu wa kutupwa!
 
Ndugu zangu Afande sele kawashangaza Sana mamilioni ya watanzania ambao wanaendelea kuhoji kuwa Ina maana Afande sele hajaona ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani alivyojenga na kuboresha secta ya Elimu hapa nchini? Watanzania wanahoji kuwa Afande sele amesahau Mara hii namna watanzania walivyokuwa wanahaha kulipa michango ya ujenzi wa vyumba vya madarasa Hadi wengine kukimbia Kaya zao?

Wanauliza je, hakuona mh Rais wetu mpendwa akitoa fedha kwa ajiri ya kwenda kujenga vyumba vya madarasa kila shule? hakuona miaka ya nyuma wengine wakienda muhula wa pili kuanza masomo yao kwa kuwa tu hakukuwa na madarasa ya kutosha? Je wangekuwaje sawa na waliolipoti mwezi wa kwanza?

Wanauliza Kwamba huyu msanii hajaona namna uamuzi wa serikali wakufuta Ada ya kidato cha tano na sita ilivyoweza kuwasaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida? Wangapi walikuwa wanashindwa kuripoti shule kwa kukosa Ada? Je haoni Jambo hilo limeleta neema kwa familia masikini? Huyu msanii haoni kuwa hizo Ni faida za Tozo zetu?

Huyu msanii kwamba hajaona namna zahanati na vituo vya Afya vilivyosambazwa kila Kona ya nchi hii ndani ya muda mfupi wa Rais Samia? Kwamba hajaona wananchi walivyopunguziwa adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma za Afya? Haoni suala Hilo limesaidia hata wamama wajawazito kujifungulia hospitalini na hivyo kupunguza hatari ya kutokea kwa vifo vya mama na mtoto?

Huyu msanii haoni namna huduma za maji zilivyosogezwa Hadi vijijini na hivyo kupunguza Ile kero ya watu kuamka alfajiri kutafuta maji toka kilometa kadhaa? Anadhani pesa hizo zimetoka wapi? Au alitaka watanzania waendelee kuhenyeka kufuata maji umbali mrefu?

Huyu msanii hajaona juhudi za serikali kuinua maisha ya mkulima kwa uamuzi wake wa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini? Haoni namna ambavyo kwa Sasa mbolea inapatikana kwa Bei nafuu ya elfu 70 kwa DAP ambayo msimu uliopita iliuzwa kwa laki na 40? Haoni Jambo Hilo litachochea uzalishaji kuongezeka msimu ujao! Haoni kuwa uchumi wa mkulima unakwenda kuinuka hasa ukizingatia Ni secta iliyo ajiri kundi kubwa la watanzania na ndio pumzi ya watanzania wengi

Hapana siyo kuwa haoni Bali kaamua tu kujipa upofu na kufanya upotoshaji kwa umma ambao hata hivyo umempuuza tu, watanzania hawamshangai maana bado wanakumbuka kuwa amewahi kuvua nguo jukwaani,kwa hiyo wanaona anatatizo linalohitaji ushauri wa kisaokolojia

Watanzania wanaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, maana wameona juhudi zake katika kuijenga nchi yetu na maendeleo yaliyopatikana na namna yalivyogusa maisha ya watanzania kwa kupunguza kero zilizokuwa kidonda ndugu kwao

Watanzania wanasema Tanzania itajengwa na sisi watanzania, hatuwezi tukakaa tu ili wenzetu walipe Kodi na Tozo huko kwao halafu sisi tuletewa huku, Hatutaweza Kuendelea na aibu hiyo, Sasa Tumeamua kuijenga Tanzania yetu na mh Rais wetu mpendwa Samia ameongoza njia hiyo na watanzania tunamuunga mkono

Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania walipo
Watanzania gani unaowazungumzia we mlamba asali!
 
Ndugu zangu Afande sele kawashangaza Sana mamilioni ya watanzania ambao wanaendelea kuhoji kuwa Ina maana Afande sele hajaona ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani alivyojenga na kuboresha secta ya Elimu hapa nchini? Watanzania wanahoji kuwa Afande sele amesahau Mara hii namna watanzania walivyokuwa wanahaha kulipa michango ya ujenzi wa vyumba vya madarasa Hadi wengine kukimbia Kaya zao?

Wanauliza je, hakuona mh Rais wetu mpendwa akitoa fedha kwa ajiri ya kwenda kujenga vyumba vya madarasa kila shule? hakuona miaka ya nyuma wengine wakienda muhula wa pili kuanza masomo yao kwa kuwa tu hakukuwa na madarasa ya kutosha? Je wangekuwaje sawa na waliolipoti mwezi wa kwanza?

Wanauliza Kwamba huyu msanii hajaona namna uamuzi wa serikali wakufuta Ada ya kidato cha tano na sita ilivyoweza kuwasaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida? Wangapi walikuwa wanashindwa kuripoti shule kwa kukosa Ada? Je haoni Jambo hilo limeleta neema kwa familia masikini? Huyu msanii haoni kuwa hizo Ni faida za Tozo zetu?

Huyu msanii kwamba hajaona namna zahanati na vituo vya Afya vilivyosambazwa kila Kona ya nchi hii ndani ya muda mfupi wa Rais Samia? Kwamba hajaona wananchi walivyopunguziwa adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma za Afya? Haoni suala Hilo limesaidia hata wamama wajawazito kujifungulia hospitalini na hivyo kupunguza hatari ya kutokea kwa vifo vya mama na mtoto?

Huyu msanii haoni namna huduma za maji zilivyosogezwa Hadi vijijini na hivyo kupunguza Ile kero ya watu kuamka alfajiri kutafuta maji toka kilometa kadhaa? Anadhani pesa hizo zimetoka wapi? Au alitaka watanzania waendelee kuhenyeka kufuata maji umbali mrefu?

Huyu msanii hajaona juhudi za serikali kuinua maisha ya mkulima kwa uamuzi wake wa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini? Haoni namna ambavyo kwa Sasa mbolea inapatikana kwa Bei nafuu ya elfu 70 kwa DAP ambayo msimu uliopita iliuzwa kwa laki na 40? Haoni Jambo Hilo litachochea uzalishaji kuongezeka msimu ujao! Haoni kuwa uchumi wa mkulima unakwenda kuinuka hasa ukizingatia Ni secta iliyo ajiri kundi kubwa la watanzania na ndio pumzi ya watanzania wengi

Hapana siyo kuwa haoni Bali kaamua tu kujipa upofu na kufanya upotoshaji kwa umma ambao hata hivyo umempuuza tu, watanzania hawamshangai maana bado wanakumbuka kuwa amewahi kuvua nguo jukwaani,kwa hiyo wanaona anatatizo linalohitaji ushauri wa kisaokolojia

Watanzania wanaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, maana wameona juhudi zake katika kuijenga nchi yetu na maendeleo yaliyopatikana na namna yalivyogusa maisha ya watanzania kwa kupunguza kero zilizokuwa kidonda ndugu kwao

Watanzania wanasema Tanzania itajengwa na sisi watanzania, hatuwezi tukakaa tu ili wenzetu walipe Kodi na Tozo huko kwao halafu sisi tuletewa huku, Hatutaweza Kuendelea na aibu hiyo, Sasa Tumeamua kuijenga Tanzania yetu na mh Rais wetu mpendwa Samia ameongoza njia hiyo na watanzania tunamuunga mkono

Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania walipo
Apo kwenye sekta ya elimu ni nothing kama hajabadiri huu mfumo wa elimu ya kikolon. elimu isiyokuwa na msaada wowote kwa wanafunzi,. majengo mazuri elimu mbovu elimu tegemezi. abadiri mitaala
 
Ndugu zangu Afande sele kawashangaza Sana mamilioni ya watanzania ambao wanaendelea kuhoji kuwa Ina maana Afande sele hajaona ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani alivyojenga na kuboresha secta ya Elimu hapa nchini? Watanzania wanahoji kuwa Afande sele amesahau Mara hii namna watanzania walivyokuwa wanahaha kulipa michango ya ujenzi wa vyumba vya madarasa Hadi wengine kukimbia Kaya zao?

Wanauliza je, hakuona mh Rais wetu mpendwa akitoa fedha kwa ajiri ya kwenda kujenga vyumba vya madarasa kila shule? hakuona miaka ya nyuma wengine wakienda muhula wa pili kuanza masomo yao kwa kuwa tu hakukuwa na madarasa ya kutosha? Je wangekuwaje sawa na waliolipoti mwezi wa kwanza?

Wanauliza Kwamba huyu msanii hajaona namna uamuzi wa serikali wakufuta Ada ya kidato cha tano na sita ilivyoweza kuwasaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida? Wangapi walikuwa wanashindwa kuripoti shule kwa kukosa Ada? Je haoni Jambo hilo limeleta neema kwa familia masikini? Huyu msanii haoni kuwa hizo Ni faida za Tozo zetu?

Huyu msanii kwamba hajaona namna zahanati na vituo vya Afya vilivyosambazwa kila Kona ya nchi hii ndani ya muda mfupi wa Rais Samia? Kwamba hajaona wananchi walivyopunguziwa adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma za Afya? Haoni suala Hilo limesaidia hata wamama wajawazito kujifungulia hospitalini na hivyo kupunguza hatari ya kutokea kwa vifo vya mama na mtoto?

Huyu msanii haoni namna huduma za maji zilivyosogezwa Hadi vijijini na hivyo kupunguza Ile kero ya watu kuamka alfajiri kutafuta maji toka kilometa kadhaa? Anadhani pesa hizo zimetoka wapi? Au alitaka watanzania waendelee kuhenyeka kufuata maji umbali mrefu?

Huyu msanii hajaona juhudi za serikali kuinua maisha ya mkulima kwa uamuzi wake wa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini? Haoni namna ambavyo kwa Sasa mbolea inapatikana kwa Bei nafuu ya elfu 70 kwa DAP ambayo msimu uliopita iliuzwa kwa laki na 40? Haoni Jambo Hilo litachochea uzalishaji kuongezeka msimu ujao! Haoni kuwa uchumi wa mkulima unakwenda kuinuka hasa ukizingatia Ni secta iliyo ajiri kundi kubwa la watanzania na ndio pumzi ya watanzania wengi

Hapana siyo kuwa haoni Bali kaamua tu kujipa upofu na kufanya upotoshaji kwa umma ambao hata hivyo umempuuza tu, watanzania hawamshangai maana bado wanakumbuka kuwa amewahi kuvua nguo jukwaani,kwa hiyo wanaona anatatizo linalohitaji ushauri wa kisaokolojia

Watanzania wanaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, maana wameona juhudi zake katika kuijenga nchi yetu na maendeleo yaliyopatikana na namna yalivyogusa maisha ya watanzania kwa kupunguza kero zilizokuwa kidonda ndugu kwao

Watanzania wanasema Tanzania itajengwa na sisi watanzania, hatuwezi tukakaa tu ili wenzetu walipe Kodi na Tozo huko kwao halafu sisi tuletewa huku, Hatutaweza Kuendelea na aibu hiyo, Sasa Tumeamua kuijenga Tanzania yetu na mh Rais wetu mpendwa Samia ameongoza njia hiyo na watanzania tunamuunga mkono

Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania walipo
Yaani unatumia mda wako kujibu kichaa wa bangi? Siwezi tumia hata sekunde..
 
Ndugu zangu Afande sele kawashangaza Sana mamilioni ya watanzania ambao wanaendelea kuhoji kuwa Ina maana Afande sele hajaona ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani alivyojenga na kuboresha secta ya Elimu hapa nchini? Watanzania wanahoji kuwa Afande sele amesahau Mara hii namna watanzania walivyokuwa wanahaha kulipa michango ya ujenzi wa vyumba vya madarasa Hadi wengine kukimbia Kaya zao?

Wanauliza je, hakuona mh Rais wetu mpendwa akitoa fedha kwa ajiri ya kwenda kujenga vyumba vya madarasa kila shule? hakuona miaka ya nyuma wengine wakienda muhula wa pili kuanza masomo yao kwa kuwa tu hakukuwa na madarasa ya kutosha? Je wangekuwaje sawa na waliolipoti mwezi wa kwanza?

Wanauliza Kwamba huyu msanii hajaona namna uamuzi wa serikali wakufuta Ada ya kidato cha tano na sita ilivyoweza kuwasaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bila shida? Wangapi walikuwa wanashindwa kuripoti shule kwa kukosa Ada? Je haoni Jambo hilo limeleta neema kwa familia masikini? Huyu msanii haoni kuwa hizo Ni faida za Tozo zetu?

Huyu msanii kwamba hajaona namna zahanati na vituo vya Afya vilivyosambazwa kila Kona ya nchi hii ndani ya muda mfupi wa Rais Samia? Kwamba hajaona wananchi walivyopunguziwa adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma za Afya? Haoni suala Hilo limesaidia hata wamama wajawazito kujifungulia hospitalini na hivyo kupunguza hatari ya kutokea kwa vifo vya mama na mtoto?

Huyu msanii haoni namna huduma za maji zilivyosogezwa Hadi vijijini na hivyo kupunguza Ile kero ya watu kuamka alfajiri kutafuta maji toka kilometa kadhaa? Anadhani pesa hizo zimetoka wapi? Au alitaka watanzania waendelee kuhenyeka kufuata maji umbali mrefu?

Huyu msanii hajaona juhudi za serikali kuinua maisha ya mkulima kwa uamuzi wake wa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini? Haoni namna ambavyo kwa Sasa mbolea inapatikana kwa Bei nafuu ya elfu 70 kwa DAP ambayo msimu uliopita iliuzwa kwa laki na 40? Haoni Jambo Hilo litachochea uzalishaji kuongezeka msimu ujao! Haoni kuwa uchumi wa mkulima unakwenda kuinuka hasa ukizingatia Ni secta iliyo ajiri kundi kubwa la watanzania na ndio pumzi ya watanzania wengi

Hapana siyo kuwa haoni Bali kaamua tu kujipa upofu na kufanya upotoshaji kwa umma ambao hata hivyo umempuuza tu, watanzania hawamshangai maana bado wanakumbuka kuwa amewahi kuvua nguo jukwaani,kwa hiyo wanaona anatatizo linalohitaji ushauri wa kisaokolojia

Watanzania wanaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa, maana wameona juhudi zake katika kuijenga nchi yetu na maendeleo yaliyopatikana na namna yalivyogusa maisha ya watanzania kwa kupunguza kero zilizokuwa kidonda ndugu kwao

Watanzania wanasema Tanzania itajengwa na sisi watanzania, hatuwezi tukakaa tu ili wenzetu walipe Kodi na Tozo huko kwao halafu sisi tuletewa huku, Hatutaweza Kuendelea na aibu hiyo, Sasa Tumeamua kuijenga Tanzania yetu na mh Rais wetu mpendwa Samia ameongoza njia hiyo na watanzania tunamuunga mkono

Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania walipo
Promo promo promo paratrooper s mko vizuri mbona wepesi kusahau nyie mliosema Yale mabilioni ya mkopo wa covid 19 ndo mlijenga hayo unayataja! Leo imekuwa tena tozo? So hela yetu ya covid 19 ipo wapi?
 
Ndugu zangu ni haibu kuongelea madarasa na zahanati kwani tukumbe majirani zetu waliopata Uhuru nyuma yetu walishatoka huko siku nyingi
 
Kama unatarajia kuwa kiongozi kwa niaba ya watanzania wenzangu hatuhitaji kiongozi wa kariba YAKO, huna hata uchungu na hii nchi kutwa umekuwa ukiimba pambio lilelile au na wewe ni miongoni mwa waliochaguliwa kuweka sawa mambo mtandaoni? BADILIKAView attachment 2352286
Tanzania itajengwa na sisi watanzania, Unataka Nani atujengee nchi yetu? Unataka Nani abebe wajibu wetu? Unazani Kuna maendeleo yanayokuja pasipo maumivu? Unazani hao walioendelea na tunaowapigia mifano hawakupata maumivu walipokuwa wanajenga nchi zao? Unazani hawakuvuja jasho? Unazani hawakujifunga mikanda? Unazani wangefika hapo walipo pasipo kuwa wazalendo na kukubali kuumia ili watoto wa watoto wao waishi wananvyoishi Leo? Unazani wangekwepa wajibu wao wangefika hapo walipo? Au unazani walipokea maendeleo toka angani?

Palipo na maboresho serikali yetu Ni sikivu na itafanya hivyo, lakini bado wajibu wetu wa kuijenga nchi yetu tutaubeba katika mabega yetu wenyewe, lakini bado nitaendelea kuheshimu michango yako humu jukwaani na hata tutakapofofautiana tutaheshimiana na kukuheshimu na pakukuunga mkono nitafanya hivyo bila kinyongo maana Wote tuna Ndoto ya kuona Taifa hili linasonga mbele kwa mikono na miguu yetu wenyewe ikichagizwa na fikra zetu chanya
 
Kama unatarajia kuwa kiongozi kwa niaba ya watanzania wenzangu hatuhitaji kiongozi wa kariba YAKO, huna hata uchungu na hii nchi kutwa umekuwa ukiimba pambio lilelile au na wewe ni miongoni mwa waliochaguliwa kuweka sawa mambo mtandaoni? BADILIKAView attachment 2352286
Tanzania itajengwa na sisi watanzania, Unataka Nani atujengee nchi yetu? Unataka Nani abebe wajibu wetu? Unazani Kuna maendeleo yanayokuja pasipo maumivu? Unazani hao walioendelea na tunaowapigia mifano hawakupata maumivu walipokuwa wanajenga nchi zao? Unazani hawakuvuja jasho? Unazani hawakujifunga mikanda? Unazani wangefika hapo walipo pasipo kuwa wazalendo na kukubali kuumia ili watoto wa watoto wao waishi wananvyoishi Leo? Unazani wangekwepa wajibu wao wangefika hapo walipo? Au unazani walipokea maendeleo toka angani?

Palipo na maboresho serikali yetu Ni sikivu na itafanya hivyo, lakini bado wajibu wetu wa kuijenga nchi yetu tutaubeba katika mabega yetu wenyewe, lakini bado nitaendelea kuheshimu michango yako humu jukwaani na hata tutakapofofautiana tutaheshimiana na kukuheshimu na pakukuunga mkono nitafanya hivyo bila kinyongo maana Wote tuna Ndoto ya kuona Taifa hili linasonga mbele kwa mikono na miguu yetu wenyewe ikichagizwa na fikra zetu chanya
 
Asanteni sana wana JF, huku ndiko kumkoma nyani giledi bila kumtazama uso!
Tatizo la chawa kama huyu Lucas mwashambwa ni kwamba hana hata hisia!
Ni sawa na mtu aliyejinyea halafu anashangaa kila anayekutana naye kaziba pua!
Huyu chawa si tu hana aibu, si tu hana akili, si tu hana utu...ni mpumbavu wa kutupwa!
Pamoja na matusi yako kwangu lakini naendelea kuheshimu utu wako kwani unastahili kuheshimiwa Kama mwanadamu, hata naotofautiana nao kimtizamo nabaki kuwaheshimu bila kuwatukana au kuwadhalilisha utu wao
 
Promo promo promo paratrooper s mko vizuri mbona wepesi kusahau nyie mliosema Yale mabilioni ya mkopo wa covid 19 ndo mlijenga hayo unayataja! Leo imekuwa tena tozo? So hela yetu ya covid 19 ipo wapi?
Kazi za ujenzi haziishi na haziji kufika kikomo kwa kuwa Mahitaji yanaongezeka kila siku kwani hata idadi ya watu unaongezeka pia hapa nchini
 
Apo kwenye sekta ya elimu ni nothing kama hajabadiri huu mfumo wa elimu ya kikolon. elimu isiyokuwa na msaada wowote kwa wanafunzi,. majengo mazuri elimu mbovu elimu tegemezi. abadiri mitaala
Mapitio mbalimbali yanafanyika huku wadau wa Elimu wakishirikishwa kuweza kutoa maoni,
 
Hao Watanzania ni kina nani na wanapatikana wapi ?

Brother you are out of touch..., Afande Sele ndio ana-represent mitizamo ya wadau wengi huku kitaa na kama mtaendelea kuziba masikio na kujifariji mtajikuta mnajenga ukuta badala ya kuziba ufa....
1662814784749.png
 
Alafu nyie........msituchukulie poa tunawaona tuu mkijichanganya.
 
Back
Top Bottom