Afande Sele: Magufuli alikopa na kufanya makubwa, sasa hivi wanakopa na hakuna linaloonekana

Watekelezaji nani kawateua?
Wako chini ya Mamlaka ipi?
Yeye mwenyewe kupitia washauri wake,lakini haohao washauri wake,labda wanafanya kolabo na wateuliwa,matokeo yake,wanamhujumu MAMA.
 
Kila siku nawambia ukitaka kuongoza Nchi zenye wajinga wengi piga Pini mdomo mdomo..

Mjinga unampa uhuru? Si unaona huyu anaongea utadhani hiyo miradi ya Mwendazake aliimaliza au alikopa akafanha ikaisha on time..
 
Hata alipokopa,miradi ilimalizika?
 
Huyu jamaa ametumia nini hadi bange hazina uwezo tena wa kiathiri ubongo wake?

Mbona kasema ukweli mtupu?
 
Mvuta bange anaongea point kuliko chadema kwa ujumla wao.
 
Kwamba wakati jpm anaingia aliikuta reli ya kigoma imeishia dodoma na yeye ndo akaileta dar es salaam?!!!! Nilikuwa sijajua hili.

Sijajua afande sele ana nini na baadhi ya marais fulani fulani hivi maana nilishawahi kumsikia katika mahojiano ya radio kipindi fulani hivi (kabla jpm hajafariki) akimponda mno kikwete. Alikuwa anasema kuwa kikwete hakufanya lolote katika kipindi chake na kwamba jpm aliikuta nchi ikiwa haina mradi wowote ule na hivyo kila mradi alioufanya jpm ameuanzisha mwenyewe. Leo anasema jpm aliiendeleza vema miradi aliyoikuta. Sasa sijui miradi ipi na sijui iliachwa na mkapa au nyerere?!!!!

Alipofariki jpm, afande sele ni mmojawapo kati ya watu kadhaa wachache waliofanya jitihada za kutaka kuiaminisha jamii kuwa jpm aliuawa, na bila aibu, huruma wala shukrani alimlenga kikwete moja kwa moja.

Leo amemvaa mama, akisema hakuna mradi wowote unaoendelea. Anayasema haya huku tulio binadamu wa kawaida (tusio na chuki, hila, ukanda au udini) tunajua, kusikia na kuona maendeleo ya miradi km madaraja (eg wami linafunguliwa hivi karibuni, lile la iringa etc); viwanda vinaonekana na kuendelea kujengwa; mabarabara; hilo bwawa walilokuwa wanajifichia haters ukweli umeanikwa live kuwa limeendelea hadi 67%; mashule maalum (ukiacha haya madarasa yanayoongezwa) yanajengwa mikoa mingi tu n.k. Tatizo la tozo (ukweli na kuelewa vs uwingi na ukubwa wake) lipo lakini ni vipi linamfanya afande huyu adanganye?!!!!!! Ni dhahiri ana kitu, very unhealth, na baadhi ya maraisi.

Sijajua chanzo cha hili ni nini au inawezekana kule kubadilika kwake kumemuathiri maana nasikia alibadili na siku hz ni mlokole................
 
Naskia tv iliochapisha maneno yake imefungiwa imagine
 
Kwamba wale watu laki 5 waliokufa kwa korona kule marekani nao waliamin ushirikina?
Hao walikufa vifo vya kawaida kama ambavyo mpaka leo watu wanakufa. Ila Jiwe alikufa kwa laana ya Watanzania.
 
So tatizo lako wewe ni kukosa mrija wa kulambia asali, enzi za mwendakuzimu ulikuwa kimya
 
Tatizo lako wewe kubwa ni usukuma gang
 
Amna mtu aliyeporwa pesa yake, ila walinyang'anywa pesa ya serikali.

Wewe uliporwa sh ngapi???
Mbona nchi hii ina machizi kiasi hiki! So hujui kuwa watu walikuwa wanaporwa pesa zao kwa sababu wewe hukuporwa?
 
Huu ni uongo kabisa. Kwamba hakuna kinachofanyika tangu mwezi March 2021 hadi hii September 2022? Huu ni upotishaji mkubwa!
Toka mungu afe sukuma gang mmechanganyikiwa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…