Afariki baada ya kuanguka chooni kwa kupigwa stroke

Unaweza kuta na wao walisha mramba huyo Shemeji yao,Sasa hivi wamebaki kujikomba kwa rafiki yao aliyetoka jela,alafu unaweza kuta hao si marafi bali walikua ni Chawa tu wa Mshikaji kipindi kile anapiga pesa za Wizi!!
 
Unaweza kuta na wao walisha mramba huyo Shemeji yao,Sasa hivi wamebaki kujikomba kwa rafiki yao aliyetoka jela,alafu unaweza kuta hao si marafi bali walikua ni Chawa tu wa Mshikaji kipindi kile anapiga pesa za Wizi!!
Kweli kabisa
 
Bado sa100 wahuni lazima wafutike wote ...ndiyo tz itspata wokovu
 
Tutakua tunawaona kwenye makarandinga wakielekea kisutu.
Hao dawa yao siyo makarandinga ni kupotezwa mazima ..kuwafungulia mashitaka ni kupoteza muda ...ni wahalifu wakubwa sana ...wahahini
 
Kuzaliwa mwanaume bana daah
 
Duuu, hebu kesho nijaribu kupiga simu yake akili inanituma kuwa aweza kuwa yeye.
 
Funzo wanaume tuwashurikishe wakezetu kwenye michakato marafiki acheni kuwapelekea moto shemeji zenu ukiamua kumsaidia msaidie
 
Dah.. Shukran sana mkuu kwa hili somo murua kabisa, kumbe propaganda ya clone aliisambaza Winnie kwa tamaa zake za mwili.
 
Ndio maana uwa namwomba Mungu siku akiichukua Roho yangu ningependa nifahamu walipo hakina Ben Saanane, Azory, JPM.....
Acha kwanza kula kitimoto ili upate kibali cha kuwa na maono ya rohoni la sivyo endelea tu kuwa upande wa shetani sababu unakaidi kutii maagizo yake Mungu

Mambo ya Walawi 11.
 

Kweli lazima angeathirika ,miaka 27 ndani bila KONJUGO lazima atakuwa alikwea MNAZI sana hivyo kumuathiri kwenye performance.
 
Watu wanachangia kichwa kichwa kumbe Uzi una code na wamekosa password
 
Mungu awalaze pema JPM pamoja na rfk ako
 
Ni usaliti wa mwanamke ndio umemuua mwanaume. Mwanamke amekosea sana. Hakuwa mwaminifu hata wakati wa dhiki na shida na magumu kwa mume. Alipaswa kuwa bega kwa bega na mwanaume mpka atakapotoka. Anyway hayaniusu
 
Kama wao wanaimbishwa kwa nini wewe usihoji? Wewe huwezi kuleta uzi hapa ukihoji hayo utakayo? Au unataka nani ahoji kwa niaba yako?
 
Mkuu ingekua mahitaji muhimu bodyguard mmoja tu angemtosha baada ya mzee kukosa hiyo conjuger kwa muda mrefu. Sasa kila bodyguard kapita nae hii inaonyesha ni jinsi gani alivyokua ni kicheche.
Kwa vile walinzi wana rotate, mlinzi atakayekuwa zamu siku ya uhitaji ndio atamhudumia, kwa hiyo sio ukicheche!.
Angepangwa mlinzi mmoja huyo huyo siku zote, angekuwa mmoja.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…