Afariki baada ya kuanguka chooni kwa kupigwa stroke

Huwezi toka kuzimu uende peponi ukitoka kuzimu ni jehanamu hasa ukifa bila toba.Ukifa bila dhambi mfano Moses Kulola, Bikira Maria,moja kwa moja mbinguni ukisubiria kwenda peponi au paradiso. Mbinguni ni makazi ya mda ya mfupi ya walio upande wa Mungu na kuzimu ni makao ya mda mfupi ya wafuasi wa shetani. Paradiso ni makao ya milele ya watatifu na kwa wafuasi wa shetani makao ya milele uitwa jehanamu. Hadi SAsa jehanamu na paradiso hazipo hadi baada ya hukumu.
 
Umeongea point nzuri sana, huyu Malisa na wenzake wanafiki tuu.
 
Huenda hata aliyefariki humfahamu.

Mambo ya kukopi na kupesti.
 
Mandela alimhangaikia Winnie kivipi na kwa muda gani? Tafuta mfano wa kufanya ulinganisho, Mandela hafanani na haya.
 
Issues za mbinguni, peponi, ahera, paradiso, kuzimu, toharani, jehanum, motoni, kiama etc, ni issues zinazochanganya sana kutokana na dini mbalimbali na mtu akifa nini kinafuatia.

Kwanza Mbinguni ndio peponi, ndio ahera, ndio paradiso ya raha ya milele. Kuzimu ndio toharani, motoni ndio jehanum kwenye moto wa milele.

Mimi ni Mkatoliki, tumefunzwa, unashukia kuzimu kusubiria hukumu ya mwanzo, kama dhambi zako ni chache, utakaa toharani kwa siku kadhaa za mateso, kisha utaingia mbiguni, kama dhambi zako ni nyingi, you just go straight to hell!.

Ile siku ya kiama ya hukumu ya mwisho ufufuko wa miili na uzima wa milele, ni baada ya Mwama wa Adamu kurudi kwa mara ya pili kwa utukufu, kuwafufua wazima na wafu, na ufalme wake hauna mwisho.

Watakaofufuliwa na kuingia kwenye huo uzima wa milele, ni wale tuu waliokufa wakiwa katika Kiristu Yesu, wengine wote ni to rot in hell!.
P
 
Nimesoma huo ujumbe naona shida iko kwa nyie marafiki zake..mlishindwa kumsaidia huyo shemeji yenu wakati jamaa yuko rumande hadi huyo sponsor akajitokeza.
Hicho mlichokifanya cha kumtafutia mtaji rafiki yenu mngekifanya mapema kwa shemeji yenu wakati rafiki yenu yuko jela..kwa kumsaidia kumpatia mtaji na kumtembelea kujua maendeleo yake lakini nyie mlimuacha na leo mnakuja kulaumu watu.
Poleni sana.
 
Sema huyu Bwana aliyekufa hakuwa na elimu ya kutosha kuhusu saikolojia ya maisha. Maisha ni nini, uhai ni nini, karma ni nini, do and don't do, laws of nature, causes and effects principal nk. Angeyajua hayo angekuwa kiongozi bora sana, hii Dunia sio ya kuikurupukia, wakati mwingine ishi easy way usilazimishe maji yapande mlima. At the end sisi ni wapangaji tu wa dunia zama zinapita na watu wake, mfano kizazi cha SAsa hata akijui Nyerere ni nani na alifanya nini , KILA kizazi kinaishi kwenye wakati wake. Hii Dunia ni kapeti ikanyage polepole.
 
JPM anahusika vipi na mke wake kucheat mpaka kuzaa?
Siku mtashindwa kuwapa unyumba wake zenu mtalaumu JPM.
Pumbavu sana
 
Ndio maana uwa namwomba Mungu siku akiichukua Roho yangu ningependa nifahamu walipo hakina Ben Saanane, Azory, JPM.....
Usisubiri hadi siku unachukuliwa ndio ujue walipo hao, anaweza kujua alipo JPM tuu kwasababu alifariki, Ben na Azory wao walipotea tuu, hivyo wanaweza wakawa huku au kule!. JPM umeishajua yuko wapi, ili uweze kumuona ni lazima ujiandae ili na wewe uende upande aliopo, ukitupwa kule, huwezi kuwaona wa kule kungine!.
P
 
Yote hayo sababu ya Magufuli na ameharibu maisha ya watu wengi sana na familia nyingi zinapitia magumu.
 
Huyo mwanamke ni malaya tu Kama wale wa barabarani.. kupanda na kushuka ni sehemu ya Maisha. Mwacheni jiwe apumzike... Hana hatia..
 
U
Usikute sponsor ni mmoja wa marafiki zakee.. unacheza na Dunia wewe??
 
Hukumtaja Muhusika wala kutaja tuhuma zake sasa kwa nini uituhumu Mamlaka kwa kumtia hatiani?.

Ni vipi na sie tuta balance kuona kama hizo Mamlaka chini ya JPM zilimuonea au kweli alikuwa ana tuhuma?.

Kwa hiyo unataka kutuaminisha wote waliotuhumiwa wakati wa JPM walionewa?, kwamba hakukuwa na Wakosaji kabisa kipindi cha utawala wa JPM?. kama ndivyo na basi wote waliotuhumiwa na kutiwa hatiani kipindi hicho waachiliwe huru.
 
Tumetofautiana, mimi maisha yangu ya hapa Duniani natenda yaliyo mema.
 
Nadhani sasa ni wakati mzuri wa kuachana na taarifa zemye uzushi au fabrications.

JamiiForums tunaomba majibu ya usahihi wa taarifa hii kupitia #JamiiFactsCheck

Taarifa ya kifo au msiba huwa haifichwi namna hii ili kutengeneza motion kwenye jamii
 
Ninachokiona hapa ni sense ya Moderator aliyefanya editing ya heading hakujipa muda wa kuisoma na kuielewa mada kisha angeihamishia ChitChat maana seems mtoa mada alikuwa amedhamiria kupiga soga na siyo kujenga hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…